lonewolf ranger
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 476
- 149
uko everton 1-2 c.palace
uko everton 1-2 c.palace
Everton 1-3 c.palace
itakuwa mechi ngumu,
City wazuri kwenye ushambuliaji, yaani wana option Nyingi, sio wazuri katikati kwa sasa, Captain Toure Keshachoka sana, sidhani kama atawaeza mikikimikiki ya akina Ramires, Fabregas,
ile Beki yakina Kompany nayo inatepeta mapema hasa ikikutana na wakimbiaji na wasumbufu kama Hazard, William,
Nadhani City wanaweza kuja na Option ya kurusha mipira, yaani iwe inachezwa nyumba na Mbele ili hapo kati Chelsea wasiwe na uwezo wa Kutawala, na pia watakuwa na hope ya stikers wao kuwa wanaweza kuisumbua Beki ya Chelsea ambayo ianaonekana kama inasuasua
Kwa upande wa Chelsea leo mpira utachezwa sana katikati na mbele sana, na nia hasa itakuwa kuwachosha wakina Toure (Midfiled) na Kompany (Beki)
Panaweza kuwa na Kadi nyekundu leo kwa aidha Toure, Zabaleta au Kompany
itakuwa mechi ngumu,
City wazuri kwenye ushambuliaji, yaani wana option Nyingi, sio wazuri katikati kwa sasa, Captain Toure Keshachoka sana, sidhani kama atawaeza mikikimikiki ya akina Ramires, Fabregas,
ile Beki yakina Kompany nayo inatepeta mapema hasa ikikutana na wakimbiaji na wasumbufu kama Hazard, William,
Nadhani City wanaweza kuja na Option ya kurusha mipira, yaani iwe inachezwa nyumba na Mbele ili hapo kati Chelsea wasiwe na uwezo wa Kutawala, na pia watakuwa na hope ya stikers wao kuwa wanaweza kuisumbua Beki ya Chelsea ambayo ianaonekana kama inasuasua
Kwa upande wa Chelsea leo mpira utachezwa sana katikati na mbele sana, na nia hasa itakuwa kuwachosha wakina Toure (Midfiled) na Kompany (Beki)
Panaweza kuwa na Kadi nyekundu leo kwa aidha Toure, Zabaleta au Kompany
Changanya na clatternburg