Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Nyongo ya Diallo inaunguza mno...haikuwa diluted na chochoteDuh hii ID ilipotea sana naona imerejeshwa katika kandarasi ya Legacy
Nyongo ya Diallo inaunguza mno...haikuwa diluted na chochoteDuh hii ID ilipotea sana naona imerejeshwa katika kandarasi ya Legacy
Mnataka kumpoteza?Alichokifanya Diallo sio cha bahati mbaya kwani media zake ndio pekee zilizokuwa zinatumiwa na vyombo vya magharibi kama BBC na DW Kumchafua aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE
Acha akili za KIPOMPOMA, ina maana ni startv/radio free Afrika tu ndio huwa zinaungana na idhaa za kiswahili za kimataifa?!!Tz, UFM, WAPO RADIO, RADIO ONE, , hizo nazo ni za dialo?kama hujui kitu kaa kimya, kwani si mlipitisha sheria kuwa kama hizo radio za kimataifa zitamzungumza vibaya meko zitawajibika kwa hilo?unadhania ni kwa nini idhaa ya kiswahili ya radio france siku hizi huiskii kupitia tbc fm?!!nchi tulipitia kipindi kigumu sana, ni Mungu tu, kwani huko tulikokuwa tunaelekea, ilikuwa na N.KOREA.MUNGU FUNDIAlichokifanya Diallo sio cha bahati mbaya kwani media zake ndio pekee zilizokuwa zinatumiwa na vyombo vya magharibi kama BBC na DW Kumchafua aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE
kaendelee kuangalia korean dramaAcha akili za KIPOMPOMA, ina maana ni startv/radio free Afrika tu ndio huwa zinaungana na idhaa za kiswahili za kimataifa?!!Tz, UFM, WAPO RADIO, RADIO ONE, , hizo nazo ni za dialo?kama hujui kitu kaa kimya, kwani si mlipitisha sheria kuwa kama hizo radio za kimataifa zitamzungumza vibaya meko zitawajibika kwa hilo?unadhania ni kwa nini idhaa ya kiswahili ya radio france siku hizi huiskii kupitia tbc fm?!!nchi tulipitia kipindi kigumu sana, ni Mungu tu, kwani huko tulikokuwa tunaelekea, ilikuwa na N.KOREA.MUNGU FUNDI
Tupo tunamsikilizia ciunter.Alichokifanya Diallo sio cha bahati mbaya kwani media zake ndio pekee zilizokuwa zinatumiwa na vyombo vya magharibi kama BBC na DW Kumchafua aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE
Yaani hapo ndio jk aliwaambiaga ukweli, CCM, kujibu hoja ni tabu , siku zote hukimbilia kwenye mipasho!!kaendelee kuangalia korean drama
Ni uelewa wako mdogo tu wa mambo.Mbona husemi star tv ilivyotumika kumsaidia Magufuli kuingia ikulu baadae akawafanyia mbaya.Alichokifanya Diallo sio cha bahati mbaya kwani media zake ndio pekee zilizokuwa zinatumiwa na vyombo vya magharibi kama BBC na DW Kumchafua aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE
Kwani wanangaji walikuwa hawasemi ukweli?Alichokifanya Diallo sio cha bahati mbaya kwani media zake ndio pekee zilizokuwa zinatumiwa na vyombo vya magharibi kama BBC na DW Kumchafua aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE