Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu kama mlishindwa kuwafunga aston vila mtawaweza liverpool kweli?

sisi huwa tunafungwa na timu ambazo hazitaki ubingwa;
1. tulifungwa na Everton FC
2. tulifungwa na Stoke City.
3. tulifungwa na Aston Villa.
4. Newcastle United.

Lakini cheki rekodi zetu hapa dhidi ya wapinzani wa ubingwa:
1.dhidi ya MANCHESTER UNITED mechi ya kwanza: 0-0, mechi ya pili tumeshinda 3-1.
2. dhidi ya MANCHESTER CITY mechi ya kwanza 2-1, mechi ya pili pia tumeshinda.
3. dhidi ya ARSENAL mechi ya kwanza 0-0, mechi ya pili 6-0.
4. dhidi ya LIVERPOOL mechi ya kwanza tumeshinda 2-1, mechi ya pili tunasubiri kumchapa tena.:eyebrows:
 
Kwa ratiba hii MANCITY hawezi kuwa bingwa aiseee.

kwanza hadi akutane na LIverpool atakuwa ameshapoteza pointi kadhaa..:nod:
RATIBA YA MAN CITY ILIYOBAKI NI KM IFUATAVYO:

Tarehe 25/3 Man Utd vs Man City

29/3 Arsenal vs Man City

5/4 Man City bs southampton

13/4 Liverpool vs Man City

16/4 Man City vs Sunderland

21/4 Man City vs West Bromwich Albion

27/4 Crystal Palace vs Man City

3/5 Everton vs Man City

7/5 Man City vs Aston Villa

11/5 Man City vs WestHam Utd
 
Mimi kabla sijaanza shughuli zangu naomba niwasalimie hawa vijana.................Shikamoo Etoo Fils,shikamoo sana Oscar,Shikamoo Shurrle tuna matatizo ya muungano huku kwenye koloni lenu la Tanganyika mbona mmetuachia msala kwa waingereza mpaka sasa JK anatoa mipasho tu,shikamoo Hazard punguza chenga wenzako wanalalamika nyonga..........Shikamoo Mourinho msamehe mzee mwenzako Wenger uwe unampa hata mkono baada ya game.............Nawasilisha kama Mwenyekiti wa tume ya Katiba mheshimiwa sana 6
 
1499538_720667741325477_1739529795_n.jpg



1912144_720518134673771_1641838108_n.jpg

Ref: "Gibbs, you're off!"
Ox: "But ref, it was me!"
Ref: "Shut up Walcott, get on with the game"
 
Kwa RATIBA jinsi ilivyo Chelsea ni bingwa!

Kwa upande Wa Arsenal wao kurudi ktk nafasi ya kwanza ni shida!

Lkn ukimuangalia City Na Liverpool Hawa wanatupa changamoto Lkn RATIBA Yao bado ni ngumu!

Chelsea ni bingwa tu!



Ni kweli kwamba tuna mechi rahisi kwenye karatasi ukilinganisha ni timu nyingine zinazowania ubingwa, lakini ukiangalia rekodi yetu msimu huu kwa hizo timu ndogo sio nzuri sana. Mechi zote tulizofungwa msimu huu tumefungwa na timu za kati au chini ukiondoa Everton. Nafikiri tunahitaji kuingia kwenye mechi zote zilizobaki tukiwa na mentality ya kuwania ushindi kama tunapocheza na timu kubwa. Sio kuingia kwenye mechi tukifikiri tumeshashinda hata kabla mpira haujachezwa. We need to play all matches like finals, then we can talk about the title.
 
Kwa ratiba hii MANCITY hawezi kuwa bingwa aiseee.

kwanza hadi akutane na LIverpool atakuwa ameshapoteza pointi kadhaa..:nod:


Kiongozi agosti 8 ndio Maana Mimi nimeamua kutangaza ubingwa mapema Na kuanza kushangilia ubingwa!

Nimetoa RATIBA yetu ILIYOBAKI na ya Liverpool na Man City,! Bila Shaka ukweli umeonekana!

We are the champion!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kwamba tuna mechi rahisi kwenye karatasi ukilinganisha ni timu nyingine zinazowania ubingwa, lakini ukiangalia rekodi yetu msimu huu kwa hizo timu ndogo sio nzuri sana. Mechi zote tulizofungwa msimu huu tumefungwa na timu za kati au chini ukiondoa Everton. Nafikiri tunahitaji kuingia kwenye mechi zote zilizobaki tukiwa na mentality ya kuwania ushindi kama tunapocheza na timu kubwa. Sio kuingia kwenye mechi tukifikiri tumeshashinda hata kabla mpira haujachezwa. We need to play all matches like finals, then we can talk about the title.


Mkuu ni kweli unavyosema lkn km umefatilia habari kutoka Kwa Jose Mourinho ni kwamba kuna vitu vingi anavifanyia kz ktk timu yake likiwemo Swala la kupata magoli kipindi cha pili! Mourinho anataka timu yake ipate magoli kipindi cha kwanza tena mengi. Na juzi timu imetekereza Hilo jukumu! Na pia ktk hizi timu ndogo anataka kucheza Kwa nguvu zote na kuzifunga! Maana Aston villa ilitufanya vibaya sn! Kwahiyo kocha wetu kaliona Hilo na ameshalipigia kelele!
 
Kiongozi agosti 8 ndio Maana Mimi nimeamua kutangaza ubingwa mapema Na kuanza kushangilia ubingwa!

Nimetoa RATIBA yetu ILIYOBAKI na ya Liverpool na Man City,! Bila Shaka ukweli umeonekana!

We are the champion!


wewe nilishakuruhusu kushangilia unakumbuka?
endelea kushangilia ubingwa maana unakuja. ubingwa wa ligi ni lazima; hata ubingwa wa ulaya utakuja tu; JM mtu wa kusema na kutenda;:eyebrows:
 
Ref: "Gibbs, you're off!"
Ox: "But ref, it was me!"
Ref: "Shut up Walcott, get on with the game"
 
Mourinho huwa anajenga timu kuanzia ulinzi, kiungo na anamalizia kwenye ushambuliaji:

kwa sasa 'torres' ananiudhi sana; ila kama inawezekana Shurrle awe anacheza pale kwenye #9, alafu Willian anacheza nafasi ya Shurrle kwa sababu Eto'o atakuwa nje kwa angalau siku 10 hadi 15.

Lakini tunahitaji pointi 6: vs Palace & Stoke City.

baada ya hapo Eto'o atakuwa fiti kufanya mambo yake aliyowafanya Mwanitesa United.:nod:
Mkuu ni kweli unavyosema lkn km umefatilia habari kutoka Kwa Jose Mourinho ni kwamba kuna vitu vingi anavifanyia kz ktk timu yake likiwemo Swala la kupata magoli kipindi cha pili! Mourinho anataka timu yake ipate magoli kipindi cha kwanza tena mengi. Na juzi timu imetekereza Hilo jukumu! Na pia ktk hizi timu ndogo anataka kucheza Kwa nguvu zote na kuzifunga! Maana Aston villa ilitufanya vibaya sn! Kwahiyo kocha wetu kaliona Hilo na ameshalipigia kelele!
 
Mkuu Mentor Hilo dubwana linamkimbiza Moyes Lina nguvu vibaya!
 
Last edited by a moderator:
Mourinho huwa anajenga timu kuanzia ulinzi, kiungo na anamalizia kwenye ushambuliaji:

kwa sasa 'torres' ananiudhi sana; ila kama inawezekana Shurrle awe anacheza pale kwenye #9, alafu Willian anacheza nafasi ya Shurrle kwa sababu Eto'o atakuwa nje kwa angalau siku 10 hadi 15.

Lakini tunahitaji pointi 6: vs Palace & Stoke City.

baada ya hapo Eto'o atakuwa fiti kufanya mambo yake aliyowafanya Mwanitesa United.:nod:


Mkuu Naomba nikupe maelezo kidogo!

Ile Hazard alipiga kutaka kufunga Ox akashika Kwa mkono kuzuia Pasi ya ule mpira ilitoka Kwa Torres na goli la 4 la Oscar pasi ilitoka Kwa Torres!

Kwahiyo Kwa mfumo Wa timu yetu, km striker hawezi kufunga, atoe nafasi Au pasi wenzake wafunge na ndio Maana ktk timu yetu Hakuna mtu maalumu Wa kufunga! Yeyeto anafunga tu!

Ingawa Kwa hivi karibuni Eto'o Kila mechi amekua anafunga Kwahiyo kukaa kwake nje tutakosa huduma yake!
 
wewe nilishakuruhusu kushangilia unakumbuka?
endelea kushangilia ubingwa maana unakuja. ubingwa wa ligi ni lazima; hata ubingwa wa ulaya utakuja tu; JM mtu wa kusema na kutenda;:eyebrows:



Teh Teh Teh Teh

Mkuu Yani siku hizi Moyo wng umetulia kwatu!

Mwaka juzi mashabiki Wa Chelsea walifanya Party ya ubingwa Wa ulaya pale msasani club chini ya usimamizi Wa Mwakalebela! Ngoja nitamcheki nione msimu itakuaje!
 
Helloo natangaza kujenga kambi umu ndan ad siku mnaingia anfield kupelekwa kibra...


Karibu sn ktk thread ya mabingwa! Hapa utatosha tu mwenyew! Utapata uchambuzi safi kabisa kutoka Kwa wataalam na mashabiki safi Wa Chelsea!
 
Karibu sn ktk thread ya mabingwa! Hapa utatosha tu mwenyew! Utapata uchambuzi safi kabisa kutoka Kwa wataalam na mashabiki safi Wa Chelsea!

Kwa mwendo wa liver najua Kila cku mnameza dawa za usingiz....shida yetu top four lakin mnatulazimisha ubingwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom