Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
kwa nini Mods wasibadilishe baadhi ya picha zilizoko kweenye first post.....ili jukwa kwaa liwe live na hata kuwe na vikombe tulivyo twaa
kwa nini Mods wasibadilishe baadhi ya picha zilizoko kweenye first post.....ili jukwa kwaa liwe live na hata kuwe na vikombe tulivyo twaa
hiyo ni historia tu; kitakachofanya jukwaa hili CHELSEA FC THREAD liwe live ni wadau wenyewe kuchangia mijadala na kumwaga comments nyingi za kutosha; kwa miezi 2 sasa nasikitika kusema kwamba wadau wengi hawajachangia vya kutosha hali hiyo ndo hupoozeshwa jukwaa siyo picha.
karibu mkuu Safety last;
asante mkuu thread yetu iko so plain nimemwomba mods kupitia jukwaa la complains na congrats akupe autority ya kuupdate the first post ya sanda matata ili atleast kuwe na hata history ya vikombe tulivyochukua kama ilivyo kwa Man united na liverpool.Agost 8 umekuwa so active na hii thread na nakupongeza kwa kuweka current news kila ukizipata Mods wakupe basi authority ya kuihuisha thread namba moja interms of vikombe na squad .nimtizamo tu mkuu
mkuu zacha umepotea sana karibu tena jukwaani..
asante mkuu thread yetu iko so plain nimemwomba mods kupitia jukwaa la complains na congrats akupe autority ya kuupdate the first post ya sanda matata ili atleast kuwe na hata history ya vikombe tulivyochukua kama ilivyo kwa Man united na liverpool.Agost 8 umekuwa so active na hii thread na nakupongeza kwa kuweka current news kila ukizipata Mods wakupe basi authority ya kuihuisha thread namba moja interms of vikombe na squad .nimtizamo tu mkuu
mapendekezo yangu kwa mods; au ikiwa tutapewa 'authority' kuhuisha hao mabango 'sticky'...
1.picha ya MUNICH 2012 ibaki maana hata majirani ARSENAL na hawana.
2. tuweke picha ya UEFA EUROPA LEAGUE.
3. tuweke ubingwa wa SUPER CUP 1998 vs Real Madrid.
4. Winners Cup 1998.
5. Premier League.
itatosha; kombe la FA tuwaachie mabingwa wa kombe hilo ARSENAL:A S wink::A S wink:
hahah unaona mkuu hizi details zinahitajika sanakwenye first post, kombe la FA yawekwe tu mkuu maana tulicheza na kuyatwaa.leo naona vijana wako Turkey wana game za Dk 45 na besiktas,fenerbahce kwa ajili ya wahanga wa Soma mining industry na sunday watakuwa Hungary. Mkuu soko la Victor Moses halijapatikana ?
huyu jamaa inabidi auzwe; hawezi kugombea ndamba kwenye kikosi cha sasa. Willian-Salah-Schurrle-Hazard-Oscar- hapo pagumu sana kwa Moses, lakini kama atabaki hawezi kucheza gemu zaiid ya 10 msimu mzima.
Nadhani mkuu kwa sababu tumezidisha mtu mmoja katika wachezji 18 wanaozidi miaka 21 wakigeni wanaotakiwa kwenye kikosi basi ni nafasi nzuri aondoke huyu jamaa
Moses ni home grown player hiyo ya wachezaji 18 haimuhusu
Turkish charity competition in aid of the Soma mining disaster.
Chelsea 2 ( Diego Costa, Ivanovic) - 0 Fenerbahce.
Chelsea (4-2-3-1):-Cech;-Ivanovic,-Cahill,-Terry-(c),Azpilicueta; Matic,-Fabregas-(Mikel-39);-Schurrle(Ramires 33),-Oscar,-Hazard-(Salah 41); Costa (Drogba 35).
Hicho ndio kikosi kilichocheza na Fenerbahce huko Uturuki na kushinda kwenye dakika 45 za mwanzo mchezo unaofuata ni Chelsea na Besiktas. Kama chelsea watashinda basi wanachukua kombe.
Hivi perment mfumo wa chelsea ni upi?ndo huo 4-2-3-1?Turkish charity competition in aid of the Soma mining disaster.
Chelsea 2 ( Diego Costa, Ivanovic) - 0 Fenerbahce.
Chelsea (4-2-3-1):-Cech;-Ivanovic,-Cahill,-Terry-(c),Azpilicueta; Matic,-Fabregas-(Mikel-39);-Schurrle(Ramires 33),-Oscar,-Hazard-(Salah 41); Costa (Drogba 35).
Hicho ndio kikosi kilichocheza na Fenerbahce huko Uturuki na kushinda kwenye dakika 45 za mwanzo mchezo unaofuata ni Chelsea na Besiktas. Kama chelsea watashinda basi wanachukua kombe.
Wadau vipi kikosi chetu kitaweza kuchukua kombe safari hii?,Naona kama timu yetu imekosa kitu muhimu sana, 'kroos' na 'varane'.Tusipobeba safari hii man c atabeba tena, wengine wote hawana uwezo.Hata kama hatutachukua ubingwa big four tuwafunge ndani nje na tusifungwe st.bridge inatosha kabisa