Collect me if am wrong lakini Ramires hakucheza kama pacha wa Matic, alicheza pembeni (no.7) ingawa alikua anaibiaibia na katikati, no.6 alikua Matic na no.8 alikua Cesc, ndio maana baadae JM baada ya kuona beki haina ulinzi wa kutosha alimuingiza Mikel akacheze kuingo ya chini na Matic ili Cesc apande juu no.10 kuchukua nafasi ya Willian
Matic na Ramires walipangwa kucheza majukumu ya namba 6 na 8.
Cesc Fabregas alipangwa kucheza majukumu ya Oscar na ndiyo maana akatoa ile assist ya kwnza ya goli akiwa kwneye 'number 10' role.
kuhusu Ramires kucheza winga namba 7 ilitokea baada ya JOHN OBI MIKEL kuingia. Baada ya Mikel kuingia akacheza na Matic kati, Ramires akaenda upande wa Willian.
Tangu mwanzo wa mcheza game plan ilikuwa Matic 6, Ramires 8"box to box" na Cesc # 10, lakini kumbuka jambo moja huyu Ramires ni mtu wa kupanda na kushuka kama tu beki wetu Ivanovic..alifunga goli akiwa ndani ya box la adui wakati yeye ni beki namba 2..tena haikuwa kona wala mpira wa adhabu. ni move ya kawaida tu. so far so good! Chelsea fc mwaka huu iko sawa sana mkuu Mourinho.
Kumbuka mwaka jana ulikuwa unatukosoa kwamba tunapoteza pointi kwa watoto, sasa tunakusanya mbona hamtaki kutupongeza jamani??
siwaelewi..mwaka jana mechi ya kwanza vs Everton tulifungwa 1-0, sasa tumeshinda 6-3 hayo ni maendeleo makubwa sana.
subiri tuchezi mechi 10 kwanza tukusanye pointi za kutosha alaf njoo useme kwamba beki ni mbovu..
hayo mapambo ya harusi yatafanyika wapi? maana naona umeseme 'location' yako ni mbinguni..ha haaha haha ha haah mwaka huu kazi ipo jamani.
karibu lakini ladyfurahia
natumaini mkuu Ntuzu atakupa utambulisho wa humu nyumbani...ntuzu eeh?? ntuzu eeh?? njoo utoe utambulisho..maana hilo ndo jukumu lako 'maalum'.:spit:
bora liwe kwetu kumbe na wewe ni chelsea hahahahhaaaaaaaaa
ladyfurahia karibu sn jamvini jukumu lako na wewe ni kumwaga picha mamito.
Mimi namheshimu sana huyu mkuu 'mourinho' ukosaoaji wake unatusaidia.
with all respect namkaribisha asikose kutembelea jukwaa letu. Ingawa yeye ni mtu wa Juve{ipo siku nitamuuliza kwa nini anajiita Mourinho badala ya kuitwa Conte au Pirlo}
kwa wageni wastaarabu wote tutawajibu vizuri kwa heshima na adabu..mpira ni kueleweshana..
CHELSEA FC FOREVER BLUE.
naona mkuu Ntuzu umeanza kubadili lugha taratiibu. haya bwana..:A S wink:
Hahahaaaa watakuja wengi tu wadau wa MMU mkuu tutajumuika pamoja ktk nyumba yetu hii ya furaha.
kumbe huwa unaenda MMU kupiga kampeni? lete mashabiki humu ndani bhana..
wengine walikuwa MAN UROJO..wanakaribishwa..
Mkuu naitangaza timu yangu kila nikiingia MMU.
Hahahaaaa watakuja wengi tu wadau wa MMU mkuu tutajumuika pamoja ktk nyumba yetu hii ya furaha.
Mkuu naitangaza timu yangu kila nikiingia MMU.
Mimi namheshimu sana huyu mkuu 'mourinho' ukosaoaji wake unatusaidia.
with all respect namkaribisha asikose kutembelea jukwaa letu. Ingawa yeye ni mtu wa Juve{ipo siku nitamuuliza kwa nini anajiita Mourinho badala ya kuitwa Conte au Pirlo}
kwa wageni wastaarabu wote tutawajibu vizuri kwa heshima na adabu..mpira ni kueleweshana..
CHELSEA FC FOREVER BLUE.
MMU hawawezi kuja kwa ma MAFIOSO HUMU!!!!!!!!!!!
AISEE! basi 'waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa' imekufaa..:wacko:
Hahahaaaaa
Naona Urojo na Maria na Farao wametua kwenu mmeanza kujidanganya kua nyie ni mabingwa huku mnasahau tumewapita point 7 hahaaaaa. Aisee nyie bhana vichekesho kweli.
sisi hatuwezi kuchukua ubingwa....tutashangilia majina makubwa tu na chenga....huku FALCAO kule DI MARIA.....pembeni kidogo MATA.....ROONEY....VAN PERSIE ha ha ha ha ha ha ha ha ha