Wamejikomoa wenyewe,
Tunawashukuru kwa ku,uuwa Bob na kutuachia bangi zetu.Mbaya zaidi wangemuuwa Bob Marley na Wakamuuwa Bangi hapo wangenikera saaan
Msiovuta Bangi mnapata tabu sana,Sie wavuta Bangi tunawasiliana na Bob Marley na kuongea nae kama kawaida tu,na tunagonga tano.feelings za Ganja acha kabisa,yule jamaa mzimu wake upo pale.
Sasa ukitaka kuwasiliana na Bob na kupata ushauri wowote kutoka kwake,naomba tafuta Ganja kisha piga puri kama nne hivi,utaibukia Jamaica,Masharti yake tu mtu aiskustue wala kukusemesha wakati wa feelings,mwambie stim zinalipiwa.
Sasa kama wanaweza wauwe na Bangi.
ehhh,sasa ndio nimeandika nini !!!