Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ha haah mkuu Rockcity native umepotea sana mkuu; nini shida??:A S-eek:

any way karibu sana mkuu..:wacko:


sisi wazima wa afya..kama kawaida juu kabisa ya ligi. GD 12, mfungaji wetu DIEGO COSTA # 19 anakusudia kufikisha goli 10 kwenye mechi ijayo..

kuhusu kumfikia Eidur # 22 nadhani mambo ya Eden Hazard ni balaa sana..
pili Eidur alikuwa anacheza kama Center-forward; ilhali kijana Eden Hazard anacheza kama msaidizi wa mshambuliaji..namaanisha "the number 10 role"


:spit:



hahah haya bhana, ila hajafikia kiwango cha Eidur Gudjohnson
 
chelsea-here-chelsea-there-.img.png


ON-LOAN PLAYERS 'WACHEZAJI WETU'...

pichani ni beki mahiri WALLACE anacheza kwa 'mkopo' tumewaazima Vitesse ya Uholanzi; yuko na madogo wenzake wengi tu; mfano bertrand Traore{kutoka burkina fasso}

hii tabia yetu ya kupeleka wachezaji wengi kwa mkopo itazaa matunda mazuri sana muda si mrefu..
 
kijana RYAN BERTRAND..juzi amefunga goli safi ...ni mchezaji wetu; huyu dogo alicheza FAINALI ya CHAMPIONS LEAGUE vs BAYERN..alikuwa anampeleka puta kapteni wa Bayern ..LAHM. .


1411832059585_wps_26_Ryan_Bertrand_of_Southamp.jpg
 
ha haah mkuu Rockcity native umepotea sana mkuu; nini shida??:A S-eek:

any way karibu sana mkuu..:wacko:


sisi wazima wa afya..kama kawaida juu kabisa ya ligi. GD 12, mfungaji wetu DIEGO COSTA # 19 anakusudia kufikisha goli 10 kwenye mechi ijayo..

kuhusu kumfikia Eidur # 22 nadhani mambo ya Eden Hazard ni balaa sana..
pili Eidur alikuwa anacheza kama Center-forward; ilhali kijana Eden Hazard anacheza kama msaidizi wa mshambuliaji..namaanisha "the number 10 role"


:spit:

huyu jamaa nilikua namkubali sana ni caliber ya rooney. Yani hata kiungo alikua anapiga
 
unajua tulikuwa tunapenda sana mfumo wa 4-3-3 ambapo ni rahisi kudhani kwamba alikuwa anacheza kiungo; lakini yeye alikuwa mtu wa mbele tu. Baada ya hapo tuliwauzia Barcelona CF...lakini Eidur ni moja wapo ya best strikers katika historia yetu..CFC.


huyu jamaa nilikua namkubali sana ni caliber ya rooney. Yani hata kiungo alikua anapiga
 
MSIMU WA 2003-2004. .
# 1. ARSENAL FC.
Game pld = 38.
W = 26.

D = 12.
L = 0.

GD = 47.
total points = 90.


CHELSEA FC ilishika nafasi ya 2. .tulifikisha points 79. na tulishinda mechi 24 kati ya 38. Kocha wetu enzi hizo alikuwa CR 'Claudio Ranierri'


MSIMU WA 2004-2005.

chelsea fc - mabingwa.

game pld = 38.
win = 29.
draw = 8.

lost = 1.

GD = 57.
points 95.{hii rekodi hajavunja mtu}




mwaka 2006 Mourinho alikaa kwenye msimamo mwanzo mwisho kama Arsenal walivyofanya 2004
 
MSIMU WA 2003-2004. .
# 1. ARSENAL FC.
Game pld = 38.
W = 26.

D = 12.
L = 0.

GD = 47.
total points = 90.


CHELSEA FC ilishika nafasi ya 2. .tulifikisha points 79. na tulishinda mechi 24 kati ya 38. Kocha wetu enzi hizo alikuwa CR 'Claudio Ranierri'


MSIMU WA 2004-2005.

chelsea fc - mabingwa.

game pld = 38.
win = 29.
draw = 8.

lost = 1.

GD = 57.
points 95.{hii rekodi hajavunja mtu}





teh teh na unbeaten 49 je nani kaivunja.
 
KILA TIMU INALO JUKUMU LA KUWEKA REKODI ZAKE..SISI TUMEWEKA ZETU TENA NYINGI TU..

MSIMU WA 2004-2005 TULIWEKA REKODI ZA KUTOSHA..

1. points nyingi zaidi = 95.
2. kushinda mechi zaidi = 29.
3. kufungwa magoli machache zaidi = 15 msimu mzima.:A S-eek:


au kuna mtu kavunja???:wacko:



teh teh na unbeaten 49 je nani kaivunja.
 
KILA TIMU INALO JUKUMU LA KUWEKA REKODI ZAKE..SISI TUMEWEKA ZETU TENA NYINGI TU..

MSIMU WA 2004-2005 TULIWEKA REKODI ZA KUTOSHA..

1. points nyingi zaidi = 95.
2. kushinda mechi zaidi = 29.
3. kufungwa magoli machache zaidi = 15 msimu mzima.:A S-eek:


au kuna mtu kavunja???:wacko:

mwambieni costa ajitahidi afikishe atleast goli 30. Chelsea haijawi kutoa mchezaji kufika goli hizo. Yani mnazidiwa hata na kevin philips
 
sisi ni timu nzima; magoli yanafungwa na mabeki, yanafungwa na viungo wakabaji, yanafungwa na viungo washambuliaji na yanafungwa na Diego Costa..

ndo maana ni vigumu kwa mshambuliaji mmoja kutoka CHELSEA FC kufunga magoli 30+..

but kwetu TIMU ni muhimu kuliko MCHEZAJI..



mwambieni costa ajitahidi afikishe atleast goli 30. Chelsea haijawi kutoa mchezaji kufika goli hizo. Yani mnazidiwa hata na kevin philips
 
10369979_670255356399879_7454323174553861478_n.jpg



DIEGO COSTA # 19 akifikisha magoli 30 msimu huu .. basi timu ya CHELSEA FC lazima itafikisha pointi 100.

mwambieni costa ajitahidi afikishe atleast goli 30. Chelsea haijawi kutoa mchezaji kufika goli hizo. Yani mnazidiwa hata na kevin philips
 
And this is to wish a very happy birthday to one chelsea legend..Andriy Shevchenko
 

Attachments

  • 1412003862166.jpg
    1412003862166.jpg
    68.2 KB · Views: 73
Last training before lift off to Lisbon..
 

Attachments

  • 1412003959508.jpg
    1412003959508.jpg
    62.5 KB · Views: 84
  • 1412004010944.jpg
    1412004010944.jpg
    73.8 KB · Views: 76
  • 1412004025806.jpg
    1412004025806.jpg
    40 KB · Views: 80
1412020088668_wps_12_LISBON_PORTUGAL_SEPTEMBER.jpg



KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI - LISBON URENO...

kocha alikuwa na Willian; mechi ya kwanza vs Shalke 04; kocha alikuwa na Ivanovic.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom