Nyote wamoja vijana mnaelea mule mule.
800+ umedanganya.Mwamposa..
Mzee wa upako..
Babu wa Loliondo..
Mwingira...
Kakobe...
Bulldozer....
GeoDavie..
Mmekuwa msaada mkubwa sana kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya uponyaji.
Mmekuwa mkijisifia sana kuhusu nguvu za kuponya mlizokuwa nazo.
Leo, waziri mkuu Italy ame declare kwamba wananchi wa Italy wamepoteza tumaini. Kwamba wamemwachia Mungu
Leo vifo vilivyotokana na Corona virus ni 800+
Ndio Muda wenu wa kudhihirisha kile mnachokuwa mkihubiri muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka sijakuita kwa tag uje hapa ujadili huu mjadala.Aliyeanza kum-quote mwenzake ni nani? sijawahi kufanya mjadala na devil worshiper wewe ndo ulijipendekeza ku-quote post zangu mbili nikakupa za uso ili urudi kuzimu ukajipange upya..
Acha zakoo ww njoo kwa mzee wa upako, ndo kila kituNisikie mtu ananitajia sijui Katapila, sijui Buluzoza, nitamtukana anipeleke Polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
793 ilikuwa last one hour ago800+ umedanganya.
Data za saa 21:24 -zilikuwa ni vifo 651...
Acha kupotosha watu...
Hao wa Italy waandae sadaka zao kazi ikapigwe...siku moja tu wote wanarudi barabarani.
Angalia tena data mkuu800+ umedanganya.
Data za saa 21:24 -zilikuwa ni vifo 651...
Acha kupotosha watu...
Mkuu mi hawa wachungaji wa mwendo kasi nilisha wakataa kitambo sana.Wao wanachoweza ni kuponya mapepo,kutafta wachumba,kuondoa mikosi na kufufua misukule. Hiyo corona eti hawaijui. Kwanza wao hawaamini km imeingia Tz. Gwajima aliwaambia waumini wake corona haitofika Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaangalia report ya WHO ya leo. Ambayo kesho watakuwa washaitoa. Hizi website tinazoangalia huenda zinapotosha...
Hata ww umekosea. Saa 24 zilizopita waliripoti vifo 795800+ umedanganya.
Data za saa 21:24 -zilikuwa ni vifo 651...
Acha kupotosha watu...
Kwahiyo huna baba?Kwani tayati ushamjua baba yangu ni nani?
Au Unaota?
wapi nimekuambia flani ni baba yangu mpaka uniulize umemjuaje huyo ni baba yako?
Au roho mtakatifu kakupa jibu la hivyo?
It's Scars
Hao wa Italy waandae sadaka zao kazi ikapigwe...siku moja tu wote wanarudi barabarani.
Unaelewa kua ikiwa kweli majanga hayo yalitokea katika ulimwengu huu yanathibitisha hakuna mungu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote?
It's Scars