Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Huyu jamaa Ntuzu kakikmbia live...halafu kesho atakataa kwamba hajatoka nduki. Sio kawaida yake kukaa kimya hivi hata awe ba dharura gani.
Mkuu huyu jamaa hupenda kuwambia wenzanke wamejificha Darini nadhan naye kaelekea huko sasa itabidi sisi tumpandishe Paka akamkurupue pamoja na panya wengine.
Last edited by a moderator: