Our experts are extraordinary!" - Donald J. Trump


Yaani, Jamaa anakiburi kuliko, mbona Ukimwi hao experts wake wamedunda hadi leo??, au ni wao (US) wame wa develop hao wadudu na wanajua dawa yake na wanataka kuwauzia China ndiyo maana wanatafuta njia ya kujiingiza waanze biashara ya dawa.

USA walishafanya jambo kama hilo kwa Cuba.
 
Leo
Comfirmed cases ; more than 6000
People died ; more than 132


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MPYA: Kazakhstan kusitisha huduma za usafirishaji kati yake na China. Serikali ya nchi hiyo imethibitisha.

====

UPDATE: Kazakhstan to suspend all buses, trains, and flights with China due to coronavirus - gov't
 
Habari!

Karibu kwa ajili ya kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China.

Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada zinazofanyika kukabiliana na kirusi hiki na mengine mengi yanayoibuka duniani kote katika muda wowote kuanzia sasa.

Nikukaribishe sana!

====
#Coronaviruses in virusi vinavyopatikana zaidi kwa Wanyama, lakini katika matukio machache virusi hivyo ninavyoitwa #Zoonotic, Kisayansi, vinaweza kuambukizwa kutoka kwa Mnyama kwenda kwa Binadamu

Virusi hivi vinaweza kuwafanya watu wakaugua, mara nyingi katika sehemu ya juu ya mfumo wa upumuaji sawa kabisa na mafua ya kawaida


Virusi husambaa kutoka kwa Binadamu mmoja hadi mwingine kwa njia ya Hewa kwa Kukohoa au Kupiga Chafya, Kugusana na mtu mwenye virusi hivyo

Njia nyingine ni Kugusa Kitu au sehemu yenye virusi na kisha kujigusa mdomo, pua au macho kabla ya kunawa na mara chache huambukiza kupitia kinyesi

Dalili za kuwa umepata virusi hivi ni pamoja na Pua kudondosha mafua mfuulizo, Kuumwa Kichwa, Kukohoa, Kupata homa na muwasho katika Koo ila kwa wenye Kinga ndogo ya Mwili kama Wazee au Watoto wanweza kupata Nimonia(Pneumonia)

Hakuna Kinga ya Virusi hivyo kwa sasa, ila usambaaji wake kwa Binadamu unaweza kupunguzwa kupitia Kuosha mikono yako mara kwa mara kwa maji na sabuni na epuka kugusa macho, mdomo na pua kwa mikono isiyooshwa

Pia, unaweza kupunguza usambazaji wake kwa Kukaa mbali na mtu aliyethibitika kuwa na maambukizi. Ukianza kuona dalili hizo unashauriwa kumuona daktari

Ukithibitika kuwa na maambukizi ya Virusi hivyo, vunika mdomo na pua yako wakati wa kupiga chafya au kukohoa na safisha sehemu au kitu ulichokigusa

====

Kirusi hiki cha Corona, kinaaminika kuwa kilianza katika soko la bidhaa za baharini mwishoni mwa mwaka 2019, katikati ya Jiji la Wuhan, China ambalo lilikuwa linauza nyama ya porini.

Kirusi hicho kinaweza kusababisha homa, kukohoa, kupumua kwa shida na homa ya mapafu. Kirusi hicho ni sehemu ya familia ya kirusi corona ambacho kinauhusiano na virusi vya SARS na MERS ambavyo vilisababisha milipuko siku za nyuma.

Kirusi hiki kimeenea katika miji mingine ikiwemo Beijing na Shanghai, pia katika maeneo mengine duniani kama Marekani, Thailand, Korea Kusini, Japan, Australia, Ufaransa, Malaysia, Vietnam, Taiwan, Singapore, Nepal, Macau, Hong Kong na Canada.

Mpaka sasa kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni kuwa, idadi ya watu wapatao 2045 wamegundulika kuwa na kirusi hiki huku wapatao 633 wakipatikana kwa siku ya jana pekee.

324 kati ya hao 2045 wako katika hali mbaya zaidi (critical condition) huku idadi ya waliokufa kutokana na kirusi hicho ikifikia 56 nchini China.

====

Hapo awali, China ilitoa tahadhari kuwa kirusi hiki kinaweza kusambaa kwa watu wengi zaidi.

Waziri wa Kamisheni ya Afya ya Taifa nchini China, Ma Xiaowei, akizungumza na vyombo vya habari, alisema kuwa, uwezo wa serikali wa kufahamu kirusi hiki kipya ni finyu na hawajui hatari zinazoweza kuambatana na kubadilika kwa kirusi hiki. [VOA]

Ma Xiaowei alisema muda ambao kirusi hiki cha corona huchukuwa hadi kujitokeza ni kati ya siku mmoja hadi 14, na kuwa kirusi hiki kinaambukiza hata wakati kinajijenga mwilini, kitu ambacho kilikuwa tofauti kwa homa kali ya mafua, SARS, kirusi corona kilichoibuka China na kuua takribani watu 800 duniani mwaka 2002 na 2003.

Mpaka sasa juhudi zilizokwisha kufanyika ili kudhibiti kuenea kwa kirusi hiki ni pamoja na katazo la usafirishaji na kusafiri na kusitisha matukio ya sherehe kubwa. China imetoa makatazo kadhaa ya kusafiri katika maeneo yaliyoathiriwa vibaya sana katika nchi hiyo ili kuzuia kuenea kwa kirusi hicho.

Muendelezo wa haya pamoja na yatakayokuwa yakijiri tutapata kuyafahamu kwa kina.

====

SASISHO: Idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona imeongezeka kutoka 106 hadi 131.

Taarifa ya vifo vipya 25 ni kutoka katika mkoa wa Hubei pamoja na visa vipya takribani 840 kwa siku ya jana pekee (Januari 28).

SASISHO: Idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona (Coronavirus) imekwisha fikia 106 hivi sasa kutoka idadi iliyoripotiwa mara ya mwisho ya 82.

Mkoa wa Hubei, China pekee umeripoti visa vipya takribani 1291 na vifo vipya 24.

Wagonjwa wapatao 690 wana hali mbaya zaidi.

SASISHO: Beijing, China imetangaza kifo cha kwanza kabisa katika jiji hilo kutokana na kirusi cha Corona, mwanamume wa miaka 50 aliyekuwa amesafiri kwenda Wuhan tarehe 8, Januari na kurejea jijini Beijing tarehe 15. Idadi ya vifo imefikia 82.

SASISHO: Kifo kingine kimeripotiwa kutokana na kirusi cha Corona katika mkoa wa Hainan nchini China. Hicho ni kifo cha kwanza kabisa katika mkoa huo. Jumla ya vifo kutokana na kirusi hicho ni 81 mpaka sasa.

SASISHO: Idadi ya vifo nchini China kutokana na virusi vya Corona imeongezeka na kufikia 80 mpaka sasa huku idadi ya wenye maambukizi ikifikia zaidi ya 2700 ikijumuisha Hong Kong, Macau pamoja na Taiwan.


Taarifa zaidi zitafuata. Baki hapa!
pia inasemekana kirusi hiki kinapatikana kwenye nyama ya mbuzi catholic a.k.a kitimoto 😷
 
Shirika la ndege la nchini Uingereza, British Airways limesitisha safari zote za moja kwa moja kati ya Uingereza na China kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona huko Wuhan nchini China. [BBC]

====

The full British Airways statement:
We have suspended all flights to and from mainland China with immediate effect following advice from the Foreign Office against all but essential travel.

We apologize to customers for the inconvenience, but the safety of our customers and crew is always our priority. Customers due to travel to or from China in the coming days can find more information on ba.com.
 
Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), vimeripotiwa visa vinne (4) kutokana na virusi vya Corona. Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Wizara ya Afya nchini humo.

====

UPDATE: UAE confirms four cases of Wuhan coronavirus.

The United Arab Emirates has confirmed four cases of the coronavirus, the UAE’s Ministry of Health and Prevention said in a statement Wednesday.

The four reported cases are all within a single Chinese family from Wuhan, the ministry said.

“The general health situation is not a cause of concern,” the ministry said.

There are at least 5,974 confirmed cases of coronavirus in mainland China -- including 132 deaths -- and at least 86 cases outside of mainland China.

[CNN]
 
Tibet: Mahali palipotajwa kuwa salama zaidi nchini China kwa kutoripotiwa visa vyovyote vile vya 'Coronavirus', lakini hivi leo kumeripotiwa kisa cha kwanza kabisa katika mkoa huo.

Hilo linaonesha kuwa virusi hivi havijasambaa tu katika miji na sehemu zenye makazi mengi ya watu bali hata katika maeneo ya vijijini.
 
Wizara ya Afya ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imesema kuwa, watu wanne (4) waliothibitika kuwa na maambukizi nchini humo ni raia kutoka nchini China ambao waliingia nchini humo mnano Januari 16 kwa shughuli za kitalii wakitokea Wuhan nchini China. [Al Arabiya]
 
Uturuki imetangaza kuwaondoa raia wake 32 waliopo Wuhan nchini China katika siku chache zijazo. Taarifa ni kwa mujibu wa Balozi wa Uturuki nchini China.

====

UPDATE: Turkey will evacuate 32 citizens from Wuhan

A total of 32 Turkish citizens in Wuhan will be evacuated in the next few days, said the Turkish ambassador to China on Wednesday.

Speaking to the Haberturk news channel, Emin Onen said the Turkish citizens are Wuhan residents, tourists and people who were there for trade and business.

Turkish and officials have begun the official process, and the 32 citizens are in good health, Onen said.

"No virus detected. We are in touch with Chinese authorities. We will bring them ASAP,” he said.

The ambassador said he cannot give an exact schedule of when the citizens will be evacuated. The plane will land in Wuhan to pick up passengers but it is unclear whether they will be taken back to Istanbul or Ankara.

Onen said the 32 people will be quarantined for some time.

[CNN]
 
Mataifa yaliyokwisha anza kuwaondoa raia wake kutoka Wuhan nchini China;
  • Marekani
  • Japan

Mataifa mengine yaliyothibitisha mpango wa kuwaondoa raia wake kutoka eneo hilo;
  • Australia
  • New Zealand
  • India
  • Korea Kusini
  • Ufaransa
  • Uingereza
  • Uturuki
 
Habari!

Karibu kwa ajili ya kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China.

Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada zinazofanyika kukabiliana na kirusi hiki na mengine mengi yanayoibuka duniani kote katika muda wowote kuanzia sasa.

Nikukaribishe sana!

====
#Coronaviruses in virusi vinavyopatikana zaidi kwa Wanyama, lakini katika matukio machache virusi hivyo ninavyoitwa #Zoonotic, Kisayansi, vinaweza kuambukizwa kutoka kwa Mnyama kwenda kwa Binadamu

Virusi hivi vinaweza kuwafanya watu wakaugua, mara nyingi katika sehemu ya juu ya mfumo wa upumuaji sawa kabisa na mafua ya kawaida


Virusi husambaa kutoka kwa Binadamu mmoja hadi mwingine kwa njia ya Hewa kwa Kukohoa au Kupiga Chafya, Kugusana na mtu mwenye virusi hivyo

Njia nyingine ni Kugusa Kitu au sehemu yenye virusi na kisha kujigusa mdomo, pua au macho kabla ya kunawa na mara chache huambukiza kupitia kinyesi

Dalili za kuwa umepata virusi hivi ni pamoja na Pua kudondosha mafua mfuulizo, Kuumwa Kichwa, Kukohoa, Kupata homa na muwasho katika Koo ila kwa wenye Kinga ndogo ya Mwili kama Wazee au Watoto wanweza kupata Nimonia(Pneumonia)

Hakuna Kinga ya Virusi hivyo kwa sasa, ila usambaaji wake kwa Binadamu unaweza kupunguzwa kupitia Kuosha mikono yako mara kwa mara kwa maji na sabuni na epuka kugusa macho, mdomo na pua kwa mikono isiyooshwa

Pia, unaweza kupunguza usambazaji wake kwa Kukaa mbali na mtu aliyethibitika kuwa na maambukizi. Ukianza kuona dalili hizo unashauriwa kumuona daktari

Ukithibitika kuwa na maambukizi ya Virusi hivyo, vunika mdomo na pua yako wakati wa kupiga chafya au kukohoa na safisha sehemu au kitu ulichokigusa

====

Kirusi hiki cha Corona, kinaaminika kuwa kilianza katika soko la bidhaa za baharini mwishoni mwa mwaka 2019, katikati ya Jiji la Wuhan, China ambalo lilikuwa linauza nyama ya porini.

Kirusi hicho kinaweza kusababisha homa, kukohoa, kupumua kwa shida na homa ya mapafu. Kirusi hicho ni sehemu ya familia ya kirusi corona ambacho kinauhusiano na virusi vya SARS na MERS ambavyo vilisababisha milipuko siku za nyuma.

Kirusi hiki kimeenea katika miji mingine ikiwemo Beijing na Shanghai, pia katika maeneo mengine duniani kama Marekani, Thailand, Korea Kusini, Japan, Australia, Ufaransa, Malaysia, Vietnam, Taiwan, Singapore, Nepal, Macau, Hong Kong na Canada.

Mpaka sasa kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni kuwa, idadi ya watu wapatao 2045 wamegundulika kuwa na kirusi hiki huku wapatao 633 wakipatikana kwa siku ya jana pekee.

324 kati ya hao 2045 wako katika hali mbaya zaidi (critical condition) huku idadi ya waliokufa kutokana na kirusi hicho ikifikia 56 nchini China.

====

Hapo awali, China ilitoa tahadhari kuwa kirusi hiki kinaweza kusambaa kwa watu wengi zaidi.

Waziri wa Kamisheni ya Afya ya Taifa nchini China, Ma Xiaowei, akizungumza na vyombo vya habari, alisema kuwa, uwezo wa serikali wa kufahamu kirusi hiki kipya ni finyu na hawajui hatari zinazoweza kuambatana na kubadilika kwa kirusi hiki. [VOA]

Ma Xiaowei alisema muda ambao kirusi hiki cha corona huchukuwa hadi kujitokeza ni kati ya siku mmoja hadi 14, na kuwa kirusi hiki kinaambukiza hata wakati kinajijenga mwilini, kitu ambacho kilikuwa tofauti kwa homa kali ya mafua, SARS, kirusi corona kilichoibuka China na kuua takribani watu 800 duniani mwaka 2002 na 2003.

Mpaka sasa juhudi zilizokwisha kufanyika ili kudhibiti kuenea kwa kirusi hiki ni pamoja na katazo la usafirishaji na kusafiri na kusitisha matukio ya sherehe kubwa. China imetoa makatazo kadhaa ya kusafiri katika maeneo yaliyoathiriwa vibaya sana katika nchi hiyo ili kuzuia kuenea kwa kirusi hicho.

Muendelezo wa haya pamoja na yatakayokuwa yakijiri tutapata kuyafahamu kwa kina.

====

SASISHO: Idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona imeongezeka kutoka 106 hadi 131.

Taarifa ya vifo vipya 25 ni kutoka katika mkoa wa Hubei pamoja na visa vipya takribani 840 kwa siku ya jana pekee (Januari 28).

SASISHO: Idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona (Coronavirus) imekwisha fikia 106 hivi sasa kutoka idadi iliyoripotiwa mara ya mwisho ya 82.

Mkoa wa Hubei, China pekee umeripoti visa vipya takribani 1291 na vifo vipya 24.

Wagonjwa wapatao 690 wana hali mbaya zaidi.

SASISHO: Beijing, China imetangaza kifo cha kwanza kabisa katika jiji hilo kutokana na kirusi cha Corona, mwanamume wa miaka 50 aliyekuwa amesafiri kwenda Wuhan tarehe 8, Januari na kurejea jijini Beijing tarehe 15. Idadi ya vifo imefikia 82.

SASISHO: Kifo kingine kimeripotiwa kutokana na kirusi cha Corona katika mkoa wa Hainan nchini China. Hicho ni kifo cha kwanza kabisa katika mkoa huo. Jumla ya vifo kutokana na kirusi hicho ni 81 mpaka sasa.

SASISHO: Idadi ya vifo nchini China kutokana na virusi vya Corona imeongezeka na kufikia 80 mpaka sasa huku idadi ya wenye maambukizi ikifikia zaidi ya 2700 ikijumuisha Hong Kong, Macau pamoja na Taiwan.


Taarifa zaidi zitafuata. Baki hapa!
Breaking:Utafiti wabaini kuwa kirusi cha Corona kimetokea kwa Popo.Pia imebainika kuwa kirusi hiki kimefika kwa binadamu kwa kupitia kula nyoka.Nyoka wanatabia ya kuwinda na kula popo.

Aidha wahanga wa kwanza wa kirusi cha Corona ni wafanyakazi waliokuwa wakifanya kazi katika duka la kuuza minofu ya nyoka pale mjini Wuhan.
 
Containment ni ngumu sana
Tibet: Mahali palipotajwa kuwa salama zaidi nchini China kwa kutoripotiwa visa vyovyote vile vya 'Coronavirus', lakini hivi leo kumeripotiwa kisa cha kwanza kabisa katika mkoa huo.

Hilo linaonesha kuwa virusi hivi havijasambaa tu katika miji na sehemu zenye makazi mengi ya watu bali hata katika maeneo ya vijijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Foreigners in China evacuated amid fears of deadly coronavirus

Thousands of foreigners in China are returning home as countries begin evacuating their citizens from the epicentre of the deadly coronavirus outbreak. Nearly 6,000 cases have been confirmed in China. The latest figures mean there are now more cases in China than during the SARS outbreak
 
Back
Top Bottom