Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kweli mkuu


Kwenye ukweli tunasema: Si kila wakati ubishi. Sisi Chelsea Fc + Man Utd + Liverpool fc wawakilishi wa England kwenye CHAMPIONS LEAGUE.

Itabidi ARSENAL FC wajitahidi pia misimu ijayo walitwae ili tuheshimiane vizuri. Mwaka 2006 walibaki kidogo walibebe..Specialist alichelewa kidogo kufanya mabadiliko, au vipi?
 
kweli lakini;

faida ni kwamba mchezaji akicheza vizuri WORLD CUP huenda ikamfanya achangamke anaporudi kwenye club.

Kombe la Dunia 2010, Torres hakufunga goli hata 1. Wakati huo Torres alikuwa mchezaji wa LIVERPOOL.
Alipokuja Chelsea akaendelea na hali hiyo hiyo...so sometimes siyo mfumo.

Kwa sababu CHELSEA FC wanacheza 4-2-3-1 inayotumiwa na timu nyingi sana kwa sasa; hata timu za taifa.🙂

Mifumo ya mourinho sio rafiki kwa foward kama torres,mandzukic,giroud n.k kwani hawa ni fowrd za ndani ya box......ambao mara nyingi wanasubiri move za kutengenezewa na viungo,sasa viungo krb wote wa chelsea wana njaa ya magoli oscar,hazard,lampard,matic,luiz n.k ni watu wa kujaribu kufunga mda wote, na mourinho akipaki basi lake hadi willian,lampard,schurre n.k wanageuka mabeki na kuwaacha hawa strkr tegemez wakiwa yatima,
chelsea inahtaj fowrd km drogba,suarez,cr7,sturridge n.k hawa wanafunga kila upande kushoto,kulia,juu hata mbali...
 
Mifumo ya mourinho sio rafiki kwa foward kama torres,mandzukic,giroud n.k kwani hawa ni fowrd za ndani ya box......ambao mara nyingi wanasubiri move za kutengenezewa na viungo,sasa viungo krb wote wa chelsea wana njaa ya magoli oscar,hazard,lampard,matic,luiz n.k ni watu wa kujaribu kufunga mda wote, na mourinho akipaki basi lake hadi willian,lampard,schurre n.k wanageuka mabeki na kuwaacha hawa strkr tegemez wakiwa yatima,
chelsea inahtaj fowrd km drogba,suarez,cr7,sturridge n.k hawa wanafunga kila upande kushoto,kulia,juu hata mbali...

kwa mtaji huu torres hawezi kufunga magoli mengi chelsea labda mbadilishe viungo na aina ya uchezaji,jiulize kwanini mata aliuzwa?
chelsea hakuna mtu anayepewa jukumu kama la mesut,xavi,iniesta,yaya, au pirlo yani anakuwa anatengeneza nafasi za kufunga
 
Mifumo ya mourinho sio rafiki kwa foward kama torres,mandzukic,giroud n.k kwani hawa ni fowrd za ndani ya box......ambao mara nyingi wanasubiri move za kutengenezewa na viungo,sasa viungo krb wote wa chelsea wana njaa ya magoli oscar,hazard,lampard,matic,luiz n.k ni watu wa kujaribu kufunga mda wote, na mourinho akipaki basi lake hadi willian,lampard,schurre n.k wanageuka mabeki na kuwaacha hawa strkr tegemez wakiwa yatima,
chelsea inahtaj fowrd km drogba,suarez,cr7,sturridge n.k hawa wanafunga kila upande kushoto,kulia,juu hata mbali...


kweli kabisa;

this is our tradition. Ndo maana hata mechi zote zile Drogba aliwa anakaba. Hii ni timu inayopenda kushinda. Si kucheza cheza tu.

Mfano; Ozil[wa ARSENAL FC] ni mchezaji mzuri sana; lakini yeye si mshindi. Yeye anafurahia kucheza mpira tu, si lazima timu iwe bingwa.

JOHN TERRY anafanya mazoezi wakati huu wengine wako likizo, kwake ushindi ni muhimu sana kuliko perfomance.

Tunaanza enzi mpya, baada ya 'respect members' kuondoka sasa ni enzi mpya: We' ll miss them.

Drogba, Lampard, Ashley Cole, David Luiz. Hawa ndo walipata penati zao na kutuletea UBINGWA WA ULAYA, 2012.

Kijana wetu MATA tumewauzia MAN UTD awakwamue kutoka nafasi ya 7 jamani.
 
kwa mtaji huu torres hawezi kufunga magoli mengi chelsea labda mbadilishe viungo na aina ya uchezaji,jiulize kwanini mata aliuzwa?
chelsea hakuna mtu anayepewa jukumu kama la mesut,xavi,iniesta,yaya, au pirlo yani anakuwa anatengeneza nafasi za kufunga

Pirlo ni jukumu tofauti sana; yeye anacheza deep sana. jambo ambalo si tatizo letu kwa sasa.
Xavi na Iniesta wanacheza kwenye formation ya 4-3-3. Ambayo sisi CHELSEA FC tuliitumia sana 2004-2006. Enzi hizo kuna watatu wa mbele: Damien Duff-Drogba-Robben/Joe Cole.

Mesut Ozil; ni inside winger...but we have the three offensive midfielders: Willian-Oscar-hazard.

Msimu ujao kitaeleweka tu jirani..tena kule mbele tunatupia DIEGO..aiseee!
 
kwenye ukweli tunasema: Si kila wakati ubishi. Sisi chelsea fc + man utd + liverpool fc wawakilishi wa england kwenye champions league.

Itabidi arsenal fc wajitahidi pia misimu ijayo walitwae ili tuheshimiane vizuri. Mwaka 2006 walibaki kidogo walibebe..specialist alichelewa kidogo kufanya mabadiliko, au vipi?

hatuwezi kubishana na ukweli,tugange yajayo
 
[h=2]ARJEN ROBBEN[/h]
0,,10268%7E5516756,00.jpg


Arjen Robben joined Chelsea in the summer of 2004 from PSV Eindhoven for £12 million.
His start was hampered by a metatarsal injury suffered in pre-season but after making his debut in October 2004, he played a major part in the club's first successful championship challenge for 50 years, playing wide of a front three in an effective wing partnership with Damien Duff, even though further injury kept him out of action in the latter part of the campaign.

He scored seven goals in 14+4 league games and was named Premiership Player for November 2004, but was pipped to the PFA Young Player of the Year award by Manchester United's Wayne Rooney.

Robben collected his second Premiership winners' medal for the 2005/06 season, contributing six goals in the league campaign although two red cards and more injury reduced him to 21+7 appearances.
In his third and final season with the club he made a major impact as a half-time substitute in both our cup final victories, crossing for Didier Drogba's winner against Arsenal in the Carling Cup Final and making a contribution at Wembley against Manchester United despite playing well short of peak condition.
Speculation linking him with a move to Spain with Real Madrid was persistent, and eventually the club agreed to let him leave, acquiring a reported £24.4 million, double what we had paid. In total he started 74 games for Chelsea with a further 32 sub appearances, scoring 19 goals.
Robben joined Bayern Munich in 2009, and was a major player for the Germans as they reached the 2010 Champions League Final. He also featured for Holland on the way to the World Cup Final in South Africa.
 
kwenye ukweli tunasema: Si kila wakati ubishi. Sisi chelsea fc + man utd + liverpool fc wawakilishi wa england kwenye champions league.

Itabidi arsenal fc wajitahidi pia misimu ijayo walitwae ili tuheshimiane vizuri. Mwaka 2006 walibaki kidogo walibebe..specialist alichelewa kidogo kufanya mabadiliko, au vipi?

hatuwezi kubishana na ukweli,tugange yajayo!kwani bahati nayo inahusika,kama ukiangalia kwa makini final ya 2006 barca walikuwa na bahati na arsenal haikuwa nayo,so 1day yes!
 
The arrival of Dutch winger Arjen Robben and new manager José Mourinho posed a threat to Duff's place in the starting line-up for the 2004–05 season, but an injury to Robben at the start of the season saw Duff as the only available winger. Mourinho, however, did not play Duff in the early part of the 2004–05 season, preferring a more narrow approach. Duff eventually got into the side after four games and, when Robben returned to the side, Duff's versatility saw him move to the right wing and form a wing partnership with Robben. The season proved to be successful for both Duff and Chelsea. He scored ten goals, including a crucial strike in a 4–2 win against Barcelona in the Champions League,[SUP][13][/SUP] while the team won the Premiership title by 12 points from second placed Arsenal, and the League Cup, in which Duff scored the winning goal in the semi-final against Manchester United.[SUP][14][/SUP][SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP]
 
DAMIEN DUFF enzi hizo tunacheza 4-3-3.

msimu ujao CHELSEA FC itakuwa moto, acha tupate mtu wa kupasia nyavu.🙂
The arrival of Dutch winger Arjen Robben and new manager José Mourinho posed a threat to Duff's place in the starting line-up for the 2004–05 season, but an injury to Robben at the start of the season saw Duff as the only available winger. Mourinho, however, did not play Duff in the early part of the 2004–05 season, preferring a more narrow approach. Duff eventually got into the side after four games and, when Robben returned to the side, Duff's versatility saw him move to the right wing and form a wing partnership with Robben. The season proved to be successful for both Duff and Chelsea. He scored ten goals, including a crucial strike in a 4–2 win against Barcelona in the Champions League,[SUP][13][/SUP] while the team won the Premiership title by 12 points from second placed Arsenal, and the League Cup, in which Duff scored the winning goal in the semi-final against Manchester United.[SUP][14][/SUP][SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP]
 
Dah!ile comb ya duff,robben na drogba ilikuwa kiboko,yan pasi mbili nyavu washenzi walikuwa wanateleza dah
 
Dah!ile comb ya duff,robben na drogba ilikuwa kiboko,yan pasi mbili nyavu washenzi walikuwa wanateleza dah

kumekucha;

ile kombinesheni ilikuwa balaa sana. wakati mwingine shida si mfumo; ila wachezaji wa kucheza huo mfumo. CHELSEA FC haijabadilka sana kimfumo; isipokuwa wachezaji bado wanapitia mabadiliko katika akili zao; watakapotambua vizuri utamaduni wetu; uleeee...ONE CHANCE ONE GOAL. tutakuwa moto wa kuotea mbali..aisee.
 
[h=2]GUSTAVO POYET[/h]
0,,10268%7E9030071,00.jpg



Gustavo Poyet arrived in a Chelsea side whose fortunes were changing in 1997, the Blues fresh from our first trophy win for 26 years, and the Uruguayan midfielder with his goals, his exuberant celebrations and infectious enthusiasm was an important part of four memorable years that followed.
An instant hit with the fans, his season looked to be over just two months in due to a cruel cruciate injury, but recovery was rapid enough to score a tie-changing goal in a Cup Winners' Cup semi-final and play in the triumphant final in Stuttgart.
Important goals became a Poyet trademark. He netted a Uefa Super Cup winner and the goal that qualified Chelsea for our first Champions League campaign, plus both goals in an FA Cup semi-final.
 
[h=2]ROBERTO DI MATTEO[/h]
0,,10268%7E8591680,00.jpg

Roberto Di Matteo was signed from Lazio in the summer of 1996 for a club record fee at the time of £4.9m as Chelsea looked to make the break through and challenge for honours. At the time Robbie was a current Italian international and at the age of 26, approaching the peak of his powers.
Di Matteo made a great start to his Chelsea career, scoring the winner against Middlesbrough in his home debut but it was the manner of his celebration that was best remembered as he coolly lay down on the pitch next to his team mates and posed for the cameras.
In his first season at the club Robbie scored nine goals, mostly from long-range shots. The most significant came after just 43 seconds of the 1997 FA Cup Final, a record at the old Wembley. A year later he scored in the League Cup Final victory, and in 2000 completed a hat-trick by scoring the only goal of the FA Cup Final. In doing so, he became only the second Chelsea player to score in three different cup finals.
Robbie was also central to our success in the European Cup Winners' Cup and our run to the Champions League quarter-finals, but sadly he suffered a triple leg fracture in a Uefa Cup tie in September 2000. After 18 months of battling the injury, he was forced to retire at the age of just 31.
He returned to the club in 2011, initially as assistant coach to Andre Villas-Boas but then as interim manager in March 2012 when the Portuguese was dismissed. Robbie further enhanced his legend status by soon winning the FA Cup final against Liverpool, and then most spectacularly of all by securing our first Champions League title by defeating Bayern Munich in their own home. His time in charge of Chelsea came to an end in November 2012.
 
ROBERTO DI MATTEO


0,,10268%7E8591680,00.jpg

Roberto Di Matteo was signed from Lazio in the summer of 1996 for a club record fee at the time of £4.9m as Chelsea looked to make the break through and challenge for honours. At the time Robbie was a current Italian international and at the age of 26, approaching the peak of his powers.
Di Matteo made a great start to his Chelsea career, scoring the winner against Middlesbrough in his home debut but it was the manner of his celebration that was best remembered as he coolly lay down on the pitch next to his team mates and posed for the cameras.
In his first season at the club Robbie scored nine goals, mostly from long-range shots. The most significant came after just 43 seconds of the 1997 FA Cup Final, a record at the old Wembley. A year later he scored in the League Cup Final victory, and in 2000 completed a hat-trick by scoring the only goal of the FA Cup Final. In doing so, he became only the second Chelsea player to score in three different cup finals.
Robbie was also central to our success in the European Cup Winners' Cup and our run to the Champions League quarter-finals, but sadly he suffered a triple leg fracture in a Uefa Cup tie in September 2000. After 18 months of battling the injury, he was forced to retire at the age of just 31.
He returned to the club in 2011, initially as assistant coach to Andre Villas-Boas but then as interim manager in March 2012 when the Portuguese was dismissed. Robbie further enhanced his legend status by soon winning the FA Cup final against Liverpool, and then most spectacularly of all by securing our first Champions League title by defeating Bayern Munich in their own home. His time in charge of Chelsea came to an end in November 2012.


di matteo 16;

viungo wetu wa miaka ya 90. Di Matteo na Gustavo Poyet, bila kumsahau kapteni DENNIS WISE.
 
[h=2]European Trophies[/h]
0,,10268%7E11939989,00.gif
[h=3]2013[/h] Europa League

0,,10268%7E10871658,00.gif
[h=3]2012[/h] UEFA Champions League

0,,10268%7E3701966,00.jpg
[h=3]1998[/h] Cup Winners Cup

0,,10268%7E3701966,00.jpg
[h=3]1971[/h] Cup Winners Cup

0,,10268%7E3701972,00.jpg
[h=3]1998[/h] UEFA Super Cup
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom