kama tuna zungumzia utawala bora, basi chikawe na aliye mtuma wamekosa hiyo sense ya utawala bora, na wanatakiwa waelewe maana ya kuwepo kwa kikao cha baraza la mawaziri.
kiwango cha pesa kinacho ongelewa ni juu ya uwezo wa waziri husika kukiongelea bila kukipeleka kwenye baraza la mawaziri, ila ikiwa nia ni kujaribu maji ya moto ya baridi, kwa maana nyingine ikiwa kuna nia mbaya ndio utaratibu kama huu hutumika.
hii ni sawa sawa kwenye kampuni kuna level ya kusaini shs 10m, halafu 100m na kuendelea mpaka issue ya bodi nk nk.
jingine je utawala bora ulifuatwa katika kuingia huu mkataba? sheria zilifuatwa? au utawala bora unakuwepo pale mtawala/watawala wanapo waibia wananchi?
Heshima mbele Mkuu...........
Utawala bora pia una-support UWAZI NA UKWELI..............Mr. Chikawe hebu tuambie kuwa HATUIBIWI NA DOWANS............nitakuwa wa kwanza kukuunga mkono na kauli zako.......kwani its part of UTAWALA BORA.........kutunza siri za yaliyotokea kwenye serikali ambayo wewe ulikuwa Waziri wa Sheria na Katiba..............