First miss, Ramires
Tuna uwezo mkubwa sana siyo kama jirani zetu
Nimependa Jose alivyopanga kikosi kwa ajili ya maandalizi ya game ijayo ya Man City!
Anajielewa sana huyu kocha wa dunia,hawa man city watajuta tutawafanya kama mwaka Jana,naona kila dalili tutawaacha mbali then tutakuwa tunakamilisha ratiba,hizi timu ndogo mwaka jana zilituwekea gogo mwaka huu ndo tumeanza nao vipigo tu.
Anajielewa sana huyu kocha wa dunia,hawa man city watajuta tutawafanya kama mwaka Jana,naona kila dalili tutawaacha mbali then tutakuwa tunakamilisha ratiba,hizi timu ndogo mwaka jana zilituwekea gogo mwaka huu ndo tumeanza nao vipigo tu.
Diego Costa hakucheza?
Alianza Drogba then ktk dakika za sabini hivi akapumzika na kuingia Costa kunyoosha misuli! Maana next weekend tutakua Etihad!
Anajielewa sana huyu kocha wa dunia,hawa man city watajuta tutawafanya kama mwaka Jana,naona kila dalili tutawaacha mbali then tutakuwa tunakamilisha ratiba,hizi timu ndogo mwaka jana zilituwekea gogo mwaka huu ndo tumeanza nao vipigo tu.
Mtani agosti 8 na Ntuzu poleni sana!Msivunjike moyo chukulieni matokeo positively na ndiyo mpira una probability 3 za sare kushinda au kushindwa!
Chukulieni matokeo haya kama changamoto kwenu lkn bet yangu ipo pale pale "" Kwa uchezaji huu kama Drogba atafunga bao 4 EPL msimu mzima natoa kreti la Castle hapa mgawane"
Dah! Soka lingekuwa rahisi kama ulivyoandika hapo juu, basi kusingekuwa na haja ya uwepo wa makocha. Na ladha ya mashindano inakuwa haipo tena.