Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

matumbo yanawauma wapinzani.

cc. pierre fm, mbu, nzi, rrondo, mosdef,viol,wise,ntuzu,mentor,:clap2::clap2::clap2::clap2:

Chel$ki$ level zenu ni Arsenal na Everton..

Hivyo husinijuimishe katika ligi ya mchangani...
 
mkuu nimekupata ingawa kwa maoni yangu nilitaka torrres auzwe hata kwa hasara maana nilisikia at.madrid sasa dau likawa kubwa ambalo chelse wanataka ili lukaku apate nafasi ya kucheza


usajili haujafungwa bado..uwe na subira..timu ikitokea inatoa ofa hata kama M.5 Torres atauzwa..dirisha la usajili linafungwa Agosti 31.
 
Costa yuko sawa..pia msimu huu Mo Salah atasumbua sana huyu dogo ana mbio ana akili ya mpira..
jana nimeshangaa sana uwezo wake..nangoja kuona changamoto atakayompa Hazard msimu ujao.:cool2:


Huyu diego kama atakuwa na moto kama alioonyesha jana kwenye lig kuu atafikisha zaidi ya goli 25 ambapo chelse atakuwa na nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa
 
665x1000187-e1406749949905.jpg
 
"He[Lukaku] wanted to play for CHELSEA FC but he wanted to be clearly the first choice striker, which in a club of our dimensions it is very difficult to promise a player. The important thing is he is happy and things work out for him." - JOSE MOURINHO.
 
Biashara ya mpira inaendelea vizuri kabisa[faida,faida,faida]
Mwaka huu:
Mauzo.
1.Kelvin De Bruyne = Paundi milioni 18.
2.Demba Ba=Paundi milioni 8.
3.Romelu Lukaku=Paundi milioni 28.
4.Juan Mata=Paundi milioni 37.
5.David Luiz=Paundi milioni 50.

jumla ya mapato baada ya mauzo hayo=paundi milioni 141.


:A S-eek:
 
usajili unaendelea...

1. kijana wetu GAEL KAKUTA amepelekwa kwa mkopo LA LIGA, atacheza kwa msimu mmoja tu kwenye timu ya Rayo Vallecano.
2. pia beki wetu wa kushoto Mwingereza, Ryan Betrand, amepelekwa Southampton kwa mkopo.
3. kipa wetu Matej Delac ameongezwa miaka 2 kwenye mkataba wake na bila shaka atapelekwa kwa mkopo..maana kuna makipa watatu bora kuliko yeye..

ASUBUHI NJEMA..CHELSEA FC FOREVER BLUE.
 
Mkuu agosti 8 bado kidogo goma la EPL lianze! Na safari hii wataijua Chelsea Kua ni baba Yao!

Tumewazoea nyie ni washindi wa kabla ya Mechi na ni mabingwa kabla lig haijaisha lakini ikifika ukingoni mnaanza kuyakana Maneno yenu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nishasema Msimu huu ni Chelsea FC kwa kikosi chetu wale Fly emirates, etihad,chevrolet,stanbic wote kilio chawafata. Msimu huu ni mwendo wa samaki yaani twala pande zote nje ndani Costa Mfungaji bora, kipa bora anajulikana naona wampe Tuzo kabisa kabla hajaanza cheza.
Mark my words
 
"WE feel that the correct squad is exactly this type of squad we have. With people like Didier Drogba na John Terry, but at the same time people like Andreas Christensen and Nathan Ake." - jose mourinho.


mkuu nimekupata ingawa kwa maoni yangu nilitaka torrres auzwe hata kwa hasara maana nilisikia at.madrid sasa dau likawa kubwa ambalo chelse wanataka ili lukaku apate nafasi ya kucheza
 
Msimu uliopita ni ARSENAL na LIVERPOOL ambazo zilicheza sana pale kileleni..Arsenal alianza akashindwa kumaliza..akafia mwezi wa 2 tu.

Hata sasa ligi haijaanza ARSENAL FC ni ya kwanza kwenye 'table' na unajua timu yenu haitashika hata nafasi ya 3. Arsenal itaishia nafasi ya 4 msimu ujao.



Tumewazoea nyie ni washindi wa kabla ya Mechi na ni mabingwa kabla lig haijaisha lakini ikifika ukingoni mnaanza kuyakana Maneno yenu.
 
Program ya Chelsea Fc iko sawa, so far so good. Makipa watatu wa kiwango cha juu si mchezo.
Mabeki wawili wawili kila namba.
Viungo ndo usiseme..watu wameanza kuogopa mapema kabla ligi haijaanza..CHELSEA FC FOREVER BLUE.


mechi huchezwa kwa program kwanza c muliona wajeruman?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom