MSIMU ULIOPITA tulifunga City nje na ndani. 2-1 na 1-0. tuliifunga Liverpool fc, 2-1, 2-0,
Arsenal 0-0 CFC[kwao], CFC 6- 0 Arsenal [kwetu]
Man utd 0- 0 CFC[kwao], CFC 3- 1 Man utd[kwetu]
hawa hawatunyimi usingizi hata kidogo,,msimu ujao tunarudisha point zetu kwa Sunderland, WBA, na madogo wengine kwa kupiga 5-0 kila mmoja..ubingwa tutautangaza mwezi wa 3 mwakani...:A S-eek:
Arsenal 0-0 CFC[kwao], CFC 6- 0 Arsenal [kwetu]
Man utd 0- 0 CFC[kwao], CFC 3- 1 Man utd[kwetu]
hawa hawatunyimi usingizi hata kidogo,,msimu ujao tunarudisha point zetu kwa Sunderland, WBA, na madogo wengine kwa kupiga 5-0 kila mmoja..ubingwa tutautangaza mwezi wa 3 mwakani...:A S-eek:
Mimi nishasema Msimu huu ni Chelsea FC kwa kikosi chetu wale Fly emirates, etihad,chevrolet,stanbic wote kilio chawafata. Msimu huu ni mwendo wa samaki yaani twala pande zote nje ndani Costa Mfungaji bora, kipa bora anajulikana naona wampe Tuzo kabisa kabla hajaanza cheza.
Mark my words