Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2012/2013


umepoteaaa..ndo ulikuwa unatafuta jibu?
Karibu Piere.Fm


hapa vipi?

article-2586721-1C7D9DEF00000578-229_964x386.jpg
 
agosti 8 ni shabiki wa ukweli, mwenye mapenzi ya dhati na unayejua each and everything kuhusiana na Club yako, huwa napita sana hapa jukwaani kwenu kusoma nondo zako, kudos sana Mkuu
We all speak one language...........SOCCER
 
Last edited by a moderator:
agosti 8 Ntuzu Mentor, inakuwaje tena, mnamtoa Tomas Kalas kwa mkopo jamani?..dogo ni beki mzuuri sana aisee, alinivutia sana kwenye Game yetu ile pale Anfield, April 27..

Na sidhani kama ni mimi peke yangu, alienivutia, coz nimeona watu wengi sana wanasikitika kwenye mitandao mbali mbali kuhusu hiyo loan move ya dogo!!!

Kiukweli, dogo ni mzuri sana aisee!!!
 
Last edited by a moderator:
agosti 8 ni shabiki wa ukweli, mwenye mapenzi ya dhati na unayejua each and everything kuhusiana na Club yako, huwa napita sana hapa jukwaani kwenu kusoma nondo zako, kudos sana Mkuu
We all speak one language...........SOCCER
Hehehehe nafurahia Nikiwasikia hawa vijana wawili agosti 8 na Ntuzu watu wangu wapinzani wangu wenyewe tunataniana mwisho wasiku tunafurahi ila wabishi Kama Firauni pia mambo yakiwaendea kushoto unajiuliza watarudi lini au watarudi na Jesus pamoja?
 
agosti 8 Ntuzu Mentor, inakuwaje tena, mnamtoa Tomas Kalas kwa mkopo jamani?..dogo ni beki mzuuri sana aisee, alinivutia sana kwenye Game yetu ile pale Anfield, April 27..

Na sidhani kama ni mimi peke yangu, alienivutia, coz nimeona watu wengi sana wanasikitika kwenye mitandao mbali mbali kuhusu hiyo loan move ya dogo!!!

Kiukweli, dogo ni mzuri sana aisee!!!

Mkuu MosDef Habari za masiku tele?

Mkuu Hilo swala la Kalas Ni zuri kwake Kwasababu anahitaji kupata nafasi za kucheza sn NA kupevuka ktk mpira NA Ni baya kwa timu hasa tunapokua NA Majeruhi ktk hizo nafasi za ulinzi Au Adhabu kwa wachezaji za kutokucheza mechi! Ni Kweli ktk game yetu NA nyie Kalas alitusaidia sn na Yuko vzr sn! Km lengo la kumtoa ili akapate kukomaa mi Nafikiri sio zuri maana km wanataka akomae Ni bora wangemuacha hapo NA kumpa nafasi za kucheza kila mara! Lkn Ni vema aende Kulikoni kubaki NA kukalia bench tuuuu!

Ngoja nitafatilia Habari Zaidi nione kwanini wameamua kufanya Hivi? Lkn ktk hili wamekosea!
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe nafurahia Nikiwasikia hawa vijana wawili agosti 8 na Ntuzu watu wangu wapinzani wangu wenyewe tunataniana mwisho wasiku tunafurahi ila wabishi Kama Firauni pia mambo yakiwaendea kushoto unajiuliza watarudi lini au watarudi na Jesus pamoja?


Teh Teh Teh Teh

Mdudu Pazi Umeanza mambo yako! Sisi sio wabishi! Bali tunasimamia ukweli NA Kwasababu timu yetu inaweza basi Ndio hivyo tena! Maana tunayosema au kusimamia yanatokea! Chelsea Ni kiboko!
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh Teh Teh

Mdudu Pazi Umeanza mambo yako! Sisi sio wabishi! Bali tunasimamia ukweli NA Kwasababu timu yetu inaweza basi Ndio hivyo tena! Maana tunayosema au kusimamia yanatokea! Chelsea Ni kiboko!
ni kweli Mie napenda mnakuwa wa kweli hata kusema Tupo chini yenu hehehe hapo ndipo napowapendea mnasimamia ukweli ila bado nawapenda njoo huku kwenye mataifa ya watu Usajili waachie ma Manager na Wenye timu sie kazi yetu kushangilia na unazi hehehe. Njoo huku tuone utachagua timu gani ukiwaacha za Africa Thred za WorldCup.
 
ni kweli Mie napenda mnakuwa wa kweli hata kusema Tupo chini yenu hehehe hapo ndipo napowapendea mnasimamia ukweli ila bado nawapenda njoo huku kwenye mataifa ya watu Usajili waachie ma Manager na Wenye timu sie kazi yetu kushangilia na unazi hehehe. Njoo huku tuone utachagua timu gani ukiwaacha za Africa Thred za WorldCup.


Huko Mkuu ntakuja tu! Ngoja Leo ngoma ianze NA Mimi nianzie NA Africa Alafu Ni hamie huko kwao km timu za africa zikitolewa!
 
Kalas to fc koln,dah poleni majirani....hapo mourinho ndipo anapochemka na mikopo yake isiyo na tija,tatizo hawezi kuvumilia vijana!angeweza kuwavumilia ramsey,gibbs,song,rvp,wilshare,ox n.k?
Sturridge anawauma eeeeh?tatizo mou hana vision
 
agosti 8 ni shabiki wa ukweli, mwenye mapenzi ya dhati na unayejua each and everything kuhusiana na Club yako, huwa napita sana hapa jukwaani kwenu kusoma nondo zako, kudos sana Mkuu
We all speak one language...........SOCCER


Mkuu Mourinho asante sana. Unajua nini? mtu kama wewe unapotambua mchango wangu mimi nasikia faraja kubwa. Kumbe kuna wadau wanatambua mchango. Asanteni sana. Mimi napenda sana mpira.

Tuko pamoja; tunapotofautiana tutofautiane kwa hoja.:A S thumbs_up:
 
Thomas Kalas ni mchezaji mzuri kaka. Sote tunatambua hilo. Lakini kwa uzoefu wangu; wanahitaji kulinda maslahi ya Waingereza kwanza. Garry Cahill na John Terry, hata sasa wanahitaji kuongeza angalau Waingereza wawili ili timu ukubalike nyumbani pia. hiyo inaitwa Diplomacy mkuu wangu Mosdef. Hata nyinyi siku hizi mnapendwa na media kwa sababu ya Waingereza wengi; tena mnazidi kuwaongeza. Hongereni kwa kumsajili Lambert.🙂
agosti 8 Ntuzu Mentor, inakuwaje tena, mnamtoa Tomas Kalas kwa mkopo jamani?..dogo ni beki mzuuri sana aisee, alinivutia sana kwenye Game yetu ile pale Anfield, April 27..

Na sidhani kama ni mimi peke yangu, alienivutia, coz nimeona watu wengi sana wanasikitika kwenye mitandao mbali mbali kuhusu hiyo loan move ya dogo!!!

Kiukweli, dogo ni mzuri sana aisee!!!
 
Thomas Kalas ni mchezaji mzuri kaka. Sote tunatambua hilo. Lakini kwa uzoefu wangu; wanahitaji kulinda maslahi ya Waingereza kwanza. Garry Cahill na John Terry, hata sasa wanahitaji kuongeza angalau Waingereza wawili ili timu ukubalike nyumbani pia. hiyo inaitwa Diplomacy mkuu wangu Mosdef. Hata nyinyi siku hizi mnapendwa na media kwa sababu ya Waingereza wengi; tena mnazidi kuwaongeza. Hongereni kwa kumsajili Lambert.🙂

JT, umri unakimbia saaana!!
 
JT, umri unakimbia saaana!!


Ni kweli Mosdef, lakini kila timu ina utamaduni wake.

LIVERPOOL FC hata kama Steve G, afungishe magoli 10 msimu mmoja vigumu sana kumwacha.
MAN UTD, huwaambii kitu kwa Ryan Giggs,
CHELSEA FC, lampard na Terry.

Terry is our legend.
 
JT, umri unakimbia saaana!!

Unajua kwa nini tunampenda JT?
Jamaa anaweza kufia uwanjani.
Hapa unakumbuka alipokosa penati, jamaa si kama wachezaji wengine.
Wengine wakifanya makosa wanachukulia poa. Jamaa analilia timu yake.



JT LEGEND.

hqdefault.jpg
 
John Terry the captain.



Unajua kwa nini tunampenda JT?
JT7.jpg






Jamaa anaweza kufia uwanjani.
Hapa unakumbuka alipokosa penati, jamaa si kama wachezaji wengine.
Wengine wakifanya makosa wanachukulia poa. Jamaa analilia timu yake.



JT LEGEND.

hqdefault.jpg
 
agosti 8 Ntuzu Mentor, inakuwaje tena, mnamtoa Tomas Kalas kwa mkopo jamani?..dogo ni beki mzuuri sana aisee, alinivutia sana kwenye Game yetu ile pale Anfield, April 27..

Na sidhani kama ni mimi peke yangu, alienivutia, coz nimeona watu wengi sana wanasikitika kwenye mitandao mbali mbali kuhusu hiyo loan move ya dogo!!!

Kiukweli, dogo ni mzuri sana aisee!!!

Chelsea huwa hawapendi wachezaji chipukizi,ndio maana kina Kakuta,Romeu,Piazon,Marin,Cortous,Lukaku,McEchran,Betrand,Piazon,Bruma wanacheza kwa mkopo karibia misimu 3 mfululizo.Sturidge,De Bruyne,Mancienne,Matic waliuzwa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom