sisi tumewafunga MAN CITY wakiwa 12..palepale sebuleni kwao. poleni nyie ambao mnategemea kucheza tu kwenu.
kazi kwenu mnafungwa fungwa ovyo. nyie mshajichokea nyie..
kazi kwenu mnafungwa fungwa ovyo. nyie mshajichokea nyie..
Zaidi ya kumuita Pellegrino hamna jipya Jose alichosema!11-11 humpati sare kwa Man City Itihad