Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

I think he is kidding, mnapoteza muda wa kulumbana naye. Haiwezekani kwa comments zote hizi aendelee kubisha tu, na ajione kuwa yupo sahihi kwa lugha aliyoitumia, atakuwa anatania. Anataka awatoe watu mapovu.

Ila kama atakuwa anamaanisha na hatanii, basi cha ARUSHA kinahusika. Huu ni mtazamo wangu tu. [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu sijasema niko sahihi ila umu jukwaani Kuna much know Sana ata kama kingereza kimepinda la msingi ujumbe umefika. Apo mtu ilitakiwa a comment nilichopost na sio kutanguliza kejeli. Ila sio ajab Ndio watanzania tulivyo
 
Mkuu sijasema niko sahihi ila umu jukwaani Kuna much know Sana ata kama kingereza kimepinda la msingi ujumbe umefika. Apo mtu ilitakiwa a comment nilichopost na sio kutanguliza kejeli. Ila sio ajab Ndio watanzania tulivyo
Hujielewi watu wote wanakupinga wewe ndo kwanza unakomaa kutetea utoto ulioandika
Watu wote wawe matahira kukupinga wewe kwamba wana kisa gani nawewe?
Jifunze kutoka kwa wengine sio lazima ujue kila jambo mengine unatakiwa kujifunza kutoka kwa watu.
Msomi ni mtu mwepesi katika kujifunza otherwise hata hiyo degree yako inatia mashaka
 
Hujielewi watu wote wanakupinga wewe ndo kwanza unakomaa kutetea utoto ulioandika
Watu wote wawe matahira kukupinga wewe kwamba wana kisa gani nawewe?
Jifunze kutoka kwa wengine sio lazima ujue kila jambo mengine unatakiwa kujifunza kutoka kwa watu.
Msomi ni mtu mwepesi katika kujifunza otherwise hata hiyo degree yako inatia mashaka
Mwembe wenye matunda ndo unatupiwa mawe.. Pungu wa antananarivo wee
 
We ndie wale wale wa GPA za kuunga unga so lazima utabeza tu
Hujui ulisemalo!!!! Mm niko poa kwenye swala la shule!!!!
Ungekuwa muungwana ungekubali tu kuwa umekosea kwasabu kiingereza umekosea tu hata ukinisema vibaya
 
Kama ujui kingereza tumia kiswahili tu
Hilo jamaa libishi linaamini linajua kila kitu fuatilia uzi kuanzia mwanzo wachangiaji wanamponda yeye kabakiza kazi ya kujitetea na kutukana watu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lugha ya malkia sio kitu cha sport sport
 
Hilo jamaa libishi linaamini linajua kila kitu fuatilia uzi kuanzia mwanzo wachangiaji wanamponda yeye kabakiza kazi ya kujitetea na kutukana watu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lugha ya malkia sio kitu cha sport sport
Anatumia uti wa mgongo kufikir badala ya ubongo ndio shida inapo anzia
 
Hilo jamaa libishi linaamini linajua kila kitu fuatilia uzi kuanzia mwanzo wachangiaji wanamponda yeye kabakiza kazi ya kujitetea na kutukana watu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lugha ya malkia sio kitu cha sport sport
Wengi ninaowakung'uta ni wale wenye kukejeli tu ila kama umechangia mada kwa amani Siwezi kukukung'uta. Mfano kama wewe ivi. Mtu mwenyewe ni mhanga wa ki GPA cha kutazama na tochi
 
Wengi ninaowakung'uta ni wale wenye kukejeli tu ila kama umechangia mada kwa amani Siwezi kukukung'uta. Mfano kama wewe ivi. Mtu mwenyewe ni mhanga wa ki GPA cha kutazama na tochi
Hahahaaa mtu mzima kujisifia GPA ni aibu watu wanajisifia pesa na mishemishe kwenye maisha
Tafuta pesa GPA yangu naijua mimi hata nikikwambia hutaamini na wala hatujuani
We kila kukicha tafuta hela, saivi waza kupata hela nyingi sana
Achana na GPA narudia tafuta helaaaa
GPA yangu ipo kwenye vyeti kazi nilishapata ila tatizo sijapata pesa za kunifanya niridhike
Tatizo langu ni pesa tuuu
Nawewe tafuta helaaaa
 
Hahahaaa mtu mzima kujisifia GPA ni aibu watu wanajisifia pesa na mishemishe kwenye maisha
Tafuta pesa GPA yangu naijua mimi hata nikikwambia hutaamini na wala hatujuani
We kila kukicha tafuta hela, saivi waza kupata hela nyingi sana
Achana na GPA narudia tafuta helaaaa
GPA yangu ipo kwenye vyeti kazi nilishapata ila tatizo sijapata pesa za kunifanya niridhike
Tatizo langu ni pesa tuuu
Nawewe tafuta helaaaa
Angalao umeongea point yani mkuu adi ukung'utwe ndo una obey....
 
Kiingereza chako. Na Nyani Ngabu. Na Kiranga. Kilishanishinda. Nadhani mnastahili u-Sir kutoka kwa Malkia. Mnaijua lugha yake kwa ufasaha wa ajabu. Na huyu mwenzangu na mimi mleta mada hata sijui kama ataelewa cho chote katika hii comment yako. Asante!!!
Ahaha... kuwa ninastahili kuitwa Sir.Lizarazu!!? inasound poa lakini. comment yako ya awali imeelezea kila kitu mkuu hata nilichotaka kusema mimi.
Kuhusu huyu mleta mada..

I initially wanted to bewray him of his infalliable breach on syntax which cannotes his level of mediocrity, but only came to find out he's contumelious being.

BTW i humbly take your compliment but mentioning my name in the same sentence with the like of Kiranga in this context, i think you put me in the pedestal i do not belong to...those two are more profound in arcane words and their lexical proficiency is atypical.
 
Back
Top Bottom