PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Mnajua hz habar za kufuata utaratibu na nzur lakn zna negatve side,sabab ya majority wins,kwamba wakienda ktk baraza ztapgwa kura na sita na mwakyembe watashdwa,hvyo mi naona ni vzur mtu aongee na kuwaeleza wananch direct through journalist. Ndg chikawe hawa watu (RA.AC,EL)mtajtahd sana na mwaweza tumia maj yote ya bahar lakn hawasafshki.
Safi sana. Huo ndio ukweli, kuna kundi la mawaziri wako tayari kupinga ulipwaji huo wa kifisadi. Lakini kanuni mbovu! Na hizo ndizo zinatufikisha hapa. Nchi za wenzetu Waziri yuko huru kujadili kitu chenye maslahi kwa umma. Sisi hapana, lengo ni kujichumia tu wachache. Kura haziwezi kusaidia. Wazalendo ni wachache!! Ila niseme tu kwamba, kujiuzuru kwao ni wakati mwingine mzuri wa Kiwete kuonja shubiri ya Uongozi