Comoro yatamani Muungano na Tanzania

FACTS

The people of the Comoros are among the poorest in Africa and are heavily dependent on foreign aid. Natural resources are in short supply and the islands' chief exports - vanilla, cloves and perfume essence - are prone to price fluctuations. Money sent home by Comorans living abroad is an important source of income.

The descendants of Arab traders, Malay immigrants and African peoples contribute to the islands' complex ethnic mix.


Full name: The Union of the Comoros
Population: 860,000 (UN, 2008)
Capital: Moroni
Area: 1,862 sq km (719 sq miles)
Major languages: Arabic, French, Comoran (a blend of Swahili and Arabic)
Major religion: Islam
Life expectancy: 63 years (men), 67 years (women) (UN)
Monetary unit: 1 Comoran franc = 100 centimes
Main exports: Vanilla, cloves, perfume oil, copra
GNI per capita: US $680 (World Bank, 2007)

Source: BBC
 
Mzalendo,

What the point of your facts! To be used as bases to accept or reject the union question? Fact without analysis they are hard to read sometimes .

Well, Power maniac might tell you, the island can be controlled and profitable too, with an extension of our army force we shall be in power. However, the socialist will tell you our national share the question of class, and so if we unite we can fight the capitalism. Which is which now? Because each position will provide different processes.
 
Hivi hawa Wangazija wanaifahamu CCM kisawasawa? Mimi nadhani kabla ya viongozi wao kufanya hivyo waend Visiwani (Zbr na Pemba) wakawaulize wananchi wa kawaida kama wamefaidika nini na Muungano.

Visiwa hivyo vimenasa katika historia -- hali ngumu sana ya maisha, mabasi ya mninga, wanaume wazima wanajifunga misuri ya khanga na mambo mengine ya ovyo ovyo tu. Ni viongozi wao tu ndiyo angalau wanaishi ktk pepo.
Kweli akutukanae hachagui tusi
 
Mwawado,
Like Zanzibar, Comoro needs us more than we need them. But unlike Zanzibar, Comoro recognizes this fact. Wale wamechoka kupinduana na wanajua fika isingekuwa mwungano Zanzibar would have been in total chaos for many many years. There has been social stability in Zanzibar but not political. Comoro yearns for social stability wishing that with it the political will take care of itself. That's where we come in. We can agree to some kind of federation but believe me they are going to look to us for military support.
 
Wananchi itapaswa kama huu muungano utakuja tuulizwe, yasije kuwa yale ya Zanziba tulipoungana kwa maamuzi ya viongozi. Kabla hatujawekana sawa na Zanziba hakuna haja kukimbilia kwa wacomoro.
 
Wananchi itapaswa kama huu muungano utakuja tuulizwe, yasije kuwa yale ya Zanziba tulipoungana kwa maamuzi ya viongozi. Kabla hatujawekana sawa na Zanziba hakuna haja kukimbilia kwa wacomoro.

Yah but we also need to have careful integration itakayoanzia na collective business and investment strategies kabla ya kuingia kwenye siasa zetu zinazoharibu nchi

afadhali hawa wa-comoro at least tunajua their main objective is not LAND GRABBING LIKE OUR COUSINGS FROM NORTH... they have some
 
Wananchi itapaswa kama huu muungano utakuja tuulizwe, yasije kuwa yale ya Zanziba tulipoungana kwa maamuzi ya viongozi. Kabla hatujawekana sawa na Zanziba hakuna haja kukimbilia kwa wacomoro.

Yah but we also need to have careful integration itakayoanzia na collective business and investment strategies kabla ya kuingia kwenye siasa zetu zinazoharibu nchi

afadhali hawa wa-comoro at least tunajua their main objective is not LAND GRABBING LIKE OUR COUSINS FROM NORTH... they have some
 
Pia tusisahau umuhimu wa, kwanza umbeli wa Comoro kutoka Tanganyika na pili ule mseto wa raia wa comoro wakiwemo wengine ambao kwa sasa hivi ni wapinzani wa muungano wa Tanganyika na Zanziba!
 
Sasa Muungano wa Comoro wakitaka wapige kura ya maoni na tuwaambie hadi asilimia 90 ya wapiga kura wakubali! Zanzibar sasa watajisikia vibaya tukiungana na Comoro.

Usijidanganye wazanzibari wanataka kama leo wawe kivyao ni Tanganyika ndio wamengangania ulimwengu MZIMA unaelewa hilo kuwa Tanganyika wapo DESPERATE wawe na wazanzibar HOW SAD IS THAT??????
 
laiti mgejua yanayoendelea pale Mgogoni mngesema alah kumbeeee ndo maaana...

anyway jamani nimejizuia wee nikashindwa mie ninakiri ni mbovu mbovu sana kwa hao ma binti wa Kingazija

unlike mabinti wakiZenji..

Kwanza wazuri,pili wanajua kutunza wanaume zao, tatu wajua kupika ,nne wanajua mambo,tano wasomi na wanapenda kujiendeleza kielimu,sita elimu ya dini tena ndo nyumbani kwake, saba Kifaransa ndio umemaliza, nane,zao hawana wivu hata kidogo tisa wanapenda maendeleo na kumi wale ni AHLUL BAIT sasa nadhani tungepelkwa kwenda kufanya scouting na research walau ya mwaka mzima kabla hiyo kura ya maoni haijapigwa

mnaonaje?

jamani mimi kwenye hili niko serious kama mko tayari semeni mimi nitaorganise kijitripu na hizo tiketi za kifisadi za ATC kama bado zipo
 
laiti mgejua yanayoendelea pale Mgogoni mngesema alah kumbeeee ndo maaana...

anyway jamani nimejizuia wee nikashindwa mie ninakiri ni mbovu mbovu sana kwa hao ma binti wa Kingazija

unlike mabinti wakiZenji..

Kwanza wazuri,pili wanajua kutunza wanaume zao, tatu wajua kupika ,nne wanajua mambo,tano wasomi na wanapenda kujiendeleza kielimu,sita elimu ya dini tena ndo nyumbani kwake, saba Kifaransa ndio umemaliza, nane,zao hawana wivu hata kidogo tisa wanapenda maendeleo na kumi wale ni AHLUL BAIT sasa nadhani tungepelkwa kwenda kufanya scouting na research walau ya mwaka mzima kabla hiyo kura ya maoni haijapigwa

mnaonaje?

jamani mimi kwenye hili niko serious kama mko tayari semeni mimi nitaorganise kijitripu na hizo tiketi za kifisadi za ATC kama bado zipo

Sheikh, unapatikana kwenye ile ile number yako? Kwenye hili swala la kuungana na hawa mabwana mie sipingi maana wengine tuna interests uko Comoro.
 
Wakuu wanayotamani watu wa comoro no wengi wanatutamani lakini basi wanashindwa...kila mtu anataka muungano na tanzania,hata hawa wapwa zetu hapo unguja wanajisemea tu...lakini wote wanaopiga kelele wanazipigia wakiwa star light au oysterbay...ningewaelewa sana kama wangesusa na kuamua kupiga kelele wakiwa chakwani!

..watanzania wenzangu nyerere aliliandaa taifa letu kuwa super power ,alijuwa utajiri wa rasilimali tunao..akaulinda na akaamua kwanza ajenge utajiri wa roho....watanzania ni matajiri wa roho...tunafurahi pamoja katika umasikini wetu [watoto wa temeke wanasema kugawana umasikini]...kwani ukiwa uswahilini wakipika wanaombana chumvi na chakula kikiiva wanabadilishana mboga....jirani analeta maharage ,wewe unampa kisonzo cha kisamvu,yule analeta papa ,wewe unapeleka sangara.....hiyo ndio falsafa ya kugawana umaskini.....maskini anakula mboga saba meza moja wakati yeye alipika mboga moja tu!!!...upendo uloje watanzania!!

Ndio mwalimu alitulea hivyo ndio maana tulichanga hadi nguo zetu za ndani na zaidi damu kuchangia ukombozi kusini........!!!matajiri walio karibu yetu ambao leo karibu hali zetu zinalingana pamoja na kuwa walikuwa mbele yetu saana ....wao hawakuchangia lakini leo wote tupo!!!

Tanzania lazima iwe super power kwani baada ya mwalimu kumaliza ground work ..tunamuomba mungu tumpate joshua ....kwani mwalimu amekufa kabla hatujafika nchi ya ahadi,...Joshua hatujampata .....bado!!!...akipatikana tukijenga uwezo mkubwa wa kiuchumi ......utajiri wa mali na fedha ...ukichnganya nautajiri wa roho....sioni nchi ya kuzuia influence yetu ...hasa kwenye mataifa ya jirani ambako makaburi ya askari wetu ,damu na michango yetu ipo....!!..kikwete asikate tamaa anao uwezo wa kuwa joshua wetu akitaka na akiamua kuwa serious!!!!..

damu za ndugu zetu na michango yetu mikubwa ipo.........Uganda,zimbabwe,congo,namibia,angola,afrika ya kusini,msumbiji,re union,comoro,...etc.!!!

Tuwaandae watoto wetu kufika pale tunapotaka!!!..tutaweza..tu kama tutatokomeza ufisadi..na tamaa za wachache wanaotaka kula matunda kabla hayajaiva........mwalimu angeamua kupopoa maembe....nani angejuwa????

Wacha Hizo wewe Kambarage kaondoka na ujamaa hii inaonesha kuwa siasa zake zilikuwa ni vitisho leo angalia Viongozi hao walioachiwa baada ya yeye kuondoka ulimwenguni nini kimekuwa inamaa amefeli Nyerere katika siasa zake mbovu kama walivyofeli kina urusi yakale yashapita waliopo madarakani ndio wanaotumia mali ya nchi wewe utakuwa unahubiri za nyerere na mambo ya ujamaa utajiri wanautumia hao walio madarakani inafika Viongozi wanaleta Magari kwa ndege hapa nchini hiyo sikufuru kitu gani wewe binafsi kijijini kwenu inawezekana maisha wanayoishi ni ya ndoto za ali nacha amka wacha itikadi hizo mbovu zimeshapitwa na wakati nchihii si ya ujamaa tena Nyerere alikufa na Ujamaaa wake sasa kuna ujamaa jina tu ili kuwafurahisha watu kama wewe wenye kuamini itikadi za kambarage na siasa za ujamaa
 
Wakuu wanayotamani watu wa comoro no wengi wanatutamani lakini basi wanashindwa...kila mtu anataka muungano na tanzania,hata hawa wapwa zetu hapo unguja wanajisemea tu...lakini wote wanaopiga kelele wanazipigia wakiwa star light au oysterbay...ningewaelewa sana kama wangesusa na kuamua kupiga kelele wakiwa chakwani!

..watanzania wenzangu nyerere aliliandaa taifa letu kuwa super power ,alijuwa utajiri wa rasilimali tunao..akaulinda na akaamua kwanza ajenge utajiri wa roho....watanzania ni matajiri wa roho...tunafurahi pamoja katika umasikini wetu [watoto wa temeke wanasema kugawana umasikini]...kwani ukiwa uswahilini wakipika wanaombana chumvi na chakula kikiiva wanabadilishana mboga....jirani analeta maharage ,wewe unampa kisonzo cha kisamvu,yule analeta papa ,wewe unapeleka sangara.....hiyo ndio falsafa ya kugawana umaskini.....maskini anakula mboga saba meza moja wakati yeye alipika mboga moja tu!!!...upendo uloje watanzania!!

Ndio mwalimu alitulea hivyo ndio maana tulichanga hadi nguo zetu za ndani na zaidi damu kuchangia ukombozi kusini........!!!matajiri walio karibu yetu ambao leo karibu hali zetu zinalingana pamoja na kuwa walikuwa mbele yetu saana ....wao hawakuchangia lakini leo wote tupo!!!

Tanzania lazima iwe super power kwani baada ya mwalimu kumaliza ground work ..tunamuomba mungu tumpate joshua ....kwani mwalimu amekufa kabla hatujafika nchi ya ahadi,...Joshua hatujampata .....bado!!!...akipatikana tukijenga uwezo mkubwa wa kiuchumi ......utajiri wa mali na fedha ...ukichnganya nautajiri wa roho....sioni nchi ya kuzuia influence yetu ...hasa kwenye mataifa ya jirani ambako makaburi ya askari wetu ,damu na michango yetu ipo....!!..kikwete asikate tamaa anao uwezo wa kuwa joshua wetu akitaka na akiamua kuwa serious!!!!..

damu za ndugu zetu na michango yetu mikubwa ipo.........Uganda,zimbabwe,congo,namibia,angola,afrika ya kusini,msumbiji,re union,comoro,...etc.!!!

Tuwaandae watoto wetu kufika pale tunapotaka!!!..tutaweza..tu kama tutatokomeza ufisadi..na tamaa za wachache wanaotaka kula matunda kabla hayajaiva........mwalimu angeamua kupopoa maembe....nani angejuwa????

NAOMBA NIANZE KWA KUTANIA KUWA 'aliyeandika hapa si philemon maiko bali ni mimi MAHESABU'
UMETOA WAPI MAWAZO HAYA YA KI ZALENDO NA MOYO ULIYOJAA U-TANZANIA.....?
SASA NAJUA KUWA "KUNA AKINA ELIYA WENGINE WENGI TU"
KUNGEKUWA NA BUTTON YENYE % THANKS, YOU COULD HAVE THE BEST %......!
THANKS A MILLION....!
 
Pamoja na matatizo madogo2 Muungano na ndugu zetu wa visiwani ...Faida Comoro watakayoitapa ni kuwa Politically Stable na hii threat ya mapinduzi na visiwa vingine kujitenga mara kwa mara itaisha!

Mzalendo mitazamo ya aina hii ndiyo inayosababisha wazalendo wafungie macho kero za muungano na suala zima la muafaka ilhali damu zimemwagika na tukichelea - Jalia apishilie mbali - zitamwagika tena 2010!
 
Wacha Hizo wewe Kambarage kaondoka na ujamaa hii inaonesha kuwa siasa zake zilikuwa ni vitisho leo angalia Viongozi hao walioachiwa baada ya yeye kuondoka ulimwenguni nini kimekuwa inamaa amefeli Nyerere katika siasa zake mbovu kama walivyofeli kina urusi yakale yashapita waliopo madarakani ndio wanaotumia mali ya nchi wewe utakuwa unahubiri za nyerere na mambo ya ujamaa utajiri wanautumia hao walio madarakani inafika Viongozi wanaleta Magari kwa ndege hapa nchini hiyo sikufuru kitu gani wewe binafsi kijijini kwenu inawezekana maisha wanayoishi ni ya ndoto za ali nacha amka wacha itikadi hizo mbovu zimeshapitwa na wakati nchihii si ya ujamaa tena Nyerere alikufa na Ujamaaa wake sasa kuna ujamaa jina tu ili kuwafurahisha watu kama wewe wenye kuamini itikadi za kambarage na siasa za ujamaa


...Nimeangalia profile ...nikasema basi,nakushauri utafute thread za mwalimu nyerere humu ndani ..utaelewa namaanisha nini!!...ndio sikulaumu mara nyingi watu wenye mawazo kama wewe..wengi hawajuwi kwanini wamezaliwa!!!...pili hawajuwi kwa nini ni watanzania,tena waafrika!!!

moja ya maswali ya kwanza kwenye darsa mengi ya imani ...au kizalendo,ni swali: kwa nini Mungu Ametuumba?[jibu:tumjuwe,tumpende na tumtumikie?]......sasa ukienda kwenye falsafa zote za kizalendo majibu hutofautiana lugha ..lakini ujumbe mwisho ni huo!!!..hata john kenedy alipowaambia wamarekani kuwa wasiulize marekani itawafanyia nini ,bali wajiulize wameifanyia nini marekani ....ujumbe ni KUTUMIKIA[marekani]

ITIKADI za kisiasa huja na kuondoka kutokana na enzi....hata china leo wameachana na ujamaa wa mao....LAKINI kazi za mao HAZIWEZI KUDHUBUTU kupuuzwa....the same to kina ROOSEVELT,WASHINTON,JOSEPH STALIN....etc....sera za mwalimu zimepita lakini tunasimama kwenye misingi yake ,misingi yake ya UTU...na UNDUGU....,MSHIKAMANO...,umoja,nani anakataa ile misingi..ya ubinadamu???...atakuwa hajuwi kwa nini yupo...nani anakataa vision ya mwalimu kwenye rasilimali,viwanda,utaifa na mengineyo.......

Anayekataa misingi hiyo basi anayo kasoro kubwa!!
 
JF,

Raisi wa Comoro anatamani siku moja Kuwa na Muungano na Mainland kama ule wa Zanzibar! Pamoja na matatizo madogo2 Muungano na ndugu zetu wa visiwani kwa sasa je kuna haja ya Tanzania kufikiria jambo hili?

Faida Comoro watakayoitapa ni kuwa Politically Stable na hii threat ya mapinduzi na visiwa vingine kujitenga mara kwa mara itaisha! Faida kwa Tz zaidi ni kisiasa kwani hawa ni ndugu zetu na kama kuna shida itabidi tu tukawasaidie!

Tayari Exim Bank wamefungua tawi Moroni na Kiswahili kimeanza kufundishwa Chuo Kikuu cha Comoro! Pia kuna biashara kubwa tu kati yetu kwa sasa!

Komoro sii mwanachama wa SADC wala EAC kwa sasa tofauti na visiwa vingine Madagaska, Mauritius na Ushelisheli ambapo ni wanachama wa SADC!

Je wakuu mnaonaje?



Source: HabariLeo | Kikwete awaonya wanasiasa Comoro


Hivi Shelisheli ni wanachama wa SADC tangu lini????!!!!!!
 
delicious ideal.
Go Tanzania grow
Nakubaliana na wazi ila safari hii tuwe makini katika kujiunga na ndugu zetu wa kiafrika ili kuepuka vipengele vya muafaka siku za usoni.
Zak Malang

Hivi hawa Wangazija wanaifahamu CCM kisawasawa? Mimi nadhani kabla ya viongozi wao kufanya hivyo waend Visiwani (Zbr na Pemba) wakawaulize wananchi wa kawaida kama wamefaidika nini na Muungano.

Visiwa hivyo vimenasa katika historia -- hali ngumu sana ya maisha, mabasi ya mninga, wanaume wazima wanajifunga misuri ya khanga na mambo mengine ya ovyo ovyo tu. Ni viongozi wao tu ndiyo angalau wanaishi ktk pepo.
Nashauri ktk suala la maslahi ya Taifa tusimame kama taifa moja mambo ya siasa ni masuala yetu ya ndani na ni jukumu letu kuyaweka sawa.
 
mie ugonjwa wangu ni wale ma binti wa kingazija

it doesnt matter sie tuchukue tuu ile nchi bwana weee ah
 
Back
Top Bottom