ungekuwa mshabiki wa MAN UTD ungekuwa umeshakonda ama?
maana hao majanga kila kukicha..
sisi ndo timu yenye starehe zaidi UINGEREZA nzima..ukishindwa hapa utaweza wapi Lady?
hatujafungwa ,basi tu mm najikatia tamaa mapema best
Naona safari hii timu za London ndio vidume UEFA, hongereni sana majirani zetu kwa ushindi wa jana. Njooni kesho kutwa pale darajani tuwaoneshe kabumbu la maana, kuanzia striker hadi beki wote wanatupia. Mbona kazi mtakuwa nayo tu ya maana!!
Wapi Ntuzu, agosti 8, Mentor, ladyfurahia etc?
njoeni huku tuichambue mechi hii ya Londoners kama tulivoichambua ya Lisbon.
Wakuu msiwe na hofu wala wasiwasi..mechi ya jumapili itakuwa nzuri sana..
Nguvu ya ARSENAL FC iko kweny kiungo.
Hata hivyo; ni viungo wapi wa ARSENAL watakaomsumbua MATIC?
je, ARSENAL wanao viungo wa kuzuia WILLIA NA HAZARD?..
je, ARSENAL wanao viungo au mabeki wa kuzuia OSCAR, SCHURRLE na DIEGO?
je, ARSENAL wanao washambuliaji wa kusumbua mabeki wetu: IVANOVIC, TERRY, CAHILL na AZPILICUETA?
je, ARSENAL wanaweza kupiga mashuti ya kumsumbua kipa wetu THIBAUT COURTOIS?
je, ARSENAL wanaweza kucheza dakika 90 bila kuchoka?? je, wanayo CHARACTER ya kushinda mechi ya jumapili?
CHELSEA FC - FOREVER BLUE.
Chelsea play like small team-Pellegrin
(Msiniue sio maneno yangu bali ya kocha Pellegrin)
Unafahamu vzr Jose alivyomjibu huyo loser Pellegrine!
MissM4C karibu sana,Willian Aanze Jpil na Oscar, Hazard
Zaidi ya kumuita Pellegrino hamna jipya Jose alichosema!11-11 humpati sare kwa Man City Itihad
Willian Aanze Jpil na Oscar, Hazard
Zaidi ya kumuita Pellegrino hamna jipya Jose alichosema!11-11 humpati sare kwa Man City Itihad