Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Diego Costa ni straika ambaye hakabiki,nimeliona hilo

si ni wewe uliyesema kwamba ALEXIS SANCHEZ ni bora kuliko Diego Costa au siyo wewe?
siku nyingine punguze kubwabwaja mkuu Viol, .:A S-eek: samahani kama nimekukwaza lakini..

 
hakuna mfumo permanent kwneye soka. ila kuna mfumo uliozoeleka. kwa misimu miwili iliyopita tumetumia sana 4-2-3-1., lakini inawezekana msimu huu tutakuwa tunatumia pia 4-3-3 na 4-1-4-1. ..kutegemea na wapinzani tunaokutana nao.


Hivi perment mfumo wa chelsea ni upi?ndo huo 4-2-3-1?
 
si ni wewe uliyesema kwamba ALEXIS SANCHEZ ni bora kuliko Diego Costa au siyo wewe?
siku nyingine punguze kubwabwaja mkuu Viol, .:A S-eek: samahani kama nimekukwaza lakini..
Hujanikwaza mkuu agust 8,nilikuwa sijamwona huyu jamaa vizuri kwenye timu zinginge zaidi ya ATM,Nimemwona mechi zake za chelsea,kiroho safi sina lawama,ila naogopa tu asipewe kadi maana pale mbele analalamika sana
 
Last edited by a moderator:
Hujanikwaza mkuu agust 8,nilikuwa sijamwona huyu jamaa vizuri kwenye timu zinginge zaidi ya ATM,Nimemwona mechi zake za chelsea,kiroho safi sina lawama,ila naogopa tu asipewe kadi maana pale mbele analalamika sana

tunataka mchezaji mbabe kama Costa; maana marefa wamezidi ujinga, jana ilikuwa bado kidogo Brune Alves angemvunja mguu; Diego Costa ananikumbusha Michael Ballack; ulikuwa huwezi kumchanganya..sasa hesabu magoli na assists ambazo Costa ametoa tangu ameanza kucheza Chelsea..jamaa ni bonge la mchezaji..
 
10350518_1449678495298183_2952974122788238207_n.png
 
Jose Mourinho amesema atakuwa anamtuma Nemanja Matic kama alivyokuwa anamtumia Makelele..mbele ya mabeki 4; anakuwa 'anchor'..

Msimu uanze tuone maufundi..:A S-eek:



hakuna mfumo permanent kwneye soka. ila kuna mfumo uliozoeleka. kwa misimu miwili iliyopita tumetumia sana 4-2-3-1., lakini inawezekana msimu huu tutakuwa tunatumia pia 4-3-3 na 4-1-4-1. ..kutegemea na wapinzani tunaokutana nao.
 
Wadau vipi kikosi chetu kitaweza kuchukua kombe safari hii?,Naona kama timu yetu imekosa kitu muhimu sana, 'kroos' na 'varane'.Tusipobeba safari hii man c atabeba tena, wengine wote hawana uwezo.Hata kama hatutachukua ubingwa big four tuwafunge ndani nje na tusifungwe st.bridge inatosha kabisa

ondoa hofu mkuu ligera; vikosi 2 vya Chelsea viko tayari kupigania mataji msimu huu..wewe subiri ubingwa unakuja.:first::first::first:
 
drogba%2Band%2Barsene%2Bwenger.jpg


cc.Pierre.fm, Rockcity native, Sizinga, na wadau wote wa Arsenal..MSIYEMPENDA KARUDI.
 
#teamChelsea ikiwa mazoezi huko Hungary ikijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Ferencvaros.
 

Attachments

  • 1407643196950.jpg
    1407643196950.jpg
    34.7 KB · Views: 79
  • 1407643212652.jpg
    1407643212652.jpg
    34.3 KB · Views: 73
  • 1407643229851.jpg
    1407643229851.jpg
    21 KB · Views: 72
asante mkuu thread yetu iko so plain nimemwomba mods kupitia jukwaa la complains na congrats akupe autority ya kuupdate the first post ya sanda matata ili atleast kuwe na hata history ya vikombe tulivyochukua kama ilivyo kwa Man united na liverpool.Agost 8 umekuwa so active na hii thread na nakupongeza kwa kuweka current news kila ukizipata Mods wakupe basi authority ya kuihuisha thread namba moja interms of vikombe na squad .nimtizamo tu mkuu

Hii aisome Ab-Titchaz
 
Last edited by a moderator:
Mechi ya kirafiki kati ya #teamchelsea na Ferencvaros.

Chelsea are line up in the following 4-2-3-1
formation:
Cech ; Azpilicueta, Christensen, Zouma , Filipe Luis; Mikel ,
Ramires ; Willian , Schurrle, Torres; Drogba

Substitutes: Schwarzer , Ivanovic , Cahill, Terry , Fabregas,
Matic, Hazard , Oscar , Van Ginkel , Salah, Moses , Diego
Costa
 
S
Mechi ya kirafiki kati ya #teamchelsea na Ferencvaros.

Chelsea are line up in the following 4-2-3-1
formation:
Cech ; Azpilicueta, Christensen, Zouma , Filipe Luis; Mikel ,
Ramires ; Willian , Schurrle, Torres; Drogba

Substitutes: Schwarzer , Ivanovic , Cahill, Terry , Fabregas,
Matic, Hazard , Oscar , Van Ginkel , Salah, Moses , Diego
Costa

Ferencvaros 1(Gera. 17') - Chelsea 0


Dakika ya 27:
Drogba ameumia baada ya kurukia mpira wa kichwa na kutua vibaya, amefanyiwa mabadiliko na nafasi yake kuchukuliwa na Oscar


Ferencvaros 1 (Geta. 17') - Chelsea 1(Ramires. 50')


Ferencvaros 1 (Geta. 17') - Chelsea 2 (Ramires. 50', Fabregas. 81')

FULL TIME.
 
Ferencvaros 1(Gera. 17') - Chelsea 0


Dakika ya 27:
Drogba ameumia baada ya kurukia mpira wa kichwa na kutua vibaya, amefanyiwa mabadiliko na nafasi yake kuchukuliwa na Oscar


Ferencvaros 1 (Geta. 17') - Chelsea 1(Ramires. 50')

Nilidhan hii mechi ni jumanne...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom