Mkuu inabidi urudi tena kupigwa msasa na Dr Mburamara hii ushakuwa manager tena maskni see u when u wake up
Mkuu inabidi urudi tena kupigwa msasa na Dr Mburamara hii ushakuwa manager tena maskni see u when u wake up
kwa liplipi we nae?Unamjua Mbamba wewe kwanza? Mbamba uje umuambie ujinga wa kiswahili chuo tena spelling error?unachekesha kweli actually he z the one who taught me education z more about analysis ability and cotent period!plus sipo kwa any official matter hapa kam umekosa point sio lazima uongee ilimrad tuu nikuandikie kifasaha wewe sina shughuli za kufanya au Siamini my content nitokeeMkuu sidhani kweli Dr Lucy Mboma na Dr Mbura ndo walikufundisha ? Dr Mbamba akikuona anaweza kufutia shahada yako usifanye hivyo tena.
iih hihihhhh ok I agree ur a a udbs student or unless otherwise unaambiwa majina ya has ma Dr and wewe unakurupuka tuu kuwataja hapa. .hahaha sasa anaekuambiaanakudanganya big time manake hao unaowataja ndio walikuwa hawana time kabisa na mambo za standard 2 uandishi fasihiMkuu inabidi urudi tena kupigwa msasa na Dr Mbura
..yan bora ungemtaja hata Minja kidogoo ningekuelewa kwa mbalisikumpiga hata ningempiga it's not ethical ku display picha ya mtu bila ruhusa yake bahati mbaya simjui pia ila suruali ilikuwa pana mnoWeka picha mkuu
point is wanachosimamia ni maadili ya umma ambayo hayakatazi suruali isipokuwa aina flan ya suruali na isitoshe kuna watu walikuwa wanapita pale na mini za hatari kuliko na hawaguswiMuhimu kufata sheria na taratibu za sehemu husika. Kama wamekataza suruali liwe kama la pepe kali ni suruali tu. Angetoa kanga kwenye mkoba au ungemuazima.
Maana anaweza kua amemaliza udom miaka ya nyuma kabla sheria hazijaanza
ok kashtaki kwa mwalim wa muandikoWewe mwenyewe mwandiko hovyoo
Ukifikia level yangu naamini mtaani kwenu hawataishi kwa amani na kuendelea kubishana na wewe nikujipotezea mda maana naamini hutonielewa kamwe maana sio level zako hizi![]()
![]()
ungekuwa umefika hata sekondari shoga angu ungeelewa maana ya degree. .Ila 7bu haukufika uliishia kujifunza kusoma na kuandika lazima ugande hapohapo haya ngja nikuache ugandiepo ndio uwezo wako nao ulipoishia hapo kusikia degree roho yakuuma unatamani kujichinja
Basi alikua na damu ya kunguni. Pole yakepoint is wanachosimamia ni maadili ya umma ambayo hayakatazi suruali isipokuwa aina flan ya suruali na isitoshe kuna watu walikuwa wanapita pale na mini za hatari kuliko na hawaguswi
maskni unavyoitaman hyo degree mbna ktu kdogo baba unatokwa povu unataka ku burst!wewe wadanganye ngonolists wenzako degree holder hasahishi muandiko over content ever! na hashashindwi kutofautisha official writing nd mere writing kakojoe ulaleKama baba yako ana degree, usishangae kuwa mi ni mwalimu wake. Ningekuwa mwalimu wako wewe ungeishia semester ya kwanza, mwaka wa kwanza.
mnoo. .niliishia kumpa tuu pole piaBasi alikua na damu ya kunguni. Pole yake
Ukifikia level yangu naamini mtaani kwenu hawataishi kwa amani na kuendelea kubishana na wewe nikujipotezea mda maana naamini hutonielewa kamwe maana sio level zako hizi
this was my post 4 a day?atii nini? mimi nishuke to standard two kusahihisha muandiko? yan kiaje sasa nianze kushuka? deminishing return au?wewe mama kiboko utakuwa ulifuzu uchawi sio kwa ki degree kukutoa roho hukoElimu, Elimu, Elimu!!maskni unavyoitaman hyo degree mbna ktu kdogo baba unatokwa povu unataka ku burst!wewe wadanganye ngonolists wenzako degree holder hasahishi muandiko over content ever! na hashashindwi kutofautisha official writing nd mere writing kakojoe ulale
Elimu, Elimu, Elimu!!We utakuwa fe male sio bure
Elimu, elimu, elimu!!a fe male at work
nimepita chuo cha udom Leo nilikuwa namishe zangu, dah nilikuta pale main administration scene ya ajabu sana yan mwamwanafunzi aliingia akiwa amevaa yale masuruali mapanaa jaman, kuna wadada pale reception walimuanzishia na ma askari juu wanamlazimisha atoke nje asihudumiwe. .nikasema ngoja nione movie. .yule dada alifanikiwa kufika mpaka anapohitaji ..basi huku chini wakaitwa maaskari na watu kadhaa wakazuie asihudumiwe. .ikabidi a shush we na escot!inavyoonekana yule dada anajua haki zake pia alikomaa sana aachiwe apate huduma kwani alichovaa hakipo nje ya code za umma, aisee sijui iliishiaje ila yule dada anilimuacha nje analia kwa hasira mno! nikabidi nimpe tuu moyo ila nikasema hiki sio chuo inavyponekana hata watu wanaoajiriwa pale wengine sio professional at all..sababu kuna time alikuwa akiwajibu kingereza wanamuambia unajifanya msomidah kwa hii mambo elimu ya bongo tutasubiri sanaa sikutegemea chuo kikubwa kama kile kiwe kina mambo za ajabu vile ila scene ilinigusa mno. .,nb:inawezekana sio wote ila kwa nilivyosikia sio mara ya kwanza wateja kudharilishwa pale na uongozi unalifumbia macho !kuna shida kubwa katika sekta za elimu bongo. .Acha nisubiri kwanza ntasomea nje my second degree
uwii bora wewe umeumeniambia kumbe hiki ndio kimewacharua waalimu wa miandiko huko juuAlikuwa amevaa hayo masuruali mapana mangapi?
said yale masuruali mapana referring to those huge trousers uwii hahaha nimecheka. .si mmenikumbusha std 2 third person plural sijuii
ngoja waje linguistics wanichambe ka nimekosea hapo lol. .jaman eeeh am not a linguist ila hyo ni third person plural na mmeelewa I guess ila sjui hamtaki tuu kujadili mada