Krikichino
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 651
- 1,098
Us wanajifanya wanafund lakini unajua kwa faida gani?... Ili iwe rahisi kukuwekea vikwazo ukishindwa kuendana na Sera zao.
Lakini wangeamua kutengeneza chanjo miaka ishapita 40 now, wangekuwa washapata kama kweli walikuwa na nia ya kutusaidia.
Dozi ya A.R.V ni gharama sana kiasi kwamba wakisema waache kudhamini ni wengi watakufa... Ndo maana nasema kirusi walitengeneza wao kwa faida yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
I'll take that as a conspiracy theory.