Ambao hawana dini watapiga kimya, wenye dini wataomba. Haijawahi na haitatokea binadamu wote wakalingana mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Remember!!! Freedom of expression....Our constitution is clear on the matter.Watanzania wanaoamini ktk Mungu tuendlee na dua.
Tusivunjwe moyo na sauti za kuzimu kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wanaoamini ktk Mungu tuendlee na dua.
Tusivunjwe moyo na sauti za kuzimu kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Meko hachomoki hapo, hata ingekua siku 100!1. Usiwe Mnafiki
2. Usiwe Muongo
3. Usiwe Muuaji
4. Usimdhulumu Mtu
5. Usiwe Mkatili
6. Usiwe Malaya / Mzinzi
7. Usiwe na Visasi
Watanzania wanaoamini ktk Mungu tuendlee na dua.
Tusivunjwe moyo na sauti za kuzimu kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yasyokuhusu yasikuumize fata yako.Imani haichunguziki kisayansiHaha mungu yupi? wa kwenye miti? acha utani hujui historia wewe, au hiyo nayo utasema imeletwa na mzungu? maana wabongo kila kitu mnasingizia mzungu, hata uende chooni gogo likatae utasikia mzungu kanipa dawa.
Meko hachomoki hapo, hata ingekua siku 100!
Yasyokuhusu yasikuumize fata yako.Imani haichunguziki kisayansi
Maswala ya kusali yahamasishwe na viongozi wa dini.
Viongozi wa taifa watupe mipango kazi wanayotumia kuhakikisha tunapambana na Corona.
Rais aache mizaha ya kujificha kwenye dini. Hii ni vita kamili dhidi ya ugonjwa unaofahamika kisayansi. Biblia inasema tutaangamia kwa kukosa maarifa!Watanzania wanaoamini ktk Mungu tuendlee na dua.
Tusivunjwe moyo na sauti za kuzimu kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetwani vipi Wakati yeye anahamasisha walionje na shetani?Utakuwa we ni shetani
Kama mlianza na kuidharau dawa ni kuwajibika tu sio maombi, kama karantini hotelini, watu wanatoroka karantini, mara karantini jihudumie mwenyewe kutokufunga mipaka ya nchi, anga hadi ndege zipungue ndio hatua ichukuliwe, dawa hapo ni kujihuzuru tu kwa kushindwa kuwakinga raia wako si maombi!Acha tuombe