Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,180
- Thread starter
- #141
Mh bangi izi nazo mbya sanaKama wewe ndio mwanangu unaandika hivi nasema rudi kaanze grammar f²
Mh bangi izi nazo mbya sanaKama wewe ndio mwanangu unaandika hivi nasema rudi kaanze grammar f²
Wewe mwenye si muhusika wa public University hujui kwa nini?Hizo data zimebainisha sababu ya hali hiyo?
Ingekua wanajali wateja disco supplementary na carry zisingekuepo. Kua na uhakika na data zako punguza kukariri ndo kunakupunguzia GPAHuo uafadhali wa kupata GPA kubwa ukiwa private ni kwa sababu private wanamchukulia mwanafunzi kama mteja hivyo ukimkazia uzi wateja watakukimbia
Sasa nenda UDSM uone lecturers walivokua wanaa bro GPA unayopata ndo GPA yako halisi hakuna kuangushia kule lazima uhenye kuipata hata kama ni GPA ya 2.5
Mh½÷%2¼ e.g. for produce## poor grammar kama hujui kiingereza andika kiswahili Subiri wazungu wakupe tuition
Kwa sababu sio mhusika wa private universities ambako wanazalisha watu wenye GPA kubwa kwa wingi kuliko public universities.Wewe mwenye si muhusika wa public University hujui kwa nini?
Niulize mimi mkuu nitakupa each and every thingKwa sababu sio mhusika wa private universities ambako wanazalisha watu wenye GPA kubwa kwa wingi kuliko public universities.
Aliyefanyia utafiti na kupata data hadi akatoa matokeo haya ndo aseme kwa nini huko private kuna hali hii.
Yaani hata Kiingereza chako ni cha wasiwasi utafikiri umelazimishwa. Private universities are for profits and treat their students as commodities. I would agree with you if you were talking about countries like the USA where prestigious private universities like Harvard, Princeton, Yale, Stanford, John Hopkins, Northwestern, U.of Southern California, Columbia, MIT etc produce some of the best minds in the world. Lakini hapa Tanzania mkuu vyuo vikuu binafsi ni magumashi na wanachojali ni pesa tu. Ndiyo maana utakuta mkuu wa Idara hata Masters hana. Unategemea wanafunzi wanaozalishwa wakoje?
Nyie ndo mnafeli mitihani unajifanya hodari wa vocabulary kumbe unaandika kisichoeleweka. Use a simple English.Wabeja sana mwana wane kwa hili li comment maridhawa, nadhani baada ya kusoma reply hii mleta mada atakuwa kajiona mwenyewe alichokiandika ni uharo mtupu ambao haupaswi kutamkwa hadharani na msomi.
I do hope next time he'll try to be phlegmatic in order not to be beguiled by sham gimmicks of the so called private universities, also he will hide his surfet level of incognizance and mediocrity.
Umeshindwa kuelewa kutokana na umbulula ulionaoMkuu ingependeza kama ungetumia kiswahili maana nimeshindwa kuelewa hiyo lugha uliyotumia.
Daima tumia lugha unayoimudu sio kuparamia lugha za watu usizozijua.
Ok mkuu.Nyie ndo mnafeli mitihani unajifanya hodari wa vocabulary kumbe unaandika kisichoeleweka. Use a simple English.
Kiingereza chako. Na Nyani Ngabu. Na Kiranga. Kilishanishinda. Nadhani mnastahili u-Sir kutoka kwa Malkia. Mnaijua lugha yake kwa ufasaha wa ajabu. Na huyu mwenzangu na mimi mleta mada hata sijui kama ataelewa cho chote katika hii comment yako. Asante!!!Wabeja sana mwana wane kwa hili li comment maridhawa, nadhani baada ya kusoma reply hii mleta mada atakuwa kajiona mwenyewe alichokiandika ni uharo mtupu ambao haupaswi kutamkwa hadharani na msomi.
I do hope next time he'll try to be phlegmatic in order not to be beguiled by sham gimmicks of the so called private universities, also he will hide his surfet level of incognizance and mediocrity.
Hapana mkuu. Lizarazu. Nyani Ngabu. Na Kiranga. Kiingereza chao ni level nyingine. Siyo vocabulary tu bali hata sarufi yenyewe. Wanaijua hii lugha sawasawa!Nyie ndo mnafeli mitihani unajifanya hodari wa vocabulary kumbe unaandika kisichoeleweka. Use a simple English.
halafu inawezekana ameedit kabisa hata zaid ya mara tano kabla ya kupost...hahahaha...kweli kidhungu muachie pogba wa phdKaka;
Weye umeshangaa kichwa tu?? Umeusoma uzi wenyewe?? Jamani, hii lugha ya malkia ililetwa na meli, tusiishabikie kihivyo. Ndo maana wengi mnasema tuiondoe kwenye kufundishia chuo kikuu. Nadhani alipata shida saana kumsikia lecturer ka alipitia chuo chochote. It is so pathetic.
Hii ni lugha gani Mkuu?????????It's high time now to proud the private Universities for their work hard to produce students with quality knowledge than public universities.
Upo form gani!? Labda tuanzie na hapoMkuu ingependeza kama ungetumia kiswahili maana nimeshindwa kuelewa hiyo lugha uliyotumia.
Daima tumia lugha unayoimudu sio kuparamia lugha za watu usizozijua.