Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

nawasiwasi na uelewa wako!" ndio mana puvu huwa linakutoka hata kwa mambo yasiyokuhusu ....... alipokuuliza kuhusu "we" amekushangaa unatumia wingi wakati upo mwenyewe, "we"?! ww na nani?!

Wewe una uelewo mkubwa zaidi yangu; haina haja ya kuwa na wasi wasi kwa jambo lililo wazi kama hilo!
 
well said kidume!:A S thumbs_up:

Mtaungana sana lkn tunarudi pale pale maneno sijui kilaza;mara povu;au kutaka sifa ni maneno yanayotumika na jamii iliyoshindwa kuchukua path ya ustaarab!

Muungwana anafikisha ujumbe wake bila kukera mwenzake!
 
Mtaungana sana lkn tunarudi pale pale maneno sijui kilaza;mara povu;au kutaka sifa ni maneno yanayotumika na jamii iliyoshindwa kuchukua path ya ustaarab!

Muungwana anafikisha ujumbe wake bila kukera mwenzake!


you be the judge!

bet let's talk football. je, una lolote la kuzungumza kuhusu CHELSEA FC kumsajili DIEGO COSTA?:focus:
 
RANGI GANI HII?


Arsenal fans have given a mixed reaction to the latest leaked kit image, this time for the new 2014/15 third shirt made by Puma.

The design features a light blue base colour and navy blue diagonal stripes running across the front.
It is completed with a polo neck collar and light green cuffs.

article-0-1E79CF5C00000578-435_634x608.jpg

+7

Blues is the colour: Leaked image of Arsenal's third shirt has divided opinion

White Puma logo’s are placed on the side of both sleeves and the right collarbone, the Arsenal badge is placed on the left collarbone.


hiyo ya away mkuu na ndio maana huwa inabadilika kila msimu kwa mfano msimu uliopita ilikuwa yellow but kwa nyumban main color itaendelea kuwa red and white kama ilivyo kwa other timu kwa jezi ya nyumban huwa haibadiriki.
 
you be the judge!

bet let's talk football. je, una lolote la kuzungumza kuhusu CHELSEA FC kumsajili DIEGO COSTA?:focus:

Diego Costa atawasaidia mno Chelsea 2014/5 lkn sio kuwa mabingwa maana tatizo la mfumo bado lipo pale pale!

Then team kama Liverpool imeanza kuwavutia wachezaji wazuri kwa sababu ya champion League!Mchezaji kama Moreno;Can na Lallana wakija basi chance ya Chelsea kuchukua ubingwa itazidi ku dwindle!
 
Diego Costa atawasaidia mno Chelsea 2014/5 lkn sio kuwa mabingwa maana tatizo la mfumo bado lipo pale pale!

Then team kama Liverpool imeanza kuwavutia wachezaji wazuri kwa sababu ya champion League!Mchezaji kama Moreno;Can na Lallana wakija basi chance ya Chelsea kuchukua ubingwa itazidi ku dwindle!


Asante kwa kujitambulisha.

Umesahau sisi tulikufunga 2-1 alaf 2-0 msimu uliopita?

wewe ongea tu. Kama sisi hatuwi mabingwa; wewe pia hutakuwa bingwa.
 
hiyo ya away mkuu na ndio maana huwa inabadilika kila msimu kwa mfano msimu uliopita ilikuwa yellow but kwa nyumban main color itaendelea kuwa red and white kama ilivyo kwa other timu kwa jezi ya nyumban huwa haibadiriki.


mara ya mwisho kuwa na jezi ya blue ilikuwa lini?

Hata kama ni ya away;
 
Asante kwa kujitambulisha.

Umesahau sisi tulikufunga 2-1 alaf 2-0 msimu uliopita?

wewe ongea tu. Kama sisi hatuwi mabingwa; wewe pia hutakuwa bingwa.


Msimu uliopita walikua na nafasi ya kua mabigwa! Lkn The Blues walipofika kwao waliwagonga goli mbili za adabu na ubingwa ukayeyuka!

Walikuwepo mashabiki Hatari km kina nguvu Gwamahala MosDef Baba Kelvin na Mr. Wise walikua wapole sembuse Huyu mnyakusya Malafyale atakua mpole tu!
 
Last edited by a moderator:
Msimu uliopita walikua na nafasi ya kua mabigwa! Lkn The Blues walipofika kwao waliwagonga goli mbili za adabu na ubingwa ukayeyuka!

Walikuwepo mashabiki Hatari km kina nguvu Gwamahala MosDef Baba Kelvin na Mr. Wise walikua wapole sembuse Huyu mnyakusya Malafyale atakua mpole tu!


Anafikiri huu ni mpira wa visoda?
Unavichezesha mwenyewe na bingwa unapanga mwenyewe..ha haa ha ah.
 
Anafikiri huu ni mpira wa visoda?
Unavichezesha mwenyewe na bingwa unapanga mwenyewe..ha haa ha ah.


are you talking about urself or Ntuzu?? maanake nyie ndio mlijitangaza mabingwa ila mwisho wa siku tukapata bingwa man city.
 
Last edited by a moderator:
are you talking about urself or Ntuzu?? maanake nyie ndio mlijitangaza mabingwa ila mwisho wa siku tukapata bingwa man city.



Mzee Wa namba 7 Upo? Nilikugonga ngapi wewe?

Teh Teh Teh
 
Last edited by a moderator:
are you talking about urself or Ntuzu?? maanake nyie ndio mlijitangaza mabingwa ila mwisho wa siku tukapata bingwa man city.


Ni kweli tulijitangaza; lakini hata nyinyi mlisema ikifika DESEMBA kabla ya Krismasi mngekuwa mmerudi kileleni #1 au siyo?

Kutaka kuwa bingwa ni tamaa ya kawaida ya kila timu yenye uongozi makini na wachezaji wanaojitambua!
Lakini katika ushindani ni kawaida kuzidiana kete.


sisi #3 tumezidiwa pointi 4 tu. Si mbali sana na bingwa; vipi wewe mtani RRONDO at #7?
 
Heeeeyyy...nilikuwa nawaza sana kwamba inakuaje Costa aende Chelsea ilhali nyota yake ndio kwanza imeanza kung'aa pale Atletico...??? Ninakumbuka kwamba huyu mtu ni kigeugeu sana!! Mtu ambaye hana misimamo, na ni hatari sana kwa club lazima wamwangalie kwa jicho la pekee sana!! Anaweza kuiangamiza Chelsea at anytime t...

Je agosti 8 na Ntuzu mnalitambua hilo? Ngoja nianzie hapo...twnde kazi,manake nitamchambua sana huyu mjusi mnayejifia eti mmelamba DUME!!
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa kujitambulisha.

Umesahau sisi tulikufunga 2-1 alaf 2-0 msimu uliopita?

wewe ongea tu. Kama sisi hatuwi mabingwa; wewe pia hutakuwa bingwa.

Kutoka kwa Man City na Liverpool team yako ya Chelsea ilichukua the maximu points lkn walifika wapi?

Tatizo la Chelsea ni mfumo sio mchezaji!Leo Demba Ba anafunga bao 2 kesho hata reserve hatajwi!

Unamfunga Liverpool home and away anakuchapa Sunderland kwako mechi ya lala salama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom