Chuo cha UDOM ni majanga

Chuo cha UDOM ni majanga

Jamani ukivaa "bwanga" "nchale" ukivaa modo "nchale" tufanyeje sasa??
aisee ukiwa mwanamke lazima u feel hii pinch ..umaamuma wa wafanyakazi wachache unasababisha hadha mno kwa wateja wa kike, sidhani kama wanaume wanapata harassment vile, na wanawake sijui hatupendani yan yule dada walikuwa wanapita wafanyakazi wa kiume wanamuhurumia. .wale wadada reception wakavuu
 
Wakiachwa UDOM wanatembea uchi....wamezuiwa UDOM wamemnyanyasa...lipi Jema.........dress code lazima iangaliwe sio kukurupuka tu ...wemngine na night dress, wengine nguo za mazoezi....big up UDOM Kama mmeanzisha hilo
waweke sare tuu magauni kama nuns basi ijulikane moja, manake kama mpaka mabwanga wanakataza sasa bora wawape kanzu
 
iih hihihhhh ok I agree ur a a udbs student or unless otherwise unaambiwa majina ya has ma Dr and wewe unakurupuka tuu kuwataja hapa. .hahaha sasa anaekuambiaanakudanganya big time manake hao unaowataja ndio walikuwa hawana time kabisa na mambo za standard 2 uandishi fasihi ..yan bora ungemtaja hata Minja kidogoo ningekuelewa kwa mbali
Mkuu una bahati sana ningejua jina lako ningelipeleka jina lako kwa Dr Mbamba sasa hivi mana ndiye Dean wetu saizi UDBS.

Dr Minja hawezi kuvumilia ujinga wako uandishi gani huo, tena akikusikia atakutafuta mpaka akufutie shahada yako.
 
Tuambie kilichompeleka na kilichosababisha wambalase lasivyo nawe inabidi tuhoji uelewa wako ktk kuwasirisha maada
 
Tuambie kilichompeleka na kilichosababisha wambalase lasivyo nawe inabidi tuhoji uelewa wako ktk kuwasirisha maada
whatever kilichompeleka sio sawa kumdharilisha mtu vile katika ofisi za uma. .mada inajitosheleza ukiisoma vzuri na yoyote mwenye intellectual ability ameelewa kinachoongelea. .ref human nd citizens rights /maadili ya kazi ofisi za uma. .hvyo tuu kwa kukusaidia watz wengi hamjui haki zenu ndio maana hamuelew kinachoongelewa. .anyways swala la kuhoji uelewa wa mtu ni haki yako ya msingi kabisa baba kama una hoja zinazojitambua hojiii
 
Elimu yako haijakukomboa, fanyia kazi hiyo elimu yako na sio kuishia kujinadi mitandaoni wewe sio wa kwanza kufika hiyo level labda katika ngazi ya familia na ukoo wenu na ndio maana unashindwa kuelewa comments za wana JF eti kisa tu unadhani kuwa wewe una elimu kuliko sisi sote Tz nakutakia utekelezaji mwema
 
ZILE SPIRIT TULIZOPATA UDSM BADO ZIPO NGOJA NIKAE KIMYAA MAANA SIKU CHACHE NITAKUWA MWALIMU WAO WA TUTORIAL
 
Elimu yako haijakukomboa, fanyia kazi hiyo elimu yako na sio kuishia kujinadi mitandaoni wewe sio wa kwanza kufika hiyo level labda katika ngazi ya familia na ukoo wenu na ndio maana unashindwa kuelewa comments za wana JF eti kisa tu unadhani kuwa wewe una elimu kuliko sisi sote Tz nakutakia utekelezaji mwema
ooh aisee thank u xana nilikuwa nawaza the same thing! kinachotusumbua watanzania ni inferiority complex tuu!watu mnaumiaga sana kuona mtu kawa juu yako hiyo ni roho ya kichawi kwanza alafu 4 ur information. .hyo degree niliyoiandika hapo sina cha kuringia nayo hata! my dream takes me so so much far from there! actually nipo embarrassed mno kusema nina kidegree. .afu niwaringie kuna anaenijua humu? hata nikikuambia cv yangu nd hunijui huniajiri itakusaidia nin?au utaaminije? Bro mimi sio zumbukuku kama hao mazumbu huko juu wanaong'ang'ania wawe a knowledged kuwa wamenipita elimu sjui kwa miandiko yao mi hata siwaelewii hahaha. .yan unambishia mtu usiemjua ..unamtambia mtu asiekujua 4 what? anyways thank u kwa ushauri ila nikuambie tuu inferiority complex ndio tatizo. .nilisema kwa marketing implication nyingne kabisa management ikipate nd dhumun ni kusaidia organisation husika ambayo inaonekana kushindwa kusikia internal voices na ku shout out a voice 4 justice of those kids who are psychologically tortured!I seriously didn't think ningefika huku manake nafundisha marketing brand sasa !thing z wahusika wameshaona and wameelewa nd one of them kani inbox ku apologise kwa lile tukio promising to sereously handle it. .All in all Jaman eeh sio kila thread lazima u comment ukiona imekuumiza. .ime ku offend au anyhow ujue haikuhusu. ..somethings are only 4 intellectuals! not everything is 4 everyone. .swala la mtu kujihisi namringia sjui nini that is really really out of my scope beyb that degree z the least I can be proud of in my cv! ok
 
Una upper ya marketing ila hekima una "F"

Sipendi sifa za kijinga hivyo nimekuzidi elimu jua hilo.

Unafanya kazi taasisi gani hiyo mwenetu.
We ungekuwa na hekima usingekurupuka hapa kuvamia thread ya mtu humjui kutoa uharo wako wewe ni zero tena I doubt not only ur brain ability ila nadhan una serious psychological disorders yan we ni chizi first grade nd kama huamini kapime. ..mtu timamu haibuki tuu kumu attack personally mtu asiemjua tena janaume kabisa we sio mzima wewe hata hormones zako nina wasiwasi mxiew eti nafanya kazi wapi? hi wewe mzima kweli nikuambie napofanyia ili iweje? inakuhusu nini? We vipi jamn una wadudu kichwani?
 
Yaani wewe mtoa mada unadai umeseoma UDSM ila bado una "mishe zako" zinazokupitisha UDOM chuo ambacho na ww unaunga mkono ni "cha kata"....mtu "intellectual" kama wewe mwenye "degree ya UDBS" ila mwenye ndugu zako wanaosoma UDOM...really? Unaandika tu kiujumla kwamba Chuo kimekuwa majanga kwa vile tu mtu mmoja kaulizwa kuhusu uvaaji wake....hiyo inafanya chuo kuwa majanga? Kwa nininusingeandika tu labda kuna mtu kadhalilishwa (kwa mawazo yako) sehemu fulani? Unafahamu marketing, nikikwambia kwamba lengo lako ilikuwa kuchafua jina la chuo kwa ujumla utakataa? Au na sisi tuilaumu UDSM kwa kuruhusu mtu kama wewe kupata degree kwa "intellectual ability" uliyoionyesha hapa?

Cc Asprin, elimu elimu elimu!
 
Back
Top Bottom