Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,422
- 27,309
Leo nipo na nyie wanetu😂Hii ndo Chelsea yetu, tumeipenda wenyewe 😂
Leo nipo na nyie wanetu😂Hii ndo Chelsea yetu, tumeipenda wenyewe 😂
Tunashinda h mechi, matumaini ameshafufuka 😂Leo nipo na nyie wanetu😂
Kuna mmoja either Nkunku au kocha ndio kichwa ngumu mfano leo Nkunku kaingia lakini wakati wa kushambulia nashangaa Cucurella yupo ndani ya box alafu Nkunku yupo nje ya box kama wing back sasa najiuliza ni mfumo wa kocha au ni mchezaji anakosa skills za kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihiNkunku kocha ndie ametuaminisha kuwa Nkunku haendani jna mfumo wake na wewe ukawa miongoni mwa waliomuamini. Preseason Nkunku ndiye alikuwa miongoni mwa waliofanya vizuri kwa taarifa yako
Hata Palmer alikuwa saa nyingien anakabia kwenye wing ya kushoto kwa Cucurella. Mfumo unahitaji wachezaji kuwa dynamic. Ni wachezaji wachache ndio hawahami maeneo yao na wengi wao wakiwa mabekiKuna mmoja either Nkunku au kocha ndio kichwa ngumu mfano leo Nkunku kaingia lakini wakati wa kushambulia nashangaa Cucurella yupo ndani ya box alafu Nkunku yupo nje ya box kama wing back sasa najiuliza ni mfumo wa kocha au ni mchezaji anakosa skills za kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi
Cucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.Kuna mmoja either Nkunku au kocha ndio kichwa ngumu mfano leo Nkunku kaingia lakini wakati wa kushambulia nashangaa Cucurella yupo ndani ya box alafu Nkunku yupo nje ya box kama wing back sasa najiuliza ni mfumo wa kocha au ni mchezaji anakosa skills za kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi
Beki namba tatu wa man city mara nyingi uwa utamuona kwenye eneo la kushambulia hiyo itakuwa ni mbinu mpya ya mpira wa kisasa kufanya namba tatu kuja kushambulia na kurudi kulinda eneo lakeCucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.
Alipokuwa amehama wengine walicover nimemuana hata Palmer alidefend vizuri kwenye wngback ya kushoto. Mfumo wa Maresca ndivyo unavyomhitaji mchezaji kuwa dynamicCucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.
Chelsea wanakaribia kumsajili Dario Essugo kwa mil 25 na ana miaka 19 tu na uchezaji wake ni copy and paste ya Moises Caicedo. Romeo Lavia naoan anatafutiwa kitands kuzuri cha kuuguza majeruhi yake
Huyu akisajiliwa itamake sense
View attachment 3223709
kama Brighton, mchezaji akipanda bei anapigwa mnada na kwa hiyo Chel;sea itaendela kuwa na vitoto vinavyokuzwa kila wakatiBiashara inakwenda vizuri. Faida inaonekana. Hao walioenda kwa mkopo dirisha lijalo la usajili tutawauza permanent.
Next:- Madueke, Neto, Sancho, Sanchez, Fofona, James, KDH, Nkunku, Tosin, Badiashile
Tutanunua makinda 28 wa kureplace hao.
Unajiskia raha kuja kutukana huku eh!Kenge kabisa
🤣🤣🤣We jamaa kwenye disco la reggae unacheza Sebene.
🤣🤣🤣Tuendelee kushinda mechi ili tufanye vizuri kwenye mauzo ya wachezaji wetu dirisha kubwa.
🤣🤣Biashara inakwenda vizuri. Faida inaonekana. Hao walioenda kwa mkopo dirisha lijalo la usajili tutawauza permanent.
Next:- Madueke, Neto, Sancho, Sanchez, Fofona, James, KDH, Nkunku, Tosin, Badiashile
Tutanunua makinda 28 wa kureplace hao.