relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,429
- 5,469
Ni moja kati ya misiba tuliyonayo ndo graduate wewe kwa uandishi huu? Kama ndo mwalimu ww basi tuna safari ndefu kufika tz ya viwanda.nilishamalizaga ud kitambo undergraduate
Ni moja kati ya misiba tuliyonayo ndo graduate wewe kwa uandishi huu? Kama ndo mwalimu ww basi tuna safari ndefu kufika tz ya viwanda.nilishamalizaga ud kitambo undergraduate
Tena wanawasifiaga kabisa mmependeza waremboTatizo linaanzia kwa sisi wenyewe,
Vitu vidogo sana ambavyo havina effect kubwa ila tunavifanya viwe vikubwa.
Hawa hawa viongozi wanaokomaa na mavazi ya dada zetu ila wengi wao wanaoishi masaki na iysterbay lakini ukipita pale ilipokuwa maisha ya zamani utakuta malaya kibao. Pale leaders utawakuta malaya kibao na kote huko ni karibu na makazi yao na wao wanapita na magari yao usiku kuwaangalia dada zetu makalio ila wakija kwenye magazeti na tv wanajifanya makauzu kumbe mafirauni wana nyumba ndogo wanatoa degree za chup kibao.
hahaha imebidi nimtafute ndugu yangu ambae yupyupo pale anielezee, ameniambia hizo suruali zenyewe ni kwa watu weusi tuu!kile chuo kina wachina wengi na uwa wanapita pale hata na shorts, jeans hawaguswi ila jaribu wewe mtanzania hata kama unaulemavu wa miguu unakokotwa nje.Hii ndio nchi yetu unafki unafki unafki tuu badala tuelekeze nguvu kukomboa intellectual ability ya wanafunzi wetu,tunawaongezea stress na mazingira magumu ya kusoma, mwisho hao wachina wakitoka hapo na best output wanaenda kuendeleza kwao nyie mnarudi kuwaomba misaada!ts a disappointment kwakwelihaya kashtaki kwa mwalim wako wa muandiko zumbukuku wewe nitolee kelele hapa najadili na watu timamu tuuNi moja kati ya misiba tuliyonayo ndo graduate wewe kwa uandishi huu? Kama ndo mwalimu ww basi tuna safari ndefu kufika tz ya viwanda.
haya hongera kwa kujua kusahihisha uandishi na akili zako kuishia hapoKwanza, hakuna kitu kinachoitwa chuo cha UDOM...
Yaani hapo umesema chuo cha University of Dodoma..
Elimu, Elimu, Elimu

Umeshinda mremboWe ungekuwa na hekima usingekurupuka hapa kuvamia thread ya mtu humjui kutoa uharo wako wewe ni zero tena I doubt not only ur brain ability ila nadhan una serious psychological disorders yan we ni chizi first grade nd kama huamini kapime. ..mtu timamu haibuki tuu kumu attack personally mtu asiemjua tena janaume kabisa we sio mzima wewe hata hormones zako nina wasiwasi mxiew eti nafanya kazi wapi? hi wewe mzima kweli nikuambie napofanyia ili iweje? inakuhusu nini? We vipi jamn una wadudu kichwani?
Ndo kozi gani hii mkuunilishamalizaga ud kitambo undergraduate
HAHAHA WATAJUA WENYEWEViva udsm. .much respect mlimani eehh. .Hongera the Dr to be ..hahaha ngja waje wazee wa kupanick waseme unawaringishia![]()
Udom Kuna wachina Wengi embu nambie wapo College gani?Tena wanawasifiaga kabisa mmependeza warembohahaha imebidi nimtafute ndugu yangu ambae yupyupo pale anielezee, ameniambia hizo suruali zenyewe ni kwa watu weusi tuu!kile chuo kina wachina wengi na uwa wanapita pale hata na shorts, jeans hawaguswi ila jaribu wewe mtanzania hata kama unaulemavu wa miguu unakokotwa nje.Hii ndio nchi yetu unafki unafki unafki tuu badala tuelekeze nguvu kukomboa intellectual ability ya wanafunzi wetu,tunawaongezea stress na mazingira magumu ya kusoma, mwisho hao wachina wakitoka hapo na best output wanaenda kuendeleza kwao nyie mnarudi kuwaomba misaada!ts a disappointment kwakweli
We nae nani kakuuliza sasa si umpeleke tuu ajabu nin?maji hufuata mkondo sasa usitafte 7bu ya wanao kurithi zero zako ni genes tuu wanarithi wengine hawahusiki hapo afu koma kunifananisha mimi na mazumbukuku including u ..We unavyotuambia plan zako za kuzaa mafundi garage kuna haja ganiwasomi wangu,,ebu angalieni vitu mnavyobishana,, hakukuwa na haja ya kupoteza muda kumjibu.mtu mwenye akili nzr anaesoma comment zenu atajua tu akili za mtoa mada na wachangiaji zinafanana. kama kweli mtoa mada hii ni mhitimu wa chuo hata ngazi ya certificate mwanangu akimaliza form four nitampleka garage tu,, hakuna umuhimu wa elimu tena.
Sasa wewe ndio umefunga dimba la mazumbukuku wote hahahhhhntajuaje kwani nasoma hapo, anyways thread inafutwa 4 the sake of an apology from an institution na wadau kuahidi kushughulikia,Udom Kuna wachina Wengi embu nambie wapo College gani?
hahah maskn umeona a e I o u tuu za darasani kwenumi nlijua thread ya maana kumbe a e i o u
wallah nimecheka sana safari hii kweli umaskini wa elimu ni mbayaawaambie mapovu yanawatoka wakisikia mtu kasomea udsm itadhania sie ndio tuliwaambia waolewe na ud ..UDSM, ndo Mme Wa vyuo vyote Tanzania ikiwemo na Udom.
tena nimeahirisha sifuti post wapasuke mpaka wakaombe kurudia shule wapewe opportunity ya kuingia udsm na wao
Akili ni nywele kweli!...kila mtu ana za kwake! Mi naombea tu muwe na utashi mzuri wa kuwa na channel nzuri za kuingiza hela tu! Hayo mengine ni mbwembwe tu!