muke ya muyahudi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 399
- 179
- Thread starter
- #81
kwahiyo uki graduate ud huruhusiwi kupita vyuo vingine na kama huoni chuo kinahusikaje hapo then umekurupukia tuu mada iliyo nje ya ability yako we nae, umeandika vtu havina a wala b hata naona uvivu kukujibu bwana kasome vitabu kuna mwenzako nimempa hint ya source huko juu mi usinipe ajira ya ualimu hapa, nikichafue au kinajichafua mwenyewe?kwahiyo ulitaka nisemeje we kwa akili yako umeelewa content au umeona udsm tuu ukapanick na uwezo wako 0 wa kufikiriYaani wewe mtoa mada unadai umeseoma UDSM ila bado una "mishe zako" zinazokupitisha UDOM chuo ambacho na ww unaunga mkono ni "cha kata"....mtu "intellectual" kama wewe mwenye "degree ya UDBS" ila mwenye ndugu zako wanaosoma UDOM...really? Unaandika tu kiujumla kwamba Chuo kimekuwa majanga kwa vile tu mtu mmoja kaulizwa kuhusu uvaaji wake....hiyo inafanya chuo kuwa majanga? Kwa nininusingeandika tu labda kuna mtu kadhalilishwa (kwa mawazo yako) sehemu fulani? Unafahamu marketing, nikikwambia kwamba lengo lako ilikuwa kuchafua jina la chuo kwa ujumla utakataa? Au na sisi tuilaumu UDSM kwa kuruhusu mtu kama wewe kupata degree kwa "intellectual ability" uliyoionyesha hapa?
Cc Asprin, elimu elimu elimu!
unaruka ruka tu unadhani wanaoluchallenge hapa hawajaenda shule? Ficha upumbavu wako usifiche hekima yako