Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi ijayo na Arsenal natamani Mou apange kikosi hiki hiki tulichocheza nacho vs Aston Villa.

Ila vyovyote vile Oscar asikosekane. Willian amejipa pass ya kuanza first eleven.

Ramires yupo nje bado hatocheza mechi hiyo mpaka baada ya international break.

Schurrle ataingia kuongezea tu magoli dk ya 75 hivi.

Magoli si chini ya manne....chelsea >=4 Arsenal 0

Mkuu mentor katika ubora wake wa juu.:wacko:
 
TWENDENI URENO ...

mechi yetu ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE vs SPORTING CLUBE DE PORTUGAL {a.k.a SPORTING LISBON}


Tunacheza nao kwao mjini LISBON.

Kwenye msimamo wa LIGI YA URENO. hawa mabwana wanashika nafasi ya 6.
Hadi sasa wamefikisha pointi 10; baada ya mechi 6. Wanayotofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa{GD} = 5.


timu hii ni maarufu kwa kutoa wachezaji wenye majina; mfano beki Marcos Rojo{anatamkwa Roho}..ametoka timu hii.
Christiano Ronaldo alitokea timu hii pia..

Kwa sasa wana majina makubwa kama vile: William Carvalho # 14. na Islam Slimani # 9{huyu Slimani ndo straika tegemeo wa timu ya taifa ya Algeria; bila shaka mliona mambo yake kwenye kombe la Dunia}

Wachezaji wengine:
Nani # 77
Ryan Gauld # 27
Junya Tanaka # 19
Fred Montero # 10
Rui Patricio # 1{kipa wao}
Shikabala # 7
Adrian Silva # 23
Diego Capel # 11
Ramy Rabia # 2
Andre Carrillo # 18
Miguel Lopes # 13
Jonathan Silva # 33
Andre Martins # 8
Heldon Ramos # 20
Naby Sarr
Paulo Oliveira # 26


HII ITAKUWA MECHI NGUMU; TUTAHITAJI KUPIGA MPIRA KAMA TULIOPIGA PALE KWA EVERTON FC.:A S-eek:

 
in_william_carvalho.jpg
 
WAPINZANI WETU - SPORTING CLUBE DE PORTUGAL aka 'SPORTING LISBON'


Sporting Clube de Portugal
Formed: 1906
Nickname: Leões (Lions)

UEFA club competition honours (runners-up in brackets)
• UEFA Cup: (2005)
• UEFA Cup Winners' Cup (1): 1964
Domestic honours (most recent triumph in brackets)
League title: 18 (2002)
Portuguese Cup: 15 (2008)
Ten-year European record (UEFA Champions League unless indicated otherwise)
2013/14: did not take part in UEFA competition
2012/13: UEFA Europa League group stage
2011/12: UEFA Europa League semi-finals
2010/11: UEFA Europa League round of 32
2009/10: UEFA Europa League round of 16 (having transferred from the UEFA Champions League play-offs)
2008/09: round of 16
2007/08: UEFA Cup quarter-finals (having transferred from the UEFA Champions League group stage)
2006/07: group stage
2005/06: UEFA Cup first round (having transferred from UEFA Champions League third qualifying round)
2004/05: UEFA Cup runners-up
Records
UEFA club competition
• Biggest home win
16-1: Sporting v APOEL FC
13/11/63, European Cup Winners' Cup second round first leg
• Biggest away win
0-9: ÍA Akranes v Sporting
17/09/86, UEFA Cup first round first leg
• Heaviest home defeat
0-5: Sporting v FC Bayern München
25/02/09, UEFA Champions League round of 16 first leg
• Heaviest away defeat
7-1: FC Bayern München v Sporting
10/03/09, UEFA Champions League round of 16 second leg
 
KWENYE VIWANGO BORA VYA TIMU ZA ULAYA KWA MSIMU WA 2014/2015.

1. Real Madrid
2. Barcelona CF
3. Bayern Munich
4. CHELSEA FC.


33. sporting clube de portugal

 
licha ya kwamba tumewazidi kwa ubora kwenye viwango vya UEFA tutahitaji kucheza mpira mzuri na kufunga magoli mengi iwezekanavyo.

SPORTING ni wazuri sana kwenye kiungo..vijana wetu wa kazi: Willian; Hazard, Matic na Fabregas watahitaji utulivu wa hali ya juu..

hatutahiaji kuchezea nafasi. nafasi moja goli moja...ni kushambulia mwanzo hadi mwisho..watakuwa wanacheza kwao; tukiwafunga tutawanyamazisha mashabiki wao..

maana wana mashabiki wazuri sana; mtajionea siku hiyo.:A S-eek:




KWENYE VIWANGO BORA VYA TIMU ZA ULAYA KWA MSIMU WA 2014/2015.

1. Real Madrid
2. Barcelona CF
3. Bayern Munich
4. CHELSEA FC.


33. sporting clube de portugal

 
Thanks for a good analysis of our club, the best situational analysis of our team I've ever came across with.
Very nice kiongozi agosti 8. You keep our forum alive with such details
 
Last edited by a moderator:
Mkuu agosti 8 Asante sn kwa uchambuzi wako mzuri sn!

Kilicho mbele yetu ni kwenda huko Ureno then turudi nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya Arsenal!


#KTBFFH
 
Last edited by a moderator:
faida ya kuwapanga DIEGO COSTA na ANDRE SCHURRLE PAMOJA.


1. mechi ya CHELSEA vs BURNLEY ambayo tulishinda 3-1 ilionyesha wazi faida ya kuwapanga watu hawa pamoja.

2. faida ya SCHURRLE kupangwa pamoja na DIEGO ilionekana tena juzi tulipocheza na CITY..

kwa ufupi: wakati mabeki wanapokuwa bize kumkaba DIEGO COSTA ..huyu kijana SCHURRLE atakuwa anawaumiza polepole.

faida nyingine ya SCHURRLE ni kwamba anaweza sana kuelewana na MAESTRO FABREGAS..pasi za CESC hakuna mtu anayeweza kuzitendea haki kumshinda huyu jamaa..

udhaifu kidogo wa SCHURRLE ni kwamba jamaa hawezi kucheza dakika 90 katika kiwango cha juu...huenda ikafaa aanze alaf baadae aingie Willian.

tupate kwanza magoli mapema..alaf tunamweka Willian ili kukaa na mpira; ..
 
web-chelsea-2-getty.jpg


hapa ilikuwa mechi yetu vs PSG. tulihitaji kushinda magoli 2-0 ili kusonga mbele.
mchezaji tegemeo EDEN HAZARD hakuwa vizuri physically na mentally..alitolewa dakika ya 17..akaingia huyu mpiganaji..watu walishangaa sana..lakini akafunga goli muhimu sana..

huyu jamaa ni mshabiki wa Chelsea fc. hachezi tu..ili anacheza kama timu ya baba yake..

ANDRE SCHURRLE # 14.





faida ya kuwapanga DIEGO COSTA na ANDRE SCHURRLE PAMOJA.


1. mechi ya CHELSEA vs BURNLEY ambayo tulishinda 3-1 ilionyesha wazi faida ya kuwapanga watu hawa pamoja.

2. faida ya SCHURRLE kupangwa pamoja na DIEGO ilionekana tena juzi tulipocheza na CITY..

kwa ufupi: wakati mabeki wanapokuwa bize kumkaba DIEGO COSTA ..huyu kijana SCHURRLE atakuwa anawaumiza polepole.

faida nyingine ya SCHURRLE ni kwamba anaweza sana kuelewana na MAESTRO FABREGAS..pasi za CESC hakuna mtu anayeweza kuzitendea haki kumshinda huyu jamaa..

udhaifu kidogo wa SCHURRLE ni kwamba jamaa hawezi kucheza dakika 90 katika kiwango cha juu...huenda ikafaa aanze alaf baadae aingie Willian.

tupate kwanza magoli mapema..alaf tunamweka Willian ili kukaa na mpira; ..
 
1411806946602_wps_4_Chelsea_s_Belgian_midfiel.jpg


kijana amesema hana mpango wala mawazo ya kuondoka West London..

hakuna cha PSG wala nini; anajiandaa kuongeza miaka 5 kwenye mkataba wake..

hadi sasa tayari kipa Thibaut Courtois na beki Cesar Azpilicueta wameongeza miaka 5 kila mtu.:A S-eek:
 
1411806946602_wps_4_Chelsea_s_Belgian_midfiel.jpg


kijana amesema hana mpango wala mawazo ya kuondoka West London..

hakuna cha PSG wala nini; anajiandaa kuongeza miaka 5 kwenye mkataba wake..

hadi sasa tayari kipa Thibaut Courtois na beki Cesar Azpilicueta wameongeza miaka 5 kila mtu.:A S-eek:

hahah haya bhana, ila hajafikia kiwango cha Eidur Gudjohnson
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom