Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,472
- 37,735
Rudia post yako inajieleza vzr , kwamba Kuna mtu unaye mtambua Kama baba yako.Umejuaje huyo ni baba yako?
Kwahiyo wanasayansi kila tatizo wao hutafuta suluhu kwa sayansi? Kwanini huwazungumzii wafanyabiashara,wakulima,wafanyakazi? Makundi yote hayo wapo wana dini na kila mmoja anashughlika na sehemu yake,sasa kwanini husemi mkulima aache kulima na kuomba dua?Sijaishia hapo
Nimesisitiza kua wale wote wanaodai kua wananguvu yenye huruma kutoka kwa mungu inayoponya kila gonjwa
Ukiona wanasayansi ambao wana dini halafu wanatafuta suluhu nje ya hiyo dhana hapo ndio ujue kua wameaisha elewa kua dhana ya miujiza kupitia maombi ni ulaghai
It's Scars
Tunakutegemea dabii tusaidieTuache tulale, tutaoteshwa suluhisho leo usiku.
Cha muhimu sadaka tu iwepo.
Na ndiyo maana nilikuwa nakwambia sikungumzii masheikh wala wachungaji nilijua ulikuwa unataka kunipeleka huko.
Twende dogo tutaelewana tu.
Unakubali kwamba haya matatizo yapo kweli? Bila kujari husababishwa na majini wala kuwa ni magonjwa ya akili,nachotaka kujua ni je unakubali kuwa haya matatizo yapo kweli ?
Hizo nukuu unahakika gani kwamba zimesema ukweli?Jinsi ulivyoandika unaonesha wazi huelewi maana ya neno "dini".
Qur'an 112:
1. Sema: Yeye Allah ni wa pekee.
2. Allah Mkusudiwa.
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
Unajuaje kua habari za mungu sio za kufikirika kama ilivyo spiderman?Movie zenye kuhusu Mungu zipo kibao,hata hiyo sijui god must be crazy imehusishwa Mungu. Habari za Mungu si wazo la kufikirika kutoka kwenye movie kama ilivyo kwa spiderman,masuala ya spiderman inaishia kwenye movie huko ndiko yalipoanzia na kuishia na ndiyo maana nakwambia hakuna utata juu ya spiderman.
Kabla ya kujua malighafi ya namna gani, unaweza kuthibitisha mimi nimetengenezwa?ukisema inabidi tu rudi kwenye asili yako au yangu..
Unajua malighafi iliyotumika kukutengeneza wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wanasayansi kila tatizo wao hutafuta suluhu kwa sayansi? Kwanini huwazungumzii wafanyabiashara,wakulima,wafanyakazi? Makundi yote hayo wapo wana dini na kila mmoja anashughlika na sehemu yake,sasa kwanini husemi mkulima aache kulima na kuomba dua?