Chuo kikuu Ardhi na adha ya maji

didy muhenga

Member
Nov 8, 2022
8
5
Chuo kikuu Ardhi Dar es salaam kuna changamoto kubwa ya maji ambayo hayatoki katika hostel za kike na kiume.

Wanawake wanateseka sana wanaingia siku zao lakini maji hakuna na waziri anajitahid kufuatilia changamoto inakua ni kwa wakubwa kutekeleza.

Hostel za wanaume Zina wakazi zaidi ya 300 na za wanawake makongo Zina wanawake zaid ya 589 na bado hostel za wanawake ndani pia hadi hostel za wanazokaa foreigners na watu wa masters maji hakuna.

Ni mtihani kwakweli, chanzo ni pump zimeharibika zaidi ya miezi hakuna matengenezo. Hostel za wanawake makongo hazina hata furniture kwa hiyo wanafunzi hawawezi kusomea hostel mpaka waje chuo na wanarudi usiku sana na bado jengo lilifunguliwa na viongozi hakuna sewage system ya kueleweka ndo maana walishtakiwa🙄.

Maji ni uhai bhana.
 
Chuo kikuu Ardhi Dar es salaam kuna changamoto kubwa ya maji ambayo hayatoki katika hostel za kike na kiume.

Wanawake wanateseka sana wanaingia siku zao lakini maji hakuna na waziri anajitahid kufuatilia changamoto inakua ni kwa wakubwa kutekeleza.

Hostel za wanaume Zina wakazi zaidi ya 300 na za wanawake makongo Zina wanawake zaid ya 589 na bado hostel za wanawake ndani pia hadi hostel za wanazokaa foreigners na watu wa masters maji hakuna.

Ni mtihani kwakweli, chanzo ni pump zimeharibika zaidi ya miezi hakuna matengenezo. Hostel za wanawake makongo hazina hata furniture kwa hiyo wanafunzi hawawezi kusomea hostel mpaka waje chuo na wanarudi usiku sana na bado jengo lilifunguliwa na viongozi hakuna sewage system ya kueleweka ndo maana walishtakiwa.

Maji ni uhai bhana.
Changeni buku buku mtengeneze mashine
 
Changeni buku buku mtengeneze mashine
Hahaha kuna vyumba zaid ya 400 na kila chumba chuo kinaingiza 240k na bado tuchange hata hivyo wa2 wangekubal sema watu hawajui chanzo cha tatzo wanaishia kumpa lawama wazr wa accommodation
 
Tatizo la Dar es Salaam nzima sio nyie tu. DAWASA Makongo ipo jirani kabisa hapo kutembea ni dakika 3 kutokea Chuoni kwenu. Nendeni.
 
Chuo kikuu Ardhi Dar es salaam kuna changamoto kubwa ya maji ambayo hayatoki katika hostel za kike na kiume.

Wanawake wanateseka sana wanaingia siku zao lakini maji hakuna na waziri anajitahid kufuatilia changamoto inakua ni kwa wakubwa kutekeleza.

Hostel za wanaume Zina wakazi zaidi ya 300 na za wanawake makongo Zina wanawake zaid ya 589 na bado hostel za wanawake ndani pia hadi hostel za wanazokaa foreigners na watu wa masters maji hakuna.

Ni mtihani kwakweli, chanzo ni pump zimeharibika zaidi ya miezi hakuna matengenezo. Hostel za wanawake makongo hazina hata furniture kwa hiyo wanafunzi hawawezi kusomea hostel mpaka waje chuo na wanarudi usiku sana na bado jengo lilifunguliwa na viongozi hakuna sewage system ya kueleweka ndo maana walishtakiwa.

Maji ni uhai bhana.
Wanawake wanateseka sana wanaingia siku zao lakini maji hakuna na waziri anajitahid kufuatilia changamoto inakua ni kwa wakubwa kutekeleza.

Mwenezi yuko kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho chuo si kina wataalamu wa maji na wengine wanamakapuni yao kabsa .
Na maji kukiwa hakuna vyoo vya hostel havifrashiwi unakuta makimba juju
 
Shida za wasomi. Jirani na Ardhi University kuna Water Insitute (Chuo cha Maji) na DAWASA Makongo Juu ambapo kuna wasomi wabobezi na wataalam wa masuala ta maji; na pia taasisi hizi zipo chini ya Wizara ya Maji.

Ina maana mmeshindwa kutatua changamoto hizi na badala yake mnakuja humu JF kulalamika?
 
Kama maji shida huko
Ina maana wanafunzi huko
Kuoga na wakati wa kukata gogo
Inakuwaje

Ova
 
Shida za wasomi. Jirani na Ardhi University kuna Water Insitute (Chuo cha Maji) na DAWASA Makongo Juu ambapo kuna wasomi wabobezi na wataalam wa masuala ta maji; na pia taasisi hizi zipo chini ya Wizara ya Maji.

Ina maana mmeshindwa kutatua changamoto hizi na badala yake mnakuja humu JF kulalamika?
Issue sio wataalam hapo,issue n pesa itolewe ziwekwe pump mpya na koki mpya na miundombinu kwa ujumla sio kwamb hakuna wataalam.Je wew ungekua mtaalam ungekubal kufanya bure?
 
Back
Top Bottom