Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Diego-Costa.jpg
 
Kikosi cha leo cha kumuulia barnley anayekijua akiweke hewani, natamani sana kipa angeanza p.chek,
 
first 11
cech
ivanovic
filipe luis
cahil
j terry
matic
fabregas
hazard
willian
oscar
diego costa
 
hahahaha........... umetoka nje ya hoja kw kuzungumzia avatar ndio mana nikakwambia tetea hoja yako, Costa siyo wa kulinganishwa na Sanchez!!".utakua humtendei haki Costa. Wakulinganishwa nae labda Suarez au ibrahimovic.

Na huyo Walcot wako unaemsifia! ni galasa tu, mchezaji gani mimbio tu. anakimbia na mpira mpaka nje ya uwanja. Haangalii akina Bale wana mbio na akili. Walcot kw kikosi cha chelsea hata kikosi ch pili hapati namba!

Grand PA
nimekuelewa na wala sijamzungumzia Walcot kwenye post yangu hata moja
 
Wakuu amani popote mlipo,@agosti Ntuzu Grand PA na wengineo popote mnaoitakia chelsea ushindi
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa wa blue wanapaki hilo bus wachaaa... Nlifkiri ni kwenye UEFA tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom