Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Moisés Caicedo amekamilisha pasi nyingi kwenda kwenye eneo la wapinzani kuliko mchezaji mwingine yeyote kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu (157).

Upigaji pasi wake unaonyesha maendeleo bora. Kiungo kamili kama huyo anaweza kupasi,, kukabiliana na adui, kushinda kuwania mipira ya juu na chini.

Hakuna mtu anayezungumzia bei yake sasa kwa sababu anastahili kila senti. Na pia mchanga bado.

Huwezi tumia pesa nyingi kwa wachezaji anayetumia muda mwingi hospitalini kuliko uwanjani.
1738855115307.png
 
Cole Palmer, Trevoh Chalobah na mchezaji mpya aliyesajiliwa Mathis Amougou wameongezwa kwenye kikosi cha Chelsea cha Ligi ya Europa Conference A squad.

Walioondolewa kwenye 'A squad': Disasi, Veiga, Casadei, Chukwuemeka na Felix

Walioondolewa kwenye 'kikosi B': Merrick na Vale

Romeo Lavia na Wesley Fofana wameondolewa tena kutokana na majeraha

UECL Team

1738959062599.png


Walioondolewa
1738959074420.png
 
Brighton VS Chelsea
Formation: 4-2-3-1
Lineup

-----------------Nkunku-----------------

Sancho----------Palmer-----------Neto

-------KDH ----------------Caicedo------

Cucurella --Chalobah--Tosin--Gusto

---------------Sanchez -------------
Bench
1) Jorgensen
2) Colwill
3) Anselmino
4) Samuels-Smith
5) Josh Acheampong
6) Amougou
7) Tyrique George
8) Enzo
9) Madueke
 
Narudia tena tafuteni kiungo wa kueleweka. Caicedo ni garasa mtafungwa sana mpaka siku mtakapo kubali. Tafuteni kiungo wa kueleweka caicedo hamna kitu
 
Moisés Caicedo amekamilisha pasi nyingi kwenda kwenye eneo la wapinzani kuliko mchezaji mwingine yeyote kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu (157).

Upigaji pasi wake unaonyesha maendeleo bora. Kiungo kamili kama huyo anaweza kupasi,, kukabiliana na adui, kushinda kuwania mipira ya juu na chini.

Hakuna mtu anayezungumzia bei yake sasa kwa sababu anastahili kila senti. Na pia mchanga bado.

Huwezi tumia pesa nyingi kwa wachezaji anayetumia muda mwingi hospitalini kuliko uwanjani.
View attachment 3227019
Acheni kudanganyana hakuna kiungo humo
 
Mchezo wa jana ulihusu zaidi game plan na sio mchezaji mmoja mmoja. Ikiwa gamepaln jana ni kupress na wachezaji kukim,bia ili kutengeneza nafasi badala ya kusimama kama milingoti, Chelsea wangeweza kushinda kwa uraisi lakini wote hawakufanya hivyo kama vile kocha aliwapa maelekezo tofauti. Hakukuwa na kukimbia wala kushinikiza ila walisub iri Brighton wapange na kutekeleza mpango wao wa mchezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom