The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Clouds TV jana iliita muuza madawa ya kulevya anaeitwa Jack Cliff kuja kujitetea jinsi alivyokamatwa na madawa ya kulevya.
Taarifa za uhakika zinaonyesha kua mamlaka nchini China/Macau zilimkamata Jack akiwa na madawa ya kuelvya aina ya Heroine kilo 1.1 mwilini mwake na kupelekea kufungwa miaaka 7.
Jack ametumia muda aliopewa Clouds kubadilisha hiyo taarifa na kusema uongo kwamba alipewa kwenye begi na rafiki yake na hakua anajua kama alikua na madawa ya kulevya kwenye begi.
Kwenye mashitaka aliyokiri Macau alikamatwa na dawa tumboni, Tanzania anapewa airtime kubadilisha ukweli, kuhamisha lawama kwamba alipewa na rafiki yake kwenye begi. Clouds wamempa airtime ajisafishe, aonekane ni mtu alieonewa, alietegeshewa.
Clouds imekua ni station ya kutetea convicted drug dealers na kuwapa airtime wajisafishe. TCRA ipo, wizara ipo na serikali ipo inaangalia Clouds TV ikiwapa muda wauza madawa ya kulevya kujitetea na kubadilisha ukweli.
TCRA mko wapi wauza madawa ya kulevya wanatamba kwenye tv zetu mko kimya?
Taarifa za uhakika zinaonyesha kua mamlaka nchini China/Macau zilimkamata Jack akiwa na madawa ya kuelvya aina ya Heroine kilo 1.1 mwilini mwake na kupelekea kufungwa miaaka 7.
Jack ametumia muda aliopewa Clouds kubadilisha hiyo taarifa na kusema uongo kwamba alipewa kwenye begi na rafiki yake na hakua anajua kama alikua na madawa ya kulevya kwenye begi.
Kwenye mashitaka aliyokiri Macau alikamatwa na dawa tumboni, Tanzania anapewa airtime kubadilisha ukweli, kuhamisha lawama kwamba alipewa na rafiki yake kwenye begi. Clouds wamempa airtime ajisafishe, aonekane ni mtu alieonewa, alietegeshewa.
Clouds imekua ni station ya kutetea convicted drug dealers na kuwapa airtime wajisafishe. TCRA ipo, wizara ipo na serikali ipo inaangalia Clouds TV ikiwapa muda wauza madawa ya kulevya kujitetea na kubadilisha ukweli.
TCRA mko wapi wauza madawa ya kulevya wanatamba kwenye tv zetu mko kimya?