Ile mechi ilikuwa tamu sana, nilitaka lala ila yale maufundi ya Salah, Fabs,Hazard yakanifanya niendelee angalia.
Mimi nishatangaza mapema kuwa Chelsea ndio mabingwa na tusipochukua msimu huu basi itakuwa balaa na tunaweza kuwa liverpoool wengine.
Chelsea FC Winners
UBINGWA WETU TUTATANGAZA MAPEMA SANA..:first: