Chuo cha Ardhi kuweni makini na huu mtego wa suala la mapacha kudai kufanyiana mtihani

jerryempire

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
5,131
8,655
Habari.

Naomba niende moja kwa moja kwenye hii issue.

Kuna taarifa ambayo kwa sasa inatambaa sana hapa jf na hata kwenye mitandao ya kijamii kama x,na you tube.

Issue inahusu swala la mapacha wawili waliokuwa wanafunzi wa ardhi kusema kuwa kuna Mtihani mmoja wa supplementary walishawahi kufanyiana hasa kutokana na mfanano wao sawa kiasi cha kushindwa kutofautisha yupi Kurwa na yupi Doto.

Wadada hawa ikumbukwe walifanya interview yao kupitia kipindi kinachorushwa na wasafi ambayo ni channel ya burudani na vijana,sehemu ambayo utani na uongo bila kusahau majigambo ni sehemu ya kunogesha content ili kuvutia hadhira ambao kwa kiasi kikubwa ni vijana i hope tunajua mengi huwa yanaelezwa humo ya uvumi kama issue ya nyumba ya mwijaku ya 1.5b kule kigamboni kitu ambacho watu watathimini wakiingia kazini lazma wapingane na hyo thamani.

Sababu ya kuandika haya yote ni baada ya kuona tangazo/taarifa mliyoitoa kuwa mnafanyia uchunguzi suala hilo kama ni kweli au uongo ili mchukue hatua.

Niwe muwazi kwa jinsi nilivyosoma taarifa/tangazo lenu ni kitu ambacho nina hakika ni wachache waliokaa chini na kukubaliana kuiandika taarifa ile sababu ni taarifa ambayo haikushiba kiasi cha kwamba vitu vidogo vidogo ambayo vingepaswa kuipa nguvu taarifa yenu havikuwepo kama majina ya wahusika,uthibitisho kuwa walishawahi kuwa wanafunzi wenu n.k. kupitia hvyo nikiri hii taarifa mliitoa kwa msukumo na haraka mno kiasi cha kunifanya niandike haya ili kwenye uchinguzi wenu msitoe hukum/maamuzi ya kimhemko.

Nikiri wazi kuwa kesi hii/au maamuzi yatakayotoka yanaweza kutengeneza kesi ya muda mrefu kwenu endapo mtachukua maamuzi ya kufuta degree za hawa mabinti kwa maamuzi ambayo hayatakuwa na mashiko na nikiri tu wazi nafasi ya chuo cha ardhi kushinda ndani ya kesi hii ni ngumu sana kwa kuzingatia mda mtihani uliokwisha pita toka mtihani ufanyike,na pia aina na sehemu maneno hayo ya wanafunzi yalipotolewa.

Ni utabiri wangu kuwa endapo chuo kitakurupuka kufuta degree za wanafunzi hawa basi kutatokea mawakili wengi wataotaka na watakaopata umaarufu mkubwa kupitia kesi hii na hata chuo kama chuo kuingia doa na hata hasara ya fidia na madudu mengi kuibuka.kwani kwa wanasheria/mawakili hii ni kesi yao ya kutengeneza majina kwenye tasnia yao ya sheria.

Ni matumaini yangu kuwa chuo kitafanya maamuzi sahihi na kuja na uchunguzi wenye sababu zenye mashiko ili kulinda heshima ya chuo na hata migogoro isiyo ya lazima.

Pia soma
- Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo
 
Kukurupuka kutawapotezea muda na na kuua credibility ya chuo.

Ukiachana na issue ya mapacha Ila chuo chochote ni nani asiyejua yanayofanyika .

Tanzania ni moja ya nchi ambayo wananchi wake wamepoteza tuamini na wamebaki kujifariji na mambo madogo ambayo hayana positive impacts katika Maisha yao.
 
Habari.
Naomba niende moja kwa moja kwenye hii issue.

Kuna taarifa ambayo kwa sasa inatambaa sana hapa jf na hata kwenye mitandao ya kijamii kama x,na you tube.

Issue inahusu swala la mapacha wawili waliokuwa wanafunzi wa ardhi kusema kuwa kuna Mtihani mmoja wa supplementary walishawahi kufanyiana hasa kutokana na mfanano wao sawa kiasi cha kushindwa kutofautisha yupi Kurwa na yupi Doto.

Wadada hawa ikumbukwe walifanya interview yao kupitia kipindi kinachorushwa na wasafi ambayo ni channel ya burudani na vijana,sehemu ambayo utani na uongo bila kusahau majigambo ni sehemu ya kunogesha content ili kuvutia hadhira ambao kwa kiasi kikubwa ni vijana i hope tunajua mengi huwa yanaelezwa humo ya uvumi kama issue ya nyumba ya mwijaku ya 1.5b kule kigamboni kitu ambacho watu watathimini wakiingia kazini lazma wapingane na hyo thamani.

Sababu ya kuandika haya yote ni baada ya kuona tangazo/taarifa mliyoitoa kuwa mnafanyia uchunguzi suala hilo kama ni kweli au uongo ili mchukue hatua.

Niwe muwazi kwa jinsi nilivyosoma taarifa/tangazo lenu ni kitu ambacho nina hakika ni wachache waliokaa chini na kukubaliana kuiandika taarifa ile sababu ni taarifa ambayo haikushiba kiasi cha kwamba vitu vidogo vidogo ambayo vingepaswa kuipa nguvu taarifa yenu havikuwepo kama majina ya wahusika,uthibitisho kuwa walishawahi kuwa wanafunzi wenu n.k. kupitia hvyo nikiri hii taarifa mliitoa kwa msukumo na haraka mno kiasi cha kunifanya niandike haya ili kwenye uchinguzi wenu msitoe hukum/maamuzi ya kimhemko.

Nikiri wazi kuwa kesi hii/au maamuzi yatakayotoka yanaweza kutengeneza kesi ya muda mrefu kwenu endapo mtachukua maamuzi ya kufuta degree za hawa mabinti kwa maamuzi ambayo hayatakuwa na mashiko na nikiri tu wazi nafasi ya chuo cha ardhi kushinda ndani ya kesi hii ni ngumu sana kwa kuzingatia mda mtihani uliokwisha pita toka mtihani ufanyike,na pia aina na sehemu maneno hayo ya wanafunzi yalipotolewa.

Ni utabiri wangu kuwa endapo chuo kitakurupuka kufuta degree za wanafunzi hawa basi kutatokea mawakili wengi wataotaka na watakaopata umaarufu mkubwa kupitia kesi hii na hata chuo kama chuo kuingia doa na hata hasara ya fidia na madudu mengi kuibuka.kwani kwa wanasheria/mawakili hii ni kesi yao ya kutengeneza majina kwenye tasnia yao ya sheria.

Ni matumaini yangu kuwa chuo kitafanya maamuzi sahihi na kuja na uchunguzi wenye sababu zenye mashiko ili kulinda heshima ya chuo na hata migogoro isiyo ya lazima
Next time mkiitwa kwenye media mjue nini cha kuongea na kipi kisizungumzwe.

Ulimi ulikiponza kichwa
 
Habari.
Naomba niende moja kwa moja kwenye hii issue.

Kuna taarifa ambayo kwa sasa inatambaa sana hapa jf na hata kwenye mitandao ya kijamii kama x,na you tube.

Issue inahusu swala la mapacha wawili waliokuwa wanafunzi wa ardhi kusema kuwa kuna Mtihani mmoja wa supplementary walishawahi kufanyiana hasa kutokana na mfanano wao sawa kiasi cha kushindwa kutofautisha yupi Kurwa na yupi Doto.

Wadada hawa ikumbukwe walifanya interview yao kupitia kipindi kinachorushwa na wasafi ambayo ni channel ya burudani na vijana,sehemu ambayo utani na uongo bila kusahau majigambo ni sehemu ya kunogesha content ili kuvutia hadhira ambao kwa kiasi kikubwa ni vijana i hope tunajua mengi huwa yanaelezwa humo ya uvumi kama issue ya nyumba ya mwijaku ya 1.5b kule kigamboni kitu ambacho watu watathimini wakiingia kazini lazma wapingane na hyo thamani.

Sababu ya kuandika haya yote ni baada ya kuona tangazo/taarifa mliyoitoa kuwa mnafanyia uchunguzi suala hilo kama ni kweli au uongo ili mchukue hatua.

Niwe muwazi kwa jinsi nilivyosoma taarifa/tangazo lenu ni kitu ambacho nina hakika ni wachache waliokaa chini na kukubaliana kuiandika taarifa ile sababu ni taarifa ambayo haikushiba kiasi cha kwamba vitu vidogo vidogo ambayo vingepaswa kuipa nguvu taarifa yenu havikuwepo kama majina ya wahusika,uthibitisho kuwa walishawahi kuwa wanafunzi wenu n.k. kupitia hvyo nikiri hii taarifa mliitoa kwa msukumo na haraka mno kiasi cha kunifanya niandike haya ili kwenye uchinguzi wenu msitoe hukum/maamuzi ya kimhemko.

Nikiri wazi kuwa kesi hii/au maamuzi yatakayotoka yanaweza kutengeneza kesi ya muda mrefu kwenu endapo mtachukua maamuzi ya kufuta degree za hawa mabinti kwa maamuzi ambayo hayatakuwa na mashiko na nikiri tu wazi nafasi ya chuo cha ardhi kushinda ndani ya kesi hii ni ngumu sana kwa kuzingatia mda mtihani uliokwisha pita toka mtihani ufanyike,na pia aina na sehemu maneno hayo ya wanafunzi yalipotolewa.

Ni utabiri wangu kuwa endapo chuo kitakurupuka kufuta degree za wanafunzi hawa basi kutatokea mawakili wengi wataotaka na watakaopata umaarufu mkubwa kupitia kesi hii na hata chuo kama chuo kuingia doa na hata hasara ya fidia na madudu mengi kuibuka.kwani kwa wanasheria/mawakili hii ni kesi yao ya kutengeneza majina kwenye tasnia yao ya sheria.

Ni matumaini yangu kuwa chuo kitafanya maamuzi sahihi na kuja na uchunguzi wenye sababu zenye mashiko ili kulinda heshima ya chuo na hata migogoro isiyo ya lazima
Una maslahi na nani kati ya chuo na mapacha
 
Una maslahi na nani kati ya chuo na mapacha
Kilichopo na nikionacho mimi ni kwamba chuo hakiwezi kukubali kuonekana kilipwaya kwenye swala la usimamizi , na ni hasara sana kwa chuo kukubali kuwa kweli walifanyiana mtihani jambo ambalo litazua mengi sana kwani wataonekana ni wazembe sana nakuhisiwa kuwa huenda wengi wamepita kwa style hiyo na zaidi ya hayo, kuliko chuo kukataa kwamba kitu hicho hakikutokea hapo chuoni bali ni habari za uongo na za kujifurahisha tuu walizo zua hao wadada na watapigwa fine kwa kutoa ushahidi wa uongo unao chafua taswira ya chuo mbele ya jamii na jambo litaisha bila bugudha, kinyume na hapo safari moja itaanzisha zingine nyingi maana hakuna chuo kisafi nchi hii.
 
Back
Top Bottom