sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Mke: Mume wangu, mdogo wangu kile kipindi utumishi wanasimamia ajira hakupata kabisa.
Mme: Ni kweli utumishi walikuwa pasua kichwa, walituharibia sana, mambo ya connection yalipigwa panga.
Mke: Sasa Mama karuhusu Mashirika mjisimamie msaidie basi mdogo wangu.
Mme: Ondoa shaka, mdogo wako aombe tu, mengine ntamalizia
Nikiri kwamba kulikuwa na malalamiko ya utumishi kuchelewa kuita watu kazini ila ni vema hayo malalamiko yangefanyiwa kazi kuliko Rais kuruhusu taasisi ziajiri zenyewe,
Unadhani mabosi wataruhusu watoto wao ama ndugu zao wabaki mtaani kisha wewe usie na connection hata uwe na cheti kizuri upenye ? Ni ngumu sana hio!! Na ndio maana kulikuwa na utumishi ili kukabiliana na hili maana hata hao mabosi pamoja na elimu zao ni binadamu tena waafrika wenye utamaduni wa kuweka mbele watoto, ndugu, marafiki, watu wa kabila lao, dini yao, n.k.
Utumuishi pamoja na changamoto zake wengi tulijionea mambo ya connection yalipungua sana, watu hata waliotoka familia za chini ilikuwa kawaida sana wanapenya.
Ghafla mwezi wa pili Mama akatoa speech kwamba taasisi nazo waanze kujisimamia ajira, Balaa ndipo lilipoanzia hapa sasa linaloenda kuleta ubaguzi kwenye ajira.
Nimeona pia mitihani haifanywi sehemu moja ni mikoa tofauti tofauti, zamani wote mlikuwa mnaenda Dodoma ila kwa utaratibu huu mpya ni rahisi kuvuja mtihani.
Source"
Kuruhusu mashirika yajisimamie kwenye ajira badala ya utumishi
TRA Tangazo la kuitwa wenye Usaili
Mme: Ni kweli utumishi walikuwa pasua kichwa, walituharibia sana, mambo ya connection yalipigwa panga.
Mke: Sasa Mama karuhusu Mashirika mjisimamie msaidie basi mdogo wangu.
Mme: Ondoa shaka, mdogo wako aombe tu, mengine ntamalizia
Nikiri kwamba kulikuwa na malalamiko ya utumishi kuchelewa kuita watu kazini ila ni vema hayo malalamiko yangefanyiwa kazi kuliko Rais kuruhusu taasisi ziajiri zenyewe,
Unadhani mabosi wataruhusu watoto wao ama ndugu zao wabaki mtaani kisha wewe usie na connection hata uwe na cheti kizuri upenye ? Ni ngumu sana hio!! Na ndio maana kulikuwa na utumishi ili kukabiliana na hili maana hata hao mabosi pamoja na elimu zao ni binadamu tena waafrika wenye utamaduni wa kuweka mbele watoto, ndugu, marafiki, watu wa kabila lao, dini yao, n.k.
Utumuishi pamoja na changamoto zake wengi tulijionea mambo ya connection yalipungua sana, watu hata waliotoka familia za chini ilikuwa kawaida sana wanapenya.
Ghafla mwezi wa pili Mama akatoa speech kwamba taasisi nazo waanze kujisimamia ajira, Balaa ndipo lilipoanzia hapa sasa linaloenda kuleta ubaguzi kwenye ajira.
Nimeona pia mitihani haifanywi sehemu moja ni mikoa tofauti tofauti, zamani wote mlikuwa mnaenda Dodoma ila kwa utaratibu huu mpya ni rahisi kuvuja mtihani.
Source"
Kuruhusu mashirika yajisimamie kwenye ajira badala ya utumishi
TRA Tangazo la kuitwa wenye Usaili