Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Fabregas Yellow card

Wamepoteza chance nyingi mno leo aisee
 
Ahaha...Mourinho imebidi aendr kumpa mkono kipa wa Sporting. Kaokoa open goals za Oscar Matic Costa Fabregas Schurrle na Salah...yani hizo zilikuwa one on one!!!
 
Ahaha...Mourinho imebidi aendr kumpa mkono kipa wa Sporting. Kaokoa open goals za Oscar Matic Costa Fabregas Schurrle na Salah...yani hizo zilikuwa one on one!!!



Mkuu Mentor tumetoka Ureno sasa kwa Ushindi na game ilikua ya nguvu na kasi sn!

Sasa mbele yetu wako Arsenal! Ngoja tupitie vyanzo Vya Habari kwanza tuone usalama wa wachezaji alafu tuanze kupanga mikakati!
 
Last edited by a moderator:
Game over...we won...i wasnt so impressed!

Mkuu Mentor; pole; lakini kumbuka kwamba uwanja ulikuwa mbaya sana...
pia nilisema tangu mapema hapa hapa kwamba mashabiki wa Sporting walisaidia sana kuiweka timu yao mchezoni.

Alama za bingwa ni kushinda..hata kama atashinda kwa taabu. Kumbukeni wakuu kwamba kwneye kundi letu ni Chelsea Fc pekee iliyoshinda mechi..


hadi sasa msimamo uko hivi:

1412124068697_Image_galleryImage_image001_png.JPG
 
Tushapita tayari maana najua hao waliobakia tutawachapa kama kawaida.
Wale wenzetu wa kutoka epl naona wanachechemea.
Arsenal karibuni darajani
 
Mkuu Mentor; pole; lakini kumbuka kwamba uwanja ulikuwa mbaya sana...
pia nilisema tangu mapema hapa hapa kwamba mashabiki wa Sporting walisaidia sana kuiweka timu yao mchezoni.

Alama za bingwa ni kushinda..hata kama atashinda kwa taabu. Kumbukeni wakuu kwamba kwneye kundi letu ni Chelsea Fc pekee iliyoshinda mechi..


hadi sasa msimamo uko hivi:

1412124068697_Image_galleryImage_image001_png.JPG


Mkuu game ilikua ngumu sn ata km tumeshinda Lkn hao Wareno walicheza vzr sn na kwa nguvu sn na muda Wote walikua ktk Hali hiyo hiyo! Ni uzoefu na ubora wa wachezaji WETU umesaidia!

Na kwa msimamo huo jinsi ulivyo game itakayofata ya CL inapaswa kushinda ili tuwe ktk Hali nzuri ya kusonga atua ya 16.
 
tuna point za kutosha mkuu

mm jana niilivyoona vile ilinibidi nizime tv yangu
maana niliona kuwa tutakanyagwa sana
kuja kuamka leo asubuhi mkuu napewa taarifa kuwa tuko juu
nimefurahije wewe acha tu iliyobakia ni kujipanga tena
maana mbele yetu kuna hawa asernal sijui itakuwaje

Mkuu Mentor; pole; lakini kumbuka kwamba uwanja ulikuwa mbaya sana...
pia nilisema tangu mapema hapa hapa kwamba mashabiki wa Sporting walisaidia sana kuiweka timu yao mchezoni.

Alama za bingwa ni kushinda..hata kama atashinda kwa taabu. Kumbukeni wakuu kwamba kwneye kundi letu ni Chelsea Fc pekee iliyoshinda mechi..


hadi sasa msimamo uko hivi:

1412124068697_Image_galleryImage_image001_png.JPG
 
tuna point za kutosha mkuu

mm jana niilivyoona vile ilinibidi nizime tv yangu
maana niliona kuwa tutakanyagwa sana
kuja kuamka leo asubuhi mkuu napewa taarifa kuwa tuko juu
nimefurahije wewe acha tu iliyobakia ni kujipanga tena
maana mbele yetu kuna hawa asernal sijui itakuwaje

Arsenal ni wateja wetu tu, mechi na arsenal tunashinda kwa difference ya kuanzia goli mbili.
 
kweli. lakini kwangu mie uwanja uliwasaidia sana hawa SPORTING ngoja waje LONDON. maana ukisabu kona tulizopiga kwao, hesabu mashuti tuliyopiga kwao, hesabu magoli ambayo kipa wao aliokoa ya wazi..hawa hawakuwa na lolote uwanja wao mbovu sana umezuiea CHELSEA FC isitandaze kabumbu la maana.

siyo mbaya la maana ni ushindi; iwe tunashinda vizuri ama vibaya..la muhimu tumeshinda. hadi sasa ni timu pekee ya UINGEREZA ambayo haijafungwa mechi yoyote ya kimashindano hadi sasa:


PREMIER LEAGUE MECHI 6. . W W W W D W.
CAPITOL ONE CUP MECHI 1. . W.
UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2...D W.


Hadi sasa ni CHELSEA PEKE YAKE AMBAYO HAIJAFUNGWA ..

CC.Mosdef, Arsenal fans, RRONDO, man City fans...:A S-eek:



Mkuu game ilikua ngumu sn ata km tumeshinda Lkn hao Wareno walicheza vzr sn na kwa nguvu sn na muda Wote walikua ktk Hali hiyo hiyo! Ni uzoefu na ubora wa wachezaji WETU umesaidia!

Na kwa msimamo huo jinsi ulivyo game itakayofata ya CL inapaswa kushinda ili tuwe ktk Hali nzuri ya kusonga atua ya 16.
 
Uwe na imani lady!

mbona unakuwa na imani haba?

kwanza siku hizi umelisusa jukwaa letu nini shida??:wacko:


tuna point za kutosha mkuu

mm jana niilivyoona vile ilinibidi nizime tv yangu
maana niliona kuwa tutakanyagwa sana
kuja kuamka leo asubuhi mkuu napewa taarifa kuwa tuko juu
nimefurahije wewe acha tu iliyobakia ni kujipanga tena
maana mbele yetu kuna hawa asernal sijui itakuwaje
 
imani ninayo ila sasa naona chelsea kama tunaingia chaka na wakati tulianza vizuri


Best sijalisusa jukwaa ni mambo kuwa mengi kiasi kwamba kuingia humu
naingia kwa kubeep sana, si unajua majukumu ya kulea bestito
Uwe na imani lady!

mbona unakuwa na imani haba?

kwanza siku hizi umelisusa jukwaa letu nini shida??:wacko:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom