Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii ni picha ya mwaka 2012 kwenye mechi za UCL ilikuwa mechi kati ya CHELSEA FC vs AS BENFICA. Mechi hii the Old Lion{Simba Mzee}, Didier Drogba hakucheza..ilikuwa mechi ya robo fainali. hatimaye Simba mzee alirejea kwneye mechi vs Barcelona CF na kufanya mambo yake..



[/CENTER]
Hii picha kwenye post ya kwanza very outdated yaani ni wachezaji sita tuu bado wanachezea Chelsea.

Hata kama ni ya timu iliyocheza na kushinda Champions League mbona the actual player who won it haoenekani kwenye picha?
 
LE PROFESERI anamtafuta maneno Mourinho kijanja..maana si kosa la Chelsea Fc kum-release! Lakini ni kweli kwamba Man City wanatumia ujanja kumpata..hata wakitaka kumpata David Villa watampata naye yuko kwenye "timu yao"..ha ha ha kazi ipo ligi hiyoooooooooooooooo...tarehe kumi ni LE PROFESERI vs CITY...:A S-eek:


Kasema kuwa Man city wamecheza mchezo huo sababu walibanwa kuhusu manunuzi ya wachezaji hivyo wakaamua kutumia franchise yao
 
MAJEMBE YAWASIRI DARAJANI KUANZA KAZI RASMI

Yale majembe yetu 4 yaliyosalia kuwasiri kambini ndiyo sasa yametua Darajani jana kuanza rasmi kazi ya kuusaka UBINGWA. Majembe haya ni pamoja na lile jembe shujaa lililoshinda kombe la dunia likiwa na timu yake ya Ujerumani Andre Schurrle - Mengine ni yale ya Kibrazil kabambe sana yaani Oscar, Williams na Ramiles aka kijana wa kimakonde, hapiti mtu pale. - Kazi ndiyo imeanza rasmi wakuu.

Kama unavyocheki kwenye picha, hapa majembe yanapewa sessions tofauti na wengine ili kujiweka fit baada ya mapumziko mafupi.


brazilians-and-schurrle-back-in-training.hero.png
 
namuona Wonder Boy..Ramires kwa pembeni...kazi ipo msimu huu...:A S-eek:


MAJEMBE YAWASIRI DARAJANI KUANZA KAZI RASMI

Yale majembe yetu 4 yaliyosalia kuwasiri kambini ndiyo sasa yametua Darajani jana kuanza rasmi kazi ya kuusaka UBINGWA. Majembe haya ni pamoja na lile jembe shujaa lililoshinda kombe la dunia likiwa na timu yake ya Ujerumani Andre Schurrle - Mengine ni yale ya Kibrazil kabambe sana yaani Oscar, Williams na Ramiles aka kijana wa kimakonde, hapiti mtu pale. - Kazi ndiyo imeanza rasmi wakuu.

Kama unavyocheki kwenye picha, hapa majembe yanapewa sessions tofauti na wengine ili kujiweka fit baada ya mapumziko mafupi.


brazilians-and-schurrle-back-in-training.hero.png
 
Kwa herini makamanda:

Ni muda muafaka sasa kabla ya kuanza msimu mpya kusema kwa herini wachezaji wetu wote ambao mnaondoka, na wale ambao mnaondoka kwa mkopo basi tunategemea kuwaona tena darajani msimu ujao kama viwango vyenu vitakuwa vimepanda.


Walioondoka moja kwa moja:
Ashley Cole (Roma) Free;
Samuel Eto'o Released;
Henrique Hilario Released;
Sam Hutchinson Released;
Frank Lampard Released;
Demba Ba (Besiktas) Undisclosed;
Patrick van Aanholt (Leicester City) Undisclosed;
David Luiz (PSV); £40 million;
Romelu Lukaku (Everton) £28 million;

Majembe yalioenda kwa mkopo kujifua:
Gael Kakuta (Rayo Vallecano) Loan;
John Swift (Rotherham United) Loan;
Oriel Romeu (Stuttgart) Loan
Tomas Kalas (Cologne) Loan;
Mario Pasalic (Elche) Loan;
Lucas Piazon (Eintracht Frankfurt) Loan;
Ryan Bertrand (Southampton) Loan;


Pamoja sana chelsea for life.
 
Wakuu FUSO agosti 8 Mentor na mashabiki woooote Wa Chelsea Fc nawasalimu!

Ligi muda si kitambo itaanza na Majembe yooote yako Vzr!

Tukae Mkao Wa furaha coz tunakwenda kuweka Rekodi
MPYA msimu huu!

#KTBFFH

Chelsea Fc forever!


Kwa herini makamanda:

Ni muda muafaka sasa kabla ya kuanza msimu mpya kusema kwa herini wachezaji wetu wote ambao mnaondoka, na wale ambao mnaondoka kwa mkopo basi tunategemea kuwaona tena darajani msimu ujao kama viwango vyenu vitakuwa vimepanda.


Walioondoka moja kwa moja:
Ashley Cole (Roma) Free;
Samuel Eto'o Released;
Henrique Hilario Released;
Sam Hutchinson Released;
Frank Lampard Released;
Demba Ba (Besiktas) Undisclosed;
Patrick van Aanholt (Leicester City) Undisclosed;
David Luiz (PSV); £40 million;
Romelu Lukaku (Everton) £28 million;

Majembe yalioenda kwa mkopo kujifua:
Gael Kakuta (Rayo Vallecano) Loan;
John Swift (Rotherham United) Loan;
Oriel Romeu (Stuttgart) Loan
Tomas Kalas (Cologne) Loan;
Mario Pasalic (Elche) Loan;
Lucas Piazon (Eintracht Frankfurt) Loan;
Ryan Bertrand (Southampton) Loan;


Pamoja sana chelsea for life.
 
Last edited by a moderator:
‘Hopefully it will be a very successful one for the team. Everyone wants to achieve something. We want to win trophies. We didn’t do that last season but this season we are all hoping we can have a good season and win some trophies.’ - john obi mikel # 12.

Msimu huu mkishndwa kuchukua kombe basi mjijue hamna kocha you are the tittle favourite so far though kwenye mpira chochote kinaweza kutokea.
 
10561769_10152687821027259_4131377171912446084_n.jpg



the return of the King..tazama kwenye mkono wa kushoto; hii ilikuwa baada ya JT kutoka.

 
omeruo-returns-to-middlesbrough.img.png



KENNETH OMERUO - LOANED AGAIN TO MIDDLESBROUGH FOR 1 SEASON.

CHELSEA FC - FOREVER BLUE
 

I always thought Cesc would be a Barcelona player because he is so good and being a Catalan and with the end of Xavi's career coming. When we heard the information he'd decided to come back to London we knew he was the one we wanted.'His football brain is what we need in our team. I see him everywhere. His best quality is the speed of how he analyses the game and executes. It is difficult for him to lose the ball or make the wrong decision."
 
JM asipochukua kombe msimu huu lazima apigwe chini..kaletewa kila kitu aisee!!!

Battle ya title kati ya JM na Pelegrin itakuwa kali sana aisee!!! (If aguero hatokuwa na majeruhi ya mara kwa mara)..
 
JM asipochukua kombe msimu huu lazima apigwe chini..kaletewa kila kitu aisee!!!

Battle ya title kati ya JM na Pelegrin itakuwa kali sana aisee!!! (If aguero hatokuwa na majeruhi ya mara kwa mara)..

marefa wakiwa fair pia usisahu hao ndo kila kitu..

cheki mambo yetu next season;
156011_690124201037347_9101760756312274292_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom