Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Our experts are extraordinary!" - Donald J. Trump
Yaani, Jamaa anakiburi kuliko, mbona Ukimwi hao experts wake wamedunda hadi leo??, au ni wao (US) wame wa develop hao wadudu na wanajua dawa yake na wanataka kuwauzia China ndiyo maana wanatafuta njia ya kujiingiza waanze biashara ya dawa.
USA walishafanya jambo kama hilo kwa Cuba.