King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
He is an economist, maisha yake hayategemei safaka ndo maana humsikii anamfagilia muumini mwenye hela kama kina mama rwakatare. Ana ofisi (tasoet) na ameajiri watu na kuongeza ajira. Sasa kama ana opportunity ya kufanya biashara na wati wote wakanufaika, ama unataka aombe Mungu inyeshe mvua ya hela? At least sio omba omba wa sadaka.
Buji Buji huyo jamaa anakuja kufanya biashara USA, NENO LA MUNGU NI COVER tuu,Wakati fulani alikuja Stockhom Sweden akakusanya wabongo kibao kwa cover hiyo hiyo.Mwishowe akachukua contact mbali mbali na kumkaribisha mtu mmoja mmoja kujadili namna gani angeweza kumtumia katika biashara yake.:confused2: