Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Na mtu mwenyewe aliyeandika huo "utafiti utumbo" anaitwa muke ya muyahudiYaani wewe mtoa mada unadai umeseoma UDSM ila bado una "mishe zako" zinazokupitisha UDOM chuo ambacho na ww unaunga mkono ni "cha kata"....mtu "intellectual" kama wewe mwenye "degree ya UDBS" ila mwenye ndugu zako wanaosoma UDOM...really? Unaandika tu kiujumla kwamba Chuo kimekuwa majanga kwa vile tu mtu mmoja kaulizwa kuhusu uvaaji wake....hiyo inafanya chuo kuwa majanga? Kwa nininusingeandika tu labda kuna mtu kadhalilishwa (kwa mawazo yako) sehemu fulani? Unafahamu marketing, nikikwambia kwamba lengo lako ilikuwa kuchafua jina la chuo kwa ujumla utakataa? Au na sisi tuilaumu UDSM kwa kuruhusu mtu kama wewe kupata degree kwa "intellectual ability" uliyoionyesha hapa?
Cc Asprin, elimu elimu elimu!
Kwake yeye mtu kuvaa nguo pana, na "akadhalilishwa" kwa tafsiri yake yeye, inatosha kabisa kukifanya chuo kiwe majanga...
Elimu, elimu, elimu.
hvi we mzee mzima wewe? why una4ce kujadili mada zilizo nje ya iq yako sasa? cheki linavyoongea pumba we utakuwa psych sio bure

