Katika suala la kununua ardhi hakuna mjanja, tusibishe

Wana ukoo wote wanatakiwa kusaini hasa hasa watoto kama uwanja ni wa mirathi ili kukata ngebe na picha zao ziwepo kwenye document hata kama shamba, kiwanja au nyumba ni cha mtu mmoja kati yao
 
Haswa aridhi ya URITHI ndio inaongoza kwa migogoro

Demu wangu ana kaka zake wawili wajanja wa janja wa mjini pale magomeni, mama yake alikua mke wa kwanza akazaliwa yeye na alipo fariki akaolewa mwingine aliyezaa hao kaka zake.

Walimzunguka Wakafoji kikao cha ukoo wakateua msimamizi kisha msimamizi akasimamia nyumba ikauzwa kwa Mkinga mmoja pale Magomeni
Mkinga alifuata taratibu zote hadi mahakani kujiridhisha akanunua nyumba na malipo yalifanyikia mahakamani kila mmoja akadaka mkwanja wake

Demu anakuja kupata habari mkinga alipo ivunja nyumba kuanza ujenzi wa gorofa
Kufuatilia anakuja kujua kaka zake wamemzunguka, kaenda mahakamani kuweka pingamizi, msimamizi fake akapotea, makaka hela washahonga na kuongeza wake na kununulia magari na viwanja chanika.

Mkinga alipokuja kubaini kapigwa ikabidi akubali hasara mara mbili, akakubaliana na matakwa ya demu kwamba amlipe nusu ya hela aliyonunulia nyumba mambo yaishe

Ukiuziwa kiwanja na ukabaki salama ni jambo la BAHATI sana
 
Haswa aridhi ya URITHI ndio inaongoza kwa migogoro

Demu wangu ana kaka zake wawili wajanja wa janja wa mjini pale magomeni, mama yake alikua mke wa kwanza akazaliwa yeye na alipo fariki akaolewa mwingine aliyezaa hao kaka zake.

Walimzunguka Wakafoji kikao cha ukoo wakateua msimamizi kisha msimamizi akasimamia nyumba ikauzwa kwa Mkinga mmoja pale Magomeni
Mkinga alifuata taratibu zote hadi mahakani kujiridhisha akanunua nyumba na malipo yalifanyikia mahakamani kila mmoja akadaka mkwanja wake

Demu anakuja kupata habari mkinga alipo ivunja nyumba kuanza ujenzi wa gorofa
Kufuatilia anakuja kujua kaka zake wamemzunguka, kaenda mahakamani kuweka pingamizi, msimamizi fake akapotea, makaka hela washahonga na kununulia magari na viwanja chanika.

Mkinga alipokuja kubaini kapigwa ikabidi akubali hasara mara mbili, akakubaliana na matakwa ya demu kwamba amlipe nusu ya hela aliyonunulia nyumba mambo yaishe

Ukiuziwa kiwanja na ukabaki salama ni jambo la BAHATI sana
Kama ni kweli, basi hizi taratibu za hii nchi hazijakaa sawa. Kwanini loss apewe mnunuzi wakati kafika hadi mahakamani, au taratibu ni zipi hasa? Hao waliomzunguka huyo sista wamechukuliwa hatua gani?
 
Kama ni kweli, basi hizi taratibu za hii nchi hazijakaa sawa. Kwanini loss apewe mnunuzi wakati kafika hadi mahakamani, au taratibu ni zipi hasa? Hao waliomzunguka huyo sista wamechukuliwa hatua gani?
Hapo kisheria kabisa mchakato mzima wa kuuza nyumba ulikua sio HALALI kwasababu makaka walifanya udanganyifu

Hapa ilitakiwa hao makaka wapambane na kosa la forgery na warudishe gharama zote kwa Mkinga

Mkinga akaona sana sana ataishia kuwafunga tu maana hiyo hela wlikwisha itumia na uwezo wa kuilipa hawana

Kuna muda unafika inabidi sheria uiweke pembeni kupunguza hasara

Nilipata habari alikamata magari yao na viwanja vya chanika kujaribu kufidia
 
Back
Top Bottom