Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 249
Mawazo ni uhuru wa mtu yeyote,ila vyanzo vyake utofautiana, na hapo ndio utakuta kuna mawazo ya shetani kwa watu wake na mawazo ya Mungu kwa watu wake, mwisho ya yote ni matokeo yataonyesha wewe ni wa nani? Mungu bariki watumishi wako wote.
Umeongea jambo jema sana