Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Mwamposa..

Mzee wa upako..

Babu wa Loliondo..

Mwingira...

Kakobe...

Bulldozer....

GeoDavie..

Mmekuwa msaada mkubwa sana kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya uponyaji.

Mmekuwa mkijisifia sana kuhusu nguvu za kuponya mlizokuwa nazo.

Leo, waziri mkuu Italy ame declare kwamba wananchi wa Italy wamepoteza tumaini. Kwamba wamemwachia Mungu

Leo vifo vilivyotokana na Corona virus ni 800+

Ndio Muda wenu wa kudhihirisha kile mnachokuwa mkihubiri muda wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
800+ umedanganya.

Data za saa 21:24 -zilikuwa ni vifo 651...

Acha kupotosha watu...
 
Aliyeanza kum-quote mwenzake ni nani? sijawahi kufanya mjadala na devil worshiper wewe ndo ulijipendekeza ku-quote post zangu mbili nikakupa za uso ili urudi kuzimu ukajipange upya..
Kumbuka sijakuita kwa tag uje hapa ujadili huu mjadala.

"Devil worshiper" hizo ni hallucinations zako binafsi, kuhisi kila mtu anayekataa uwepo wa mungu basi lazima awe devil worshiper



It's Scars
 
Wao wanachoweza ni kuponya mapepo,kutafta wachumba,kuondoa mikosi na kufufua misukule. Hiyo corona eti hawaijui. Kwanza wao hawaamini km imeingia Tz. Gwajima aliwaambia waumini wake corona haitofika Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi hawa wachungaji wa mwendo kasi nilisha wakataa kitambo sana.

Nipo zangu RC roho imetuliaaa tunakwenda na uhalisia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom