Kama mnataka Waziri wa Kilimo ajiuzulu kwa uhaba wa sukari, basi na wa Nishati ajiuzulu kwa suala la umeme

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,272
2,033
Kuna Watanzania wamejitokeza na kumlaumu sana Waziri wa Kilimo juu ya Upungufu mkubwa na bei kubwa ya Sukari.

Walio wengi wakamtaka Waziri Bashe AJIUZULU mwenyewe la sivyo Watamwomba Mh. Rais amuwajibishe.
Sambamba na hilo nawashangaa sana.

Kwanini hamtaki pia Waziri wa Nishati nae AJIUZULU kwani Tatizo la Umeme halina tofauti na kwa utaratibu wa UWAJIBIKAJI wa VIONGOZI wa Tanzania SIO rahisi kwa Mawaziri hao KUJIUZULU.

Nawaomba Wananchi wakaze mikanda tu kukabiliana na Suala la Sukari na Umeme.
 
Serikali jukumu lake ni kuregulate mifumo mbalimbali katika nchi na sio kuzalisha hivyo suala lolote linaloenda sambamba na uzalishaki Serikali au Waziri Kwa ifahamu wangu mdogo hatakiwi kulaumiwa.

Sometimes ,Serikali pia inabidi iwe mzalishaji badala ya regulator na lengo kubwa ni kusaidia kupunguza umonopoli wa baadhi ya wazalishaji ambao wanateka soko na kuamua Bei na mambo mengi.

Ili kudhibiti Serikali ianze kuwa mzalishaji Kwa sababu Serikali ikiwa mdhibiti tu bila kuwa mzalishaji italalamikiwa na wazalishaji kuwapendelea walaji lakini Kwa sababu Serikali itakuwa inazalisha itakuwa ni rahisi kudhibiti mfumuko wa Bei.

Serikali isiwe mzalishaji mkuu ili kusaidia kudhibiti hali ya soko maana ikiwa mzalishaji mkubwa itashindwa kujidhibiti yenyewe na mwisho wa siku mfumo wa udhibiti utakosa maana.

Kwenye, suala la sukari na umeme. Hapa ndio tunaona umuhimu wa Serikali kuwa mdhibiti na mdhalishaji. Kwenye suala la umeme, Serikali ingeanzisha mashamba makubwa ya miwa ili kupunguza kudhibiti uhaba wa sukari na kwenye suala la umeme kungekuwa na mzalishaji ambaye Serikali ingekuwa inamdhibiti
 
Kuna Watanzania wamejitokeza na kumlaumu sana Waziri wa Kilimo juu ya Upungufu mkubwa na bei kubwa ya Sukari.
Walio wengi wakamtaka Waziri Bashe AJIUZULU mwenyewe la sivyo Watamwomba Mh.Rais amuwajibishe.
Sambamba na hilo nawashangaa sana
Kwanini hamtaki pia Waziri wa Nishati nae AJIUZULU kwani Tatizo la Umeme halina tofauti na
Kwa utaratibu wa UWAJIBIKAJI wa VIONGOZI wa Tanzania SIO rahisi kwa Mawaziri hao KUJIUZULU.
Nawaomba Wananchi wakaze mikanda tu kukabiliana na Suala la Sukari na Umeme.
Sukari hailimwi thus, waziri wa viwanda awajibike kwanza kabla ya wa kilimo
 
Kuna Watanzania wamejitokeza na kumlaumu sana Waziri wa Kilimo juu ya Upungufu mkubwa na bei kubwa ya Sukari.
Walio wengi wakamtaka Waziri Bashe AJIUZULU mwenyewe la sivyo Watamwomba Mh.Rais amuwajibishe.
Sambamba na hilo nawashangaa sana
Kwanini hamtaki pia Waziri wa Nishati nae AJIUZULU kwani Tatizo la Umeme halina tofauti na
Kwa utaratibu wa UWAJIBIKAJI wa VIONGOZI wa Tanzania SIO rahisi kwa Mawaziri hao KUJIUZULU.
Nawaomba Wananchi wakaze mikanda tu kukabiliana na Suala la Sukari na Umeme.
Kuna kitu kinaitwa collective responsibility hapa kwetu ni msamiati mgumu sana
 
Rais ni mbovu, sikatai kuwa wasaidizi wake ni mizigo, ila mzigo mkubwa kuliko yote kwa taifa hili ni Samia, Rais unatakiwa ujue nchi na mahitaji yake, pia matatizo na jinsi ya kukabiliana na tatizo kwa wakati, Rais unatakiwa kutumia takwimu za kisomi zaidi kufanya maamuzi.

Rais unatakiwa ujue kusukuma agenda na vipaumbele vyako na kuona matokeo chanya katika jamii kwa haraka.

Tuna Rais ambae hawezi kuelezea hata changamoto ambazo zina tukabili na jinsi ya kuzitatua hata kwa lugha yake ya kuzaliwa achana mbali kwa kiswahili, hakuna umeme Tz Rais anachofanya ana tengua na kuteua katibu wa wizara akiwa amejifungia chumbani kwake, hawezi hata ku address tatizo , je kuteua katibu mpya ni tayari nchi imepata umeme? Jibu ni no.

Rais huyu anakaa na kuzurula kwenda nje muda wote lakini hayuko tayari kujifunza na kuelewa changamoto za Shirika la umeme, kutoka ikulu kwenda Tanesco pengine ni dakika chache kwenda kusikiliza kero za Shirika hilo, tuna Rais ambae hawezi kudebate chochote katika nchi hii, yeye ni kuoigia simu katibu husika au kusubiri kuletewa taarifa, kama Urais ni simple hivyo just kufanya basic things na kupanda ndege hatuwezi na hatuendi kokote na tutakuwa gizani milele.

Rais unatakiwa uwe extra ordinary understandable, uwe ahead of others like hao katibu au wiziri, ujue chochote na uwe na uwe na uwezo binafsi sio kutegemea msaada wa wasaidizi tu, Rais unatakiwa una lead team yake ipate positive results, sio kukaa na kusubiri taarifa kama mtu wa kawaida , hili ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wa Africa mfano wa Rais wetu, yaani Rais kazi yake ni kuzuga zuga story story miaka inakwenda tuko pale pale.

Huyu ni Rais mzigo sana kwa ufupi, sioni tatizo lolote akitatua , duh miaka 3 ana jifunza kazi na kijikokota, muda mwingine huwa naona Tanzania tumelaaniwa sana.
 
Kuna Watanzania wamejitokeza na kumlaumu sana Waziri wa Kilimo juu ya Upungufu mkubwa na bei kubwa ya Sukari.

Walio wengi wakamtaka Waziri Bashe AJIUZULU mwenyewe la sivyo Watamwomba Mh. Rais amuwajibishe.
Sambamba na hilo nawashangaa sana.

Kwanini hamtaki pia Waziri wa Nishati nae AJIUZULU kwani Tatizo la Umeme halina tofauti na kwa utaratibu wa UWAJIBIKAJI wa VIONGOZI wa Tanzania SIO rahisi kwa Mawaziri hao KUJIUZULU.

Nawaomba Wananchi wakaze mikanda tu kukabiliana na Suala la Sukari na Umeme.
Kwa kifupi Samia na timu yake wote wamefeli,wanapaswa wapishe tuanze upya!
 
Hata akijiuzulu leo sukari haitapatikana leo, kwa hiyo vumilieni mpaka Ramadan ifike
 
Back
Top Bottom