CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Nimejaribu kutafakari uchambuzi wa CNN kuhusu kushikiliwa kwa Freeman Mbowe, kuna kitu wanaongelea sana pale "timing of arrest". Nadhani exposure yao ni kubwa sana kwa siasa za mataifa mbalimbali ikiwemo siasa za bara la Africa. Tunafahamu katika tools za kupatia taarifa kwa mashirika ya kijasusi kama CIA ni kuptia vyombo hivi vilivyoenea duniani kote, mfano BBC inatumika na MI6, kuna Aljazeera huko Asia na kadhalika.

Kiuhalisia CNN inaichambua hali yetu ya kisiasa kama ya mwaka mmoja uliopita na ikimnasibisha Mama yetu na Hayati Magufuli. Inasema kuwa yeye alikuwa msaidizi wake so inawezekana ameamua kuendeleza mfumo ule. Kimataifa hii inaturudisha kule tulipotoka, kule kwenye matamko ya jumuiya ya kimataifa, kule kwenye kuanza kututenga na kumuandama Rais wetu.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tunapaswa kujenga taswira nzuri kimataifa. Simaanishi Sheria zisifuatwe la hasha lakini hizi sheria zinazoleta makosa yanayomnyima mtu Dhamana hata Samia alishazuia kutumika hovyo. Tunakumbuka kesi ya kina Mbowe ambayo walishinda kwa rufaa na kurudishiwa fedha zao, ikumbuke Mbowe alishakaa ndani miezi mi4 kama Sugu na Lema na wengineo.

CNN wanahoji je kudai katiba mpya, kukusanyika, kufanya kusanyiko wa kisiasa ni "Constitutional Rights" (Wao wameziona wapi hizi haki?) means wamesoma katiba yetu.

Kwa jicho la tatu maana yake wao wanaona kama Serikali yetu inatunyima haki zetu za kikatiba. Hii ina maana mbaya sana kwa 6th Regime ya JMTkimataifa hasa kipindi hiki ambacho Mama anataka kuifungua nchi kuongeza wawekezaji na kuleta Maendeleo ya kiuchumi.

Serikali ipambane na wavunja Sheria,iendelee kupambana na ugaidi lakini isiwabambikie kesi hasa kwa makosa yanayonyima dhamana.

Kazi na iendelee!



 
CCM huwa hawa- calculate impact ya mambo yao ya kijinga wanayofanya, wanakurupuka wanaharibu halafu kesho wanaanza safari za kwenda nje kuongea na nchi wahisani, chama cha kichovu sana, ndio maana taifa linazidi kuzama kwenye umasikini wakati wao toka 1961 wanasema wanapambana nao.
 
Nimejaribu kutafakari uchambuzi wa CNN kuhusu kushikiliwa kwa Freeman Mbowe, kuna kitu wanaongelea sana pale "timing of arrest". Nadhani exposure yao ni kubwa sana kwa siasa za mataifa mbalimbali ikiwemo siasa za bara la Africa. Tunafahamu katika tools za kupatia taarifa kwa mashirika ya kijasusi kama CIA ni kuptia vyombo hivi vilivyoenea duniani kote, mfano BBC inatumika na MI6, kuna Aljazeera huko Asia na kadhalika.

Kiuhalisia CNN inaichambua hali yetu ya kisiasa kama ya mwaka mmoja uliopita na ikimnasibisha Mama yetu na Hayati Magufuli. Inasema kuwa yeye alikuwa msaidizi wake so inawezekana ameamua kuendeleza mfumo ule. Kimataifa hii inaturudisha kule tulipotoka, kule kwenye matamko ya jumuiya ya kimataifa, kule kwenye kuanza kututenga na kumuandama Rais wetu.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tunapaswa kujenga taswira nzuri kimataifa. Simaanishi Sheria zisifuatwe la hasha lakini hizi sheria zinazoleta makosa yanayomnyima mtu Dhamana hata Samia alishazuia kutumika hovyo. Tunakumbuka kesi ya kina Mbowe ambayo walishinda kwa rufaa na kurudishiwa fedha zao, ikumbuke Mbowe alishakaa ndani miezi mi4 kama Sugu na Lema na wengineo.

CNN wanahoji je kudai katiba mpya, kukusanyika, kufanya kusanyiko wa kisiasa ni "Constitutional Rights" (Wao wameziona wapi hizi haki?) means wamesoma katiba yetu.

Kwa jicho la tatu maana yake wao wanaona kama Serikali yetu inatunyima haki zetu za kikatiba. Hii ina maana mbaya sana kwa 6th Regime ya JMTkimataifa hasa kipindi hiki ambacho Mama anataka kuifungua nchi kuongeza wawekezaji na kuleta Maendeleo ya kiuchumi.

Serikali ipambane na wavunja Sheria,iendelee kupambana na ugaidi lakini isiwabambikie kesi hasa kwa makosa yanayonyima dhamana.

Kazi na iendelee!




Donald Trump alishasema CNN ni fake news kazi yao ni kufanya propogada kwa maslahi ya main stream media. Ukitaka kujua mengi zaidi kuhusu hii fake news watch Fox News hao ndio kiboko yao. Wamarekani wengi hawaangalii CNN
 
Donald Trump alishasema CNN ni fake news kazi yao ni kufanya propogada kwa maslahi ya main stream media. Ukitaka kujua mengi zaidi kuhusu hii fake news watch Fox News hao ndio kiboko yao. Wamarekani wengi hawaangalii CNN
Mwongo wewe.
Unaongea ki CCM CCM tu.
 
Dunia yote iko against na CCM.

Usiseme dunia yote.... sababu wapo wa amerika, wa ulaya na wa asia wengi tuu wanaipenda CCM
Sema mabeberu na ma agents wao wako against na CCM

Na uwaambie hatupangiwi🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️😆😆😆😆
 
Msisahau dunia nzima anakataa mikusanyiko kwa kujikinga na Corona. Je kukusanyika kwanza si kueneza Corona?
Unaishi dunia gani? Wenzako walishapata chanjo na sasa juzi adi Euro tuliona wamejazana viwanjani halafu unaongea mambo ya mikusanyiko?
 
Back
Top Bottom