Niko tayari!
Bora uishi maisha ya mateso, lakini na KITU MUJARABU kama weye!
Ntakuwa najikausha tu kiume!, ili mradi tunakuwa pamoja MITOKO etc!
Hata kama ukisema kila mtu alale chumba chake sawa, ili mradi tukiwa barabarani unipige busu hazarani!
ICU unamfahamu Balantanda au unamsikia? Utadundwa, shauri yako!![]()
samahani kama nimekukwaza Masaki
na wewe na Js naona kama italipa vile????
Dah! Hapo kwenye red hapo!![]()
aaaaaaaaaaah acha kujiami jiamini
Niko tayari!
Bora uishi maisha ya mateso, lakini na KITU MUJARABU kama weye!
Ntakuwa najikausha tu kiume!, ili mradi tunakuwa pamoja MITOKO etc!
Hata kama ukisema kila mtu alale chumba chake sawa, ili mradi tukiwa barabarani unipige busu hazarani!
no comment!na wewe na Js naona kama italipa vile????
ICU unamfahamu Balantanda au unamsikia? Utadundwa, shauri yako!![]()
Couple yangu inanitia ugonjwa..huko ndani ya nyumba room yote kutajaa magazeti ya kina Zitto ,Sitta, Lowassa mpaka vitandani..
Muda wa perfomance hautakuwepo ..nitaishia kuwa katibu kati kata wa Mbeya Vijijini!!!mmmh headache
kwani hapa JF hakuna padri?c wajitokeze kutufungisha au?
Couple yangu inanitia ugonjwa..huko ndani ya nyumba room yote kutajaa magazeti ya kina Zitto ,Sitta, Lowassa mpaka vitandani..
Muda wa perfomance hautakuwepo ..nitaishia kuwa katibu kati kata wa Mbeya Vijijini!!!mmmh headache
Usitie shala FL1, Mwanakijiji yuko single ndio maana ana muda mwingi wa kufanya hayo! Ukimtuliza atatulia tu!![]()
Samahani kwa kukwazika mwayaaaaah ICU nitake radhi, umenikwaza......hiyo interaction ya sana na mimi na huyo jamaa iko wapi bana.......huyo hata ukinipa afu uniongezee na vijisenti staki!!!!!!!!!!!!!!!
umenikwaza!!!!!!!!!!!
Wapi huko ulikonikwaza? Au kibwagizo cha ''samahani kama nimekukwaza'' kimekukolea?
Mlisema mm na nani Cheusimangala ua Maria Roza?
Sikujua Ndugu yangu Masaki