Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashabiki bwana...yaani mnataka kushinda kila mechi ili timu nyingine wao wasishinde? Kuweni na shukrani, ushabiki ni kufurahia kila nyakati. Ungekuwa London sijui kama ungeeda ata uwanjani; wenzako wapo hadi nyakati timu inafungwa magoli 5.

Wachezaji siyo roboti kuna wakati wanakuwa na uchovu na pia kukosa bahati...Sasa mashabiki wa Man Utd au Tottenham watasemaje.
Ukishaingiza bahati kwenye mpira tayari umefeli, yani mwenzio ajiandae vizuri na long marathon we ukae tu kusubiri bahati sio!!!?, Na huo uchovu unawapata wachezaji wa Chelsea tu kila mechi?.

Tangu tuanze kuboronga ni kuboronga tu si ligi kuu si Fa wala Carabao huoni kama kuna shida Mahali?. Wakifanya vizuri tutawasifia na wakiboronga pia tutasema tu ndo kazi yetu sisi mashabiki au unadhani hao mashabiki wa Man U wao hawaisemi timu yao sio!!? Bro kwa sasa hatueleweki yani pumzi hatuna ya kuhimili dakika 90 mara nyingi kipindi cha pili tunaboroga sana.
 
Mashabiki bwana...yaani mnataka kushinda kila mechi ili timu nyingine wao wasishinde? Kuweni na shukrani, ushabiki ni kufurahia kila nyakati. Ungekuwa London sijui kama ungeeda ata uwanjani; wenzako wapo hadi nyakati timu inafungwa magoli 5.

Wachezaji siyo roboti kuna wakati wanakuwa na uchovu na pia kukosa bahati...Sasa mashabiki wa Man Utd au Tottenham watasemaje.
Kwani Chelsea imekuwa SOTON? Chelsea ni timu kubwa inatakiwa kushind mechi za kutosha kuiweka juu ya ligi au top 4. Habari ndio hiyo
 
Enzo Maresca: "Hili ndilo lengo letu. Katika miaka mitano au 10 ijayo klabu hii inaweza kushindana, bila shaka.

Kuna vilabu vimekaa pamoja kwa miaka mitatu, minne, mitano lakini bado vinatatizika. Kwa nini Chelsea, baada ya miezi sita, iwe inashinda Ligi Kuu, kumaliza nne bora au kushindana kwenye ligi nne? Kwa nini?"
 
Enzo Maresca: "Hili ndilo lengo letu. Katika miaka mitano au 10 ijayo klabu hii inaweza kushindana, bila shaka.

Kuna vilabu vimekaa pamoja kwa miaka mitatu, minne, mitano lakini bado vinatatizika. Kwa nini Chelsea, baada ya miezi sita, iwe inashinda Ligi Kuu, kumaliza nne bora au kushindana kwenye ligi nne? Kwa nini?"
Hili lishakuwa tatizo tyr hakuna matumaini yoyote hapa
 
Man City wanaendelea kumnyanyasa Premium League mahakamani
Mahakama imesema sheria zake za udhamini zilizotekelezwa kati ya 2021 na 2024 kutangazwa kuwa batili.
1739556149195.png
 
Brighton VS Chelsea
Formation: 4-2-3-1
wastani wa umri ni miaka 21 - kikosi kichanga kuwahi kutokea
Lineup

-----------------Nkunku-----------------

Neto----------Palmer-----------Madueke

-------Enzo ----------------Caicedo------

Cucurella --Colwill--Chalobah--Gusto

---------------Jorgesen -------------
Bench
1) Sanchez
2) Tosin
3) Anselmino
4) James
5) Dewsburry-Hall
6) Josh Acheampong
7) Amougou
8) Tyrique George
9) Sancho
 
Brighton VS Chelsea
Formation: 4-2-3-1
wastani wa umri ni miaka 21 - kikosi kichanga kuwahi kutokea
Lineup

-----------------Nkunku-----------------

Neto----------Palmer-----------Madueke

-------Enzo ----------------Caicedo------

Cucurella --Colwill--Chalobah--Gusto

---------------Jorgesen -------------
Bench
1) Sanchez
2) Tosin
3) Anselmino
4) James
5) Dewsburry-Hall
6) Josh Acheampong
7) Amougou
8) Tyrique George
9) Sancho
Forward wetu wa maana hayupo ata benchi nkuku sio Forward huyo
 
Brighton VS Chelsea
Formation: 4-2-3-1
wastani wa umri ni miaka 21 - kikosi kichanga kuwahi kutokea
Lineup

-----------------Nkunku-----------------

Neto----------Palmer-----------Madueke

-------Enzo ----------------Caicedo------

Cucurella --Colwill--Chalobah--Gusto

---------------Jorgesen -------------
Bench
1) Sanchez
2) Tosin
3) Anselmino
4) James
5) Dewsburry-Hall
6) Josh Acheampong
7) Amougou
8) Tyrique George
9) Sancho
Dogo kwshapiga mbili kabla hata ya kufika room

Leo ntaongea kabinyau bao zote aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom